“Why don’t you just come over and we can have NANILIU......”

“Why don’t you just come over and we can have NANILIU......”

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,441
angry-woman-in-bed.jpg


dating-online.jpg



Haya makitu wakati mwingine yanatuletea kisirani majumbani mwetu lakini sijui kwa nini hatusikii. Kuna wadau wanashangazwa na kuadimika kwangu hapa mtandaoni, laiti wangejua kilichonitokea wasingekuwa wananilaumu kwa kuadimika kwangu.


Mwenzenu nimethibitiwa ndio maana sisomeki kwenye zile makala maarufu za kila Ijumaa.......
 
kazi kweli kweli. Na hapo umesimamiwa at gun point utujulishe kwamba upo hai.
 
Heheheh...usiniambie kaka mkubwa umeifungia kabatini dadavuzi yako till further notice...

Chezeya nguvu ya ile nanilihuuu
 
Hehee! Pole wee! Kwahyo mama ngina kakukaba siyo!! Big up kwake!! C ndo mnavyotaka hvyo!!
 
Heheheh...usiniambie kaka mkubwa umeifungia kabatini dadavuzi yako till further notice...

Chezeya nguvu ya ile nanilihuuu
Nilijikuta nikiwa naitumikia JF kuliko majukumu ya Familia, sasa nimeona nitafute namna ya ku balance .....
Nyumbani kilinuka aisee...
 
Mtambuzi, kuna mwanafunzi aliwahi kumpa mwenzake ujauzito akaambiwa akamwite mzazi wake. Baba alifoka sana alipopata hizo habari na kumgombeza sana kijana, lakini walipofika shule akamuona msichana mwenyewe alivyomzuri, akasema nisamehe kijana, kama mambo yenyewe ndio haya hata mimi nisingepona.

Kwa hicho kifaa mkuu endelea kuwa offline tu, acha waseme......
 
Last edited by a moderator:
Hehee! Pole wee! Kwahyo mama ngina kakukaba siyo!! Big up kwake!! C ndo mnavyotaka hvyo!!
Najua wadada wa humu mtakuwa mmefurahi kusikia mama Ngina kakaba mpaka penati.....
 
Hahahaaa.... Ila haya mambo ya kuendekeza JF aisee yanaweza kukuvunjia ndoa...!

Uko busy na PM kwa mtu usiyejua hata anafananaje..! Hatari sana aisee..!
 
Mtambuzi, kuna mwanafunzi aliwahi kumpa mwenzake ujauzito akaambiwa akamwite mzazi wake. Baba alifoka sana alipopata hizo habari na kumgombeza sana kijana, lakini walipofika shule akamuona msichana mwenyewe alivyomzuri, akasema nisamehe kijana, kama mambo yenyewe ndio haya hata mimi nisingepona.

Kwa hicho kifaa mkuu endelea kuwa offline tu, acha waseme......

He mama Ngina kawa kifaa tena, hebu nitake radhi aisee.....
 
Nilijikuta nikiwa naitumikia JF kuliko majukumu ya Familia, sasa nimeona nitafute namna ya ku balance .....
Nyumbani kilinuka aisee...

Hahaha halafu mbaya zaidi usikute ile mistori yako na Gisele kuna wafukunyuku wakamdokeza Mama Ngina...

Maana kwenye zile stori ulitupiamo mafoto yako ambayo kwa wauza habari za unyetishaji hata ukiwapa kichogo tu wanajua huyu lazima ni Baba Ngina...
 
Hahahaaa.... Ila haya mambo ya kuendekeza JF aisee yanaweza kukuvunjia ndoa...!

Uko busy na PM kwa mtu usiyejua hata anafananaje..! Hatari sana aisee..!

Tena hii naomba aisome Nivea
 
Last edited by a moderator:
Hahaha halafu mbaya zaidi usikute ile mistori yako na Gisele kuna wafukunyuku wakamdokeza Mama Ngina...

Maana kwenye zile stori ulitupiamo mafoto yako ambayo kwa wauza habari za unyetishaji hata ukiwapa kichogo tu wanajua huyu lazima ni Baba Ngina...

Mbona taarifa zilishamfikia, chezea wapambe weye...
Siku hizi nimeamua kuwa makini na kila kitu ninachotupiamo hapa Jf
 
Back
Top Bottom