Why do we believe in scriptures ?

Why do we believe in scriptures ?

Excluding few freethinkers and philosophers, good number of human race believe in scriptures. Can somebody give me the logical reasons behind this fate..?

We believe in the Scriptures because after believing, they render themselves to us as "undoubtedly provable". Normally you need to BELIEVE FIRST in order to PROVE, and not PROVE FIRST in order to BELIEVE. Please do take care of this order, not to reverse it,....., very important!
 
(swali lako)Lete aya ambayo Yesu anasema MIMI YESU SIO MUNGU

( natumai utanielewa japokuwa nimeku quote kwa kutumia simu but nitajaribu kuweka Kwenye muonekano mzuri ili upate kunielewa mkuu Telefuken)


(jibu langu) why would i quote the quran? You being a Christian aren't going to believe in any of it. So why should i quote it? The quran claims jesus isn't God but i'm tyrying to prove to you the bible says that as we'll.even though the bible has being changed, yet there exists clear and explicit verses that show that Jesus is not God!

bible says that God is not a man. "God is not a man" (numbers 23:19)

but Jesus is called a man many times in the bible!

"Jesus the Nazarene, a man attested to you by God with miracles and wonders and signs which God performed through him in your midst just as you yourselves know" ( act: 2:22)

another verse
"he will judge the world in righteousness through a man whom he has appointed"(act 17:31

it means that Jesus ah kuwa Mungu 'cause alikuwa ni man, Bali alikuwa ni servant wa Mungu aliyekuja kueneza mane no ya Mungu.

also bible says that God is not a son of man

" God is not a man nor a son of man( numbers 23:19) .

the bible often calls Jesus " a son of man" or the son of man

another verse ambayo inasema Jesus is a son of man.

" because he is the son of man"(john 5:27)
na katika scriptures za herbrew, the son of man is also used many times speaking of people i.e job 25:6, psalm80:17, ezekiel2:1,2:3,6-8; 3:1-3)

since God not contradict himself by first saying he is not the son of a man, then becoming a human being who was called "the son of man"!! he would not have done so. Remember God is not the author of confusion. Also, human beings, including Jesus are called " the son of man" specifically to distinguish them from God, who is not a son of man according to bible.

vile vile bible inaonesha kuwa yesu alidenied he is God


Jesus spoke to a man who called him "good" asking him "why do you call me good? No one is good except God alone"(Luke 18:19)

bila Shaka Yesu mwenye we alijua kuwa yeye sio Mungu Bali kuna Mungu mmoja I.e ALLAH pekee ambaye anastahili sifa hiyo ya u"Good" (upo hapo?)

now, tuangalie Quran inasema nini kuhusu Jesus.
Quran inakataa kuwa Jesus ni Mungu but he was only a servant of God sent to the Jews to bring them back to the true religion, worshipping one God and following his instruction. God(ALLAH) narrates of Jesus in the Quran

they have certainly disbelieved who say, " God is the messiah, the son of Mary, while the messiah has said, O children of Israel,worship God, my Lord and your Lord( Quran 5:72)

also Quran says about the belief that Jesus is part of trinity
They have certainly disbelieved who says,God is the third of three(rather there is none worthy of worshiping except one God. And if they do not desist from what they are saying, there will surely afflict the disbelievers among them a painful punishment. So will they not repent to god and seek his forgiveness? And God is forgiving and merciful. The messiah(Jesus) son of Mary, was no more than a messenger before whom many messengers have passed away, and his mother adhered wholly to truthfulness and they both ate food( as other morals do) (Quran 5:73-74)

vile vile Quran inasema siku ya hukumu( the day of judgement) Jesus will free himself from this false attribution.

"And beware the day when God will say " O Jesus, son of Mary , did you say to the people " take me and my mother as deities besides God?" He will say " exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have know it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is knower of the unseen, I said not to them except what you commanden me i.e to worship God, my Lord and your Lord ( Quran 5:116-117)

you ask forgivness and pray! There is no assurance, you don't just get into heaven for believing in some Jewish guy, grow up!




(Swali lako)Wewe jana ulisemda Paulo ni nabii wa Uongo, SASA UNAMTUMIA KAMA NANI? Hivi huwa mnalishwa ngama kiasi gani nyie?
Anyways, JESUS IS THE KING OF KINGS/LORD OF LORDS.



SeeRevelation 19:16 Jesus is given the full title "KING OF KINGS AND LORD OF LORDS" (Revelation 17:14 switchdes it: "Lord of lords and King of kings").


(Jibu langu)Jibu la hili Lipo hapo juu, ila kwa kuongezea tu, Revelation 19:16 doesn't prove anything about Jesus being Jehovah nor ever talks about Jehovah or Allah. He had power from God and he was God's favorite at that time. Jesus had power to inspire his follower through God's power, because God allowed him to do that.


then nakuuliza swali, naomba unijibu. Unaamini kuwa bible ni kitabu alichokuja nacho Mungu wenu ambaye ni Yesu, right? Then why are there many contradictions in it?! Au kinabadilika kutokana na mazingira? Teh teh!!! Funny!!! Kitabu alichokuja nacho Mungu kinabadilika kutokana na mazingira!!! Surely a book of God would not have contradictions in it!!!!



(Swali lako)Jesus is the Light: See: Jesus said I am the Light of the world" (John 8:12) .John 20:17 Jesus said " I ascend to my God and your God" this tells us that we and Jesus have common God!!

(Jibu langu) why kitabu cha Mungu kina kuwa na ma contradiction kibao!!! Kama vitabu vingine ambavyo vinatungwa na binadamu!! Ina maana John 20:17 inapingana na John 8:12 BWAHAHAHAHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAaAAAA!!! Kitabu cha Mungu kinapingana chenyewe kwa wenyewe tena ni within sura moja(John)!!! Huyu Mungu( Yesu) kweli wa ajabu yani hajui analolifanya wala kuandika!!!! Yani anajicontradict mwenyewe!!! BWAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAaAAAAAA!!!!! Full of erros and contradictions!!!

(Swali lako)Kama Allah ni Mungu kwanini alijiita AL MALIK?

(Jibu langu) If anybody is ignorant it's you. You need to do your research!!Sikutegemea Kama utauliza swali la kipumbavu Kama hili!! Anyways, wacha nikufundishe!

Al- Malik means: the one who is the king of all beings. The onewho is the owner and the ruler of this world. The one who is supreme authority, and who is relied upon by every one. The one who has all ruling power over aaaall being and his ruled by none. Allah i.e Al-Malik hakuna mwingine mwenye sifa kam hiyo ulimwengu wote isipokuwa yeye.

ingawaje kuna watu wanajiona kuwa wao ni rulers and owners wa kila kitu!! But ukumbuke kuwa, anyone who rule world will have to leave. If he is not turned over or quits he will have to leave this world one day. This is not the case with ALLAH. ALLAH has no limitations and ALLAH's rule has no time frame. And ALLAH does not care and does not have to care about what people think. ALLAH does not have to worry about the consequences of his actions.



(Swali lako)Why should God glorify a human being? John 17:5 And now, Father, glorify me in your presence with the glory I had with you before the world began.

Kumbe Yesu aliishi kabla ya kuja duniani. The verse is the proof that Jesus pre existed before coming to earth.



Whe Jesus said Father, alikuwa anamaanisha nani? Jesus said Father forgive them, HIVI ALLAH NA YEYE NI BABA?

Luke 23:34 Jesus said, "Father, forgive them, for they do not know what they are doing." And they divided up his clothes by casting lots.

WHY is Jesus calling God His Father? Hivi Allah na yeye ni Baba?.


(Jibu langu)yeah, Jesus call God father, he does not mean it literally. He call call him the father as a term of respect and love. He also call him The Lord, God, the sustainer etc

mfano ( Matthew 27:46) " My God, My God why have you forsaken me?" Hapa Yesu ametumia Lord badala ya father. Means he doesn't mean it literally.

Hii ni sawa na neno "son" can not be accepted literally kwa sababu katika biblia, Mungu(God) apparently addresses many of his chosen servant as "son" . The Hebrews believed God is one and had neither wife nor children in any literal sense. Therefore, it is obvious the expression " son of God merely meant " servant of God".

Christians who came from a Greek/Roman background, later misused this term. In there heritage " son of God" signified an incarnation of a god or someone born of a physical union between male and female gods. Act 14: 11-13 says that, when Paul andbarnabe preached in a city of turkey, pagans claimed they were gods incaniate. They called barnabes the Roman god Zeus, and Paul the roman God Hermes.


also, the New Testament Greek word translated as "son" are "pias" and "paida" which mean servant or son in sense of servant. These "servant" in reference to all others in some translations of the bible. So, consisted with other verses, Jesus was merely saying that he is God's servant.
 
Nini shida! Mbona unapanic na matusi scriptures imezikataza.
You are not following what your defending.
 

(Maswali yote nimeypigia mstari kisha majibu yanafuatia)why would i quote the quran? You being a Christian aren't going to believe in any of it. So why should i quote it? The quran claims jesus isn't God but i'm tyrying to prove to you the bible says that as we'll.even though the bible has being changed, yet there exists clear and explicit verses that show that Jesus is not God!



also, the New Testament Greek word translated as "son" are "pias" and "paida" which mean servant or son in sense of servant. These "servant" in reference to all others in some translations of the bible. So, consisted with other verses, Jesus was merely saying that he is God's servant.
Bado haujasema kitu hapa:

NILETEE AYA amabayo Yesu anasema hivi: MIMI YESU SIO MUNGU: ili yaishe. Sina muda na ngonjera zenu.
 
Naomba niwaulize leo mnaosema hakuna Mungu

Kwa nini mnajiita free thinkers?
Kwani kutokuamini uwepo wa mungu ndio una mawazo huru?

Mimi nina mawazo huru kwasababu nimechunguza dalili na hoja alizonipa Allah kupitia kitabu chake(Qur-an) nikiwa na mawazo yangu huru..baada ya nikapata na elimu ya mazingira(sayansi) nikiwa na akili zangu huru nikakuta sikudanganywa kitu kwenye Qur-an...mwisho wa yote nikaamini kua ni kweli na kutamka shahada kua Mungu yupo..na ni mmja na mmiliki wa ulimwengu woooooote

Sasa kwa nini mnajiita free thinkers?kisa tu hamuamini au shida nini?

Kwa nini mnasema mimi(ninayeamini) sio free thinker?
 
Bado haujasema kitu hapa:

NILETEE AYA amabayo Yesu anasema hivi: MIMI YESU SIO MUNGU: ili yaishe. Sina muda na ngonjera zenu.

bwahahahah!!! ujue we jamaa unashangaza sana!! sielewi tatizo lako kuwa husomi ninachokiandika, huelewi au hutakikuelewa??? hiki ambacho unakidai nimeelezea hapo juu tene kwa upana zaidi!

anyway, sijachoka ngoja nirudie!

" And beware the day when God will say " O jesus, son of Mary, did you say to the people " take me and my mother as deities besides God?" he will say " Exalted are You! It was not for me to say that to which i have no right. If i had said it, You would have know it. You know what is within myself, and i do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is knower of the unseen. I said not to them except what You commanden me i.e to worship God, my Lord and your lord..." ( Quran 5:116-117)

Hii verse katika Quran inaonesha jinsiYesu siku ya kiama ( the day of judgement)atavyokuja kuwakana juu ya uongo mnaomsingizia. na ameongea mwenyewe kuwa hakusema(hakuwa Mungu) na wala hakuwa na haki ya kusema hivyo kwasababu hakuagizwa hivyo na Mungu(ALLAH) bali ameagizwa kueneza neno la Mungu.( ukitaka hata mistari 100 kutoka kwenye Quran na bible ambayo inakanusha kuwa Yesu si Mungu either kwa kutumia kinywa chake mwenyewe au watu waliokuwa karibu yake ambao walikuwa wakimuamini kama mtume na si Mungu naweza nikakupa)

then, kuna swali nimekuuliza hapo juu lakini hukunijibu!

ulinitolea mstari kutoka kwenye bible unaokubali kuwa Yesu ni Mungu lakini bible hiyo hiyo kuna mistari kibao inakanusha na Yesu mwenyewe anakanusha kuwa yeye ni Mungu( nimeiandika mingi hapo juu na ukitaka naweza kuongeza mingine)

Mstari huo ulikuwa ukisema, (john 8:12) Jesus said " I am the light of the world"

cha kushangaza katika bible hiyo hiyo, sura hiyo hiyo Yesu mwenyewe anasema, ( john 20:17) Jesus said " I ascend to my God and your God" hii inaonesha kuwa Yesu hakuwa Mungu bali yeye mwenyewe ana Mungu wake ambaye ni Mungu wetu sote.

So, kama bible ni kitabu cha Mungu na unakiamini why are there so many contradictions in it??! why??? yani bible haina tofauti na vitabu anavyotunga nyambali nyangwine yani full of contradictions and errors!!! bwahahahahahahah!!! kitabu cha Munguuuuuuuu! dah!! vichekesho yani kumbe hata mimi naweza kutunga bible yangu then kesho nikaanzisha kanisa na kuanza kumuubiria half naked God aliyekufa msalabani??? nijibu, kwanini kitabu unachokiita na kuamini ni cha Mungu i.e bible a.k.a nyambali nyangwine kina contradictions??? Cc: kahtaan
 
Last edited by a moderator:
bwahahahah!!! ujue we jamaa unashangaza sana!! sielewi tatizo lako kuwa husomi ninachokiandika, huelewi au hutakikuelewa??? hiki ambacho unakidai nimeelezea hapo juu tene kwa upana zaidi!

anyway, sijachoka ngoja nirudie!
Rudia tu, maana maelezo yako hayakujitosheleza kabisa.

" And beware the day when God will say " O jesus, son of Mary, did you say to the people " take me and my mother as deities besides God?" he will say " Exalted are You! It was not for me to say that to which i have no right. If i had said it, You would have know it. You know what is within myself, and i do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is knower of the unseen. I said not to them except what You commanden me i.e to worship God, my Lord and your lord..." ( Quran 5:116-117)
1. Allah must be telling lies here. NO CHRISTIAN ever said Mary is a deity.
2. Allah alijuaje kuwa Yesu atasema "Exalted are you"? in that day?



Hii verse katika Quran inaonesha jinsiYesu siku ya kiama ( the day of judgement)atavyokuja kuwakana juu ya uongo mnaomsingizia. na ameongea mwenyewe kuwa hakusema(hakuwa Mungu) na wala hakuwa na haki ya kusema hivyo kwasababu hakuagizwa hivyo na Mungu(ALLAH) bali ameagizwa kueneza neno la Mungu.( ukitaka hata mistari 100 kutoka kwenye Quran na bible ambayo inakanusha kuwa Yesu si Mungu either kwa kutumia kinywa chake mwenyewe au watu waliokuwa karibu yake ambao walikuwa wakimuamini kama mtume na si Mungu naweza nikakupa)
Hayo ni madai ya Jibril na sio Mungu wa Biblia. Quran haiaminiki maana hata Muhammad alikiri kuwa hafahamu tofauti ta Allah na Shetani ndio maana akaziweka Aya za Shetani katika Quran.


then, kuna swali nimekuuliza hapo juu lakini hukunijibu!

ulinitolea mstari kutoka kwenye bible unaokubali kuwa Yesu ni Mungu lakini bible hiyo hiyo kuna mistari kibao inakanusha na Yesu mwenyewe anakanusha kuwa yeye ni Mungu( nimeiandika mingi hapo juu na ukitaka naweza kuongeza mingine)
Hakuna hata mstari mmoja kwenye Biblia unao sema kuwa Yesu sio Mungu.


Mstari huo ulikuwa ukisema, (john 8:12) Jesus said " I am the light of the world"
Does it means that Jesus is Allah?
Surat An-Nur [verse 35] - Allah is the Light of the heavens and the earth.
(john 8:12) Jesus said " I am the light of the world"

cha kushangaza katika bible hiyo hiyo, sura hiyo hiyo Yesu mwenyewe anasema, ( john 20:17) Jesus said " I ascend to my God and your God" hii inaonesha kuwa Yesu hakuwa Mungu bali yeye mwenyewe ana Mungu wake ambaye ni Mungu wetu sote.
Jesus has a Father. Is Allah the Father. Nevertheless, Jesus is God incarnate. His Father is God. Himself is God and Holy Spirit is God.
So, kama bible ni kitabu cha Mungu na unakiamini why are there so many contradictions in it??! why??? yani bible haina tofauti na vitabu anavyotunga nyambali nyangwine yani full of contradictions and errors!!! bwahahahahahahah!!! kitabu cha Munguuuuuuuu! dah!! vichekesho yani kumbe hata mimi naweza kutunga bible yangu then kesho nikaanzisha kanisa na kuanza kumuubiria half naked God aliyekufa msalabani??? nijibu, kwanini kitabu unachokiita na kuamini ni cha Mungu i.e bible a.k.a nyambali nyangwine kina contradictions???
There is no contradictions in the Bible but a lot of contradictions in the Quran.
Contradictions / Difficulties in the Qur'an
 
There is no contradictions in the Bible but a lot of contradictions in the Quran.
khaaaa! Kwahiyo unapingana na bible( a.k.a kitabu cha nyambali nyangwine)!!! Yani john 8:12 and john 29:17 zipo sawa??? Na nyingine nyingi tu nilizokuandikia hapo juu!!! Kweli wewe kichwa cha panzi!!!nimegundua tatizo langu nabishana na mtu ambaye haijui bible yake na wala Quran haijui bali unaleta blah blah!!! Siwezi kuendelea kubishana na wewe maana maana umeshaanza kujichanganya Kama bible inavyojichanganya!!! Ngoja kahtaan labda ataweza kukuelewesha zaidi.
 
pirit is God.

There is no contradictions in the Bible but a lot of contradictions in the Quran.

Teh teh teh!

Umeanza kuhara tena!

Hebu onja Kidoogo hizi Contradiction hapa halafu Waungwana waone Hicho Menu ya Kubakia ilivyo chakachuliwa.

HAKUNA KITABU Chenye MANENO yaliopandana DUNIANI KM BIBI LIA.

Soma hapa Km Unajua kusoma!

Michael binti wa Saul hakupata mtoto mpaka kifo chake.(2 samweli 6:23)

Michael binti wa Saul alikuwa na wavulana watano (2 Samweli 21:8)


Benjamin alikuwa na watoto watatu. (1 Mambo ya Nyakati 7:6)

Benjamin alikuwa na watoto watano. (1 Mambo ya Nyakati 8:1-2.


Harun alikufa huko Hor. (Hesabu 33:38)

Haruni alikufa huko Mosera (Kumb. 10:6)


Yehoremu alishikilia kutawala wakati akiwa na umri wa mika 32 alifariki katika miaka 40,(2 Mambo ya Nyakati 21:5) (2 Mambo ya Nyakati 21:20).

Baada ya kifo chake mtoto wake mdogo alishikilia serikali na alikuwa na umri wa miaka 42 wakati ule.(2 Mambo ya Nyakati (22:1-2).

Kana kwamba mwana mdogo alikuwa miaka miwili zaidi kuliko baba mzazi! (9. Mat 5:17; Mat 5:38-40; Hebrew 7:12).



Sungura hucheua (Mambo ya Walawi 11:6). Lakini ukweli ni kwamba Sungura hacheui kabisa.


Yuda aliyemsaliti Yesu alivitupa vile vipande vya fedha alivyopewa kwa udhalimu wake huo, kisha alijinyonga na

wakuu wa Makuhani wakavichukua vipande vya fedha na wakanunulia shamba la kuzikiwa watu (Mat 27:5-7).

Lakini (Matendo 1:18), inasema kwamba Yuda mwenyewe alinunua konde kwa ijara aliyoipata kwa udhalimu wake huo na kisha akaanguka na kupasuka na matumbo yake yote yakatoka.


Yesu alifyolewa na wanyang’anyi wawili aliposulubiwa pamoja nao. (Marko 15:32 ; Mat. 27:44).

Lakini katika Luka 23:39-40, inasema kuwa mnyang’anyi mmoja ndiye aliyemfyolea Yesu.


Yuda alijinyonga.(Mat. 27:5).

Lakini katika Matendo 1:18, imeandikwa kwamba alianguka na kupasuka matumbo yake


Mwanadamu aliumbwa baada ya uumbaji wa wanyama.(Mwanzo 1:25-26).

Lakini katika (Mwanzo 2:18-20), inaonekana mwanadamu aliumbwa kwanza.


Mwandishi wa Torati siye Nabii Musa mwenyewe.

Basi Musa mtumishi wa bwana akafa huko katika nchi ya Moabu kwa neno la Bwana. (Kumb. 34:5).


Mwandishi wa Kitabu cha Mathayo si Mathayo mwenyewe ambaye ni mwanafunzi wa Yesu.(Mat. 9:9).
 
khaaaa! Kwahiyo unapingana na bible( a.k.a kitabu cha nyambali nyangwine)!!! Yani john 8:12 and john 29:17 zipo sawa??? Na nyingine nyingi tu nilizokuandikia hapo juu!!! Kweli wewe kichwa cha panzi!!!nimegundua tatizo langu nabishana na mtu ambaye haijui bible yake na wala Quran haijui bali unaleta blah blah!!! Siwezi kuendelea kubishana na wewe maana maana umeshaanza kujichanganya Kama bible inavyojichanganya!!! Ngoja kahtaan labda ataweza kukuelewesha zaidi.
Nimesha kujibu teyari lakini wewe upo hapa kwenye ligi. Dispute my answer na achana ku generalize mambo.

Contradictions / Difficulties in the Qur'an
 
Teh teh teh!

Umeanza kuhara tena!

Mwandishi wa Kitabu cha Mathayo si Mathayo mwenyewe ambaye ni mwanafunzi wa Yesu.(Mat. 9:9).

UTATA KATIKA KUUMBA DUNIA
Je, Allah aliumba Dunia kwa siku 6 au 8?



Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu uumbaji wa Dunia. Allah wa Uislam, anasema kuwa yeye ni Mungu na aliumba Dunia na vitu vyote vilivyo ndani yake. Hebu tuanze somo letu kwa kusoma aya za Quran.

Allah anasema katika Sura 7:54, 10:3, 11:7, na 25:59 kuwa, aliumba dunia kwa siku 6. Soma aya hizi hapa chini kwa ushaidi zaidi.

Quran 7:54. Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.

Surah 10: 3. Hakika Mola wenu Mlezi ni Mwenyezi Mungu, ambaye ameziumba mbingu na ardhi kwa siku sita, na ametawala kwenye ufalme wake, anaendesha mambo yote. Hapana mwombezi ila baada ya idhini yake. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu, Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye. Je! Hamkumbuki?

Lakini Ndugu zanguni, nilipo endelea kuchunguza Quran nikagundua kuwa, kumbe Allah alidanganya pale alipo sema kuwa aliumba Dunia kwa siku sita. Sasa ungana nami katika uchunguzi wa uumbaji wa dunia kama ulivyo wekwa kiuwazi zaidi kupitia Quran iliyo shushwa na Jibril.

Sasa tutasoma Surah ya 41: 9-12. Katika hizi aya tutakazo zisoma, utangudua kuwa Allah hakuumba Dunia kwa Siku 6 kama alivyo dai hapo mwanzoni.

HII AYA INASEMA ALLAH KAUMBA KWA SIKU MBILI (2)

Quran 41:9. Sema: Hivyo nyinyi mnamkataa aliye umba ardhi katika siku mbili, na mnamfanyia washirika? Huyu ndiye Mola Mlezi wa walimwengu wote.

+

HAPA ALLAH ANAUNGANISHA MAWINGU NA ARDHI KWA SIKU NNE(4)

Quran 41:10. Na akaweka humo milima juu yake, na akabarikia humo na akakadiria humo chakula chake katika siku nne. Haya ni sawa kabisa kwa wanao uliza 11. Kisha akazielekea mbingu, na zilikuwa moshi, akaziambia hizo na ardhi: Njooni, kwa khiari au kwa nguvu! Vyote viwili vikasema: Tumekuja nasi ni wat'iifu.

+

HAPA ALLAH ANAZITENGENEZA MBINGU KWA SIKU MBILI (2)

Quran 41:12. Basi akazifanya mbingu saba kwa siku mbili, na akazipangia kila mbingu mambo yake. Na tukaipamba mbingu ya chini kwa mataa na kwa ulinzi. Hichi ndicho kipimo cha Mwenyezi Mungu Mwenye Kujua.

HIZI ZOTE KWA PAMOJA NI SIKU NANE (8)

Siku mbili kwa ajili ya viumbe wa dunia, basi siku nne kujaza ardhi na milima baraka, na chakula kwa ajili ya wakazi wake wote, na mwisho kwa siku mbili zaidi ili kujenga mbingu saba na kujenga nyota yao. Hii inaongeza hadi 2 + 4 + 2 = siku 8 kinyume na siku 6 zilizotajwa katika aya nyingine.

NGOJA NIWEKE KWA UFUPI

Muundo ni wazi sana: Haya ni Matabaka Matatu ambayo ni umbaji chini hadi juu:

Quran 41:9*** Mbingu [angani, "dari" juu ya dunia] katika siku 2

----------

Quran 41:10*** BARAKA [kujaza dunia na kila kitu zinahitajika kwa ajili ya maisha] katika siku 4

---------

Quran 41:12***EARTH [msingi] kukamilika katika siku 2

Ndugu zanguni, hivi Allah alishindwa mahesabu au ndio kutuhakikishia kuwa yeye hakuwa Muumbaji? Kwanini Allah afanye makosa makumbwa namna hii? Leo Allah kwa mara nyingine tena ametuhakikishia kuwa yeye si Muumbaji. Uchaguzi ni wako, kufuata Allah asiye fahamu aliumba Dunia kwa Siku Ngapi au Jehova ambaye alisema aliumba Dunia kwa siku 6.


Katika huduma yake.

UTATA KATIKA KUUMBA DUNIA Je, Allah aliumba Dunia kwa siku 6 au 8?
 
Bado haujasema kitu hapa:

NILETEE AYA amabayo Yesu anasema hivi: MIMI YESU SIO MUNGU: ili yaishe. Sina muda na ngonjera zenu.

Yesu Mwenyewe wa halali (Sio yule mzungu wa msalabani) AMESEMA Kwenye MISTARI CHUNGU NZIMA kuwa Yeye ni MTUMWA TU wa Mungu ( MESSENGER of GOD).

Pata Somo hapa We dada! Mke wa Ishmael aliyeko kifungoni.

Najua kuwa Nyie WAKRISTO mmepigwa marufuku KUFIKIRI.
Na hapa HUNA HAJA YA kufikiri kwa sababu UWEZO wa KUFIKIRI HUNA lkn Jiulize tu Je MUNGU ANAWEZA KUTUMWA na Nani?

YOHANA 5:24-----
"Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule-aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.


YOHANA 5:30
- - -"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumukama-ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule-aliyenituma.

-YOHANA 5:36
- - -Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiyealiyenituma.-

-YOHANA 5:37
- - -Naye Baba-aliyenituma-hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.

-------

YOHANA 7:16
- - -Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeyealiyenituma.


YOHANA 7:28
- - -Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye-aliyenituma-mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.


YOHANA 7:29
- - -Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye-aliyenituma."


YOHANA 7:33
- - -Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yulealiyenituma.

-------

YOHANA 8:16
- - -Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba-aliyenituma-yuko pamoja nami.


YOHANA 8:18

- - -Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba-aliyenituma, ananishuhudia pia."


YOHANA 8:26
- - -Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yule-aliyenituma-ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake."


YOHANA 8:29
- - -Yule-aliyenituma-yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza."

-------

YOHANA 6:38
- - -kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule-aliyenituma.


YOHANA 6:39
- - -Na matakwa ya yule-aliyenituma-ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.

-------

YOHANA 12:44
- --Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule-aliyenituma.


YOHANA 12:49
- --Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba-aliyenituma-ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.

-------

MATAYO 10:40
- -"Anayewakaribisha ninyi, ananikaribisha mimi; na anayenikaribisha mimi, anamkaribisha yule-aliyenituma.

-------

MARKO 9:37
- - - -"Anayempokea mtoto-kama-huyu kwa jina langu, ananipokea mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yule-aliyenituma."

-------

LUKA 9:48
--akawaambia, "Mtu yeyote anayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anampokea yulealiyenituma. Maana yule aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa kuliko wote."

-------

LUKA 10:16
- - - --Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule-aliyenituma."

-------

YOHANA 4:34
- - -Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule-aliyenituma-na kuitimiza kazi yake.

-------

YOHANA 9:4
- - - -Kukiwa bado mchana yatupasa kuendelea kufanya kazi za yulealiyenituma; maana usiku unakuja ambapo mtu hawezi kufanya kazi.

-------

YOHANA 13:20
- --Kweli nawaambieni anayempokea yule ninayemtuma anaponipokea mimi; na anayenipokea mimi, anampokea yulealiyenituma."

-------

YOHANA 14:24
- --Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni-lakeBaba-aliyenituma.

-------

YOHANA 15:21
- --Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye-aliyenituma.

-------

YOHANA 16:5
- - -Lakini sasa namwendea yulealiyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: `Unakwenda wapi?`
 
Last edited by a moderator:
khaaaa! Kwahiyo unapingana na bible( a.k.a kitabu cha nyambali nyangwine)!!! Yani john 8:12 and john 29:17 zipo sawa??? Na nyingine nyingi tu nilizokuandikia hapo juu!!! Kweli wewe kichwa cha panzi!!!nimegundua tatizo langu nabishana na mtu ambaye haijui bible yake na wala Quran haijui bali unaleta blah blah!!! Siwezi kuendelea kubishana na wewe maana maana umeshaanza kujichanganya Kama bible inavyojichanganya!!! Ngoja kahtaan labda ataweza kukuelewesha zaidi.

UTATA MKUBWA KATIKA KORAN NANI ALIKUWA MUISLAM WA KWANZA?


UTATA KATIKA UUMBAJI WA DUNIA NA MBINGU NDANI YA QURAN


UTATA MKUMBWA NDANI YA KORAN Nini kitaingia PEPONI: Roho/Nafsi au Mwili au zote mbili?


UTATA NDANI YA KORAN: JE, INJIL ILIKUWEPO WAKATI WA MUSA
 

Tatizo sio QURAAN! Bali Ni hivyo VICHWA VYA Panzi!

Yaani wewe kuisoma Quraan Ukaielewa ni sawa na Mjaluo Kuimba nyimbo za Kiarabu wakati Taarabu yenyewe Mtihani!

PATA Elimu HAPA.


Let us look at-Ayah (verse) 7:54-"Your Guardian-Lord Is Allah, Who created the heavens and the earth-in six days, then He established Himself on the Throne (of authority): -He draweth the night as a veil O'er the day, each seeking the other in rapid succession: -He created the sun, the moon, and the stars, (all) governed by laws under His command. -Is it not His to create and to govern? -Blessed be Allah, the Cherisher and Sustainer of the worlds !"


Let us look at-Ayah (verse) 10:3-"Verily your Lord is Allah, Who created the heavens and the earth-in six days, then He established Himself on the Throne (of authority), regulating and governing all things. -No intercessor (can plead with Him) except after His leave (Hath been obtained). -This is Allah your Lord; Him therefore Serve ye: -will ye not recieve admonition?"


Let us look at-Ayah (verse) 11:7-"He (Allah) it is Who created the heavens and the earth-in six days-and His Throne was over the waters that He mighty try you, which of you is best in conduct. -but if thou wert to say to them, 'ye shall indeed be raised up after death,' the unbelievers would be sure to say, 'this is nothing but obvious sorcery!'"


Let us look at-Ayah (verse) 25:59-"He Who created the heavens and the earth and all that is between,-in six days, and is firmly established on the Throne (of authority): -Allah, Most Gracious: -Ask thou, then, about Him of any acquainted (with such things)."


Let us look at-Ayah (verse) 32:4-"It is Allah Who has Created the heavens and the earth, and all between them,-in six days, then He established Himself on the Throne (of authority); ye have none, besides Him, to protect or intercede (for you): -Will ye not then recieve admonition?"


Let us look at-Ayat (verses) 41:9-12-"(verse 9)-Say: -Is it that ye Deny Him (Allah) Who created the earth-in two days? -And do ye join equals with Him? -He is the Lord of (all) the worlds. -(verse 10)-He set on the (earth) mountains standing firm, high above it, and bestowed blessings on the earth, and measured therein all things to give them nourishment in due proportion,-in four days, in accordance with (the needs of) those who seek (sustenance). -(verse 11)-Moreover, He Comprehended in His design the sky, and it had been (as) smoke: -He said to it and to the earth: -'Come ye together, Willingly or unwillingly.' -They said: -'We do come (together), in willing obedience.' -(verse 12)-So He completed them as seven firmaments-in two days-and He assigned to each heaven its duty and command. -And We (Allah) adorned the lower heaven with lights, and (provided it) with guard. -Such is the Decree of (Him) The Exalted in Might, Full of Knowledge."

There is no contradiction in the Noble Verses above.


In the above Holy Verses-(7:54, 10:3, 11:7,-32:4, and 25:59)-we see that Allah Almighty clearly states that He created the universe in six days. -Holy Verses-(41:9-12)-describe the primal creation of our physical earth and the physical heavens around us. -If we count the two days mentioned in-(41:9), the four days, mentioned in-(41:10), and the two days mentioned in-(41:12), we get a total of eight days. -However, the four days in-(41:10)-include the two days in-(41:9),-because the processes described in-(41:9-10)-form one series. -In the one case it is the creation of the formless matter of the earth; and in the other case it is the gradual evolution of the form of the earth, its mountains and seas, and its animal and vegetable life, with the-"nourishment in due proportion,-(41:10)"-proper to each.


To-further understand the complexity of the creation of the earth, let us look at-Ayat (verses) 15:19-20-"And the earth We (Allah) have spread out (Like a carpet); set thereon mountains firm and immovable; and produced therein all kinds of things in due balance. -And We (Allah) have provided therein means of subsistence- for you and for those for whose sustenance ye are not responsible."--Majesty, order, beauty, and harmony are shown in all Allah's Creation, but especially in the heavens. -Coming nearer to man, Allah's care for man and His goodness are shown (besides His other qualities) in His creation of the earth. -In highly poetical-language, the earth is described as spread out like a carpet, on which the eternal hills act as weights to keep it steady.


Let us also look at-Ayah (verse) 13:3-"And it is He (Allah) Who spread out the earth, and set thereon mountains, standing firm, and (flowing) rivers: and fruit of every kind He (Allah) made in pairs, two and two: -He draweth the night as a veil O'er the day. -Behold, verily in these things are Signs for those who consider!"
Let us also look at-Ayah (verse) 16:15-"And He (Allah) has set up on the earth mountains standing firm, lest it should shake with you; and rivers and roads; that ye may guide yourselves,"


In Holy Verses-(15:19-20, 13:3, and 16:15)-we see that Allah Almighty took special care in planet earth to provide all the necessary means for us to be able to survive. -This shows that the four days in(41:10)-include the two days in-(41:9),-because the processes described in-(41:9-10)-form one series.
Note:-(41:9)-talks about the creation of earth. -(41:10, 13:3, 15:19-20, 13:3, and 16:15)-talk about the gradual improvment and gifts from Allah Almighty of earth for us. -The creation of earth without its complexity took two days, and the wonderful creations and gifts that Allah Almighty provided for us-on earth took another two days.
 
Yesu Mwenyewe wa halali (Sio yule mzungu wa msalabani) AMESEMA Kwenye MISTARI CHUNGU NZIMA kuwa Yeye ni MTUMWA TU wa Mungu ( MESSENGER of GOD).



YOHANA 16:5
- - -Lakini sasa namwendea yulealiyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: `Unakwenda wapi?`
[h=4]MUHAMMAD ALIFANYA UNABII WA UONGO[/h]
Ndugu zanguni, Leo tena tunamweka Muhammad kwenye kiti moto.

Je, Muhammad alikuwa Nabii wa Mungu au Nabii wa Uongo?

Ungana nami natusome hii hadith kwanza kama ilivyo letwa kwetu na Al Bukhar Msemakweli Kiasi 4, Hadith 3329. Wakati Abdullah bin Salama alipo sikia kuwa Mtume amewasili (baraka na amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) katika Madina, alikuja kwake na akasema: "Mimi nakuuliza kuhusu mambo matatu ambayo hakuna mtu anajua lakini Nabii: Je, nini ni ishara ya kwanza ya Saa? Nini itakuwa mlo wa kwanza kuliwa na watu wa peponi? kwa nini mtoto hufanana na baba yake, na kwa nini hufanana na mjomba wake?

" Mtume wa Mwenyezi Mungu (baraka na amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) akasema: "Malaika Jibril amesha niambia sasa hivi majibu yako. " . . .

" Ishara ya kwanza ya Saa itakuwa moto ambao utawaleta pamoja watu kutoka mashariki na magharibi ; .

Mlo wa kwanza wa watu wa peponi utakuwa ni Maini ya ziada ya Samaki. Kama kwa ajili ya kufanana kwa mtoto na wazazi wake : Kama mtu ana jamiiana na mke wake na anapata kutekeleza kwanza , mtoto kufanana na baba , na kama mwanamke anapata kutekeleza kwanza , mtoto kufanana na mama yake. "

Katika hilo Abdullah bin Salam alisema: "Mimi nashuhudia kwamba wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu ." (Sahih al- Bukhari , kiasi 4, hadithi 3329 ) Maoni:

Kumbuka kuwa huu ulikuwa ni mtihani wa kuamua kama Muhammad alikuwa nabii. Muhammad alishindwa vibaya sana. Ishara ya kwanza ya saa itakuwa moto ... Je, hii ni tathmini ya uingizaji unabii, wakati inafahamika kuwa Mwisho wa Dunia bado hauja fika? (Hivyo Moto wa kueteketeza Dunia bado haujafanya kazi) Mlo wa kwanza katika peponi itakuwa tundu ya ziada ya samaki-ini. Huu unabii unawezaje kuthibitishika? Mtoto anaonekana kama mama au baba yake kulingana na nani anapata dischage kwanza wakati wa kujamiiana. Juu ya hili, Muhammad ameshindwa vibaya sana hapa. Mtu unaweza kusema kuwa, eti huyu Muhammad alikuwa anapokea unabii kutoka kwa Mungu.

JE, MUNGU GANI HUYU AMBAYE HAJUI BAIOLOJIA?

Hivi mtu mwenye fikra pevu anaweza kusikiliza na kukubali kuwa huyu alikuwa Nabii wa Mungu?

HAKIKA MUHAMMAD ALIFANYA UNABII WA UONGOKUMBE BASI MUHAMMAD NI NABII WA UONGO

[h=4]MUHAMMAD ALIFANYA UNABII WA UONGO[/h]
 
Tatizo sio QURAAN! Bali Ni hivyo VICHWA VYA Panzi!

Yaani wewe kuisoma Quraan Ukaielewa ni sawa na Mjaluo Kuimba nyimbo za Kiarabu wakati Taarabu yenyewe Mtihani!


Note:-(41:9)-talks about the creation of earth. -(41:10, 13:3, 15:19-20, 13:3, and 16:15)-talk about the gradual improvment and gifts from Allah Almighty of earth for us. -The creation of earth without its complexity took two days, and the wonderful creations and gifts that Allah Almighty provided for us-on earth took another two days.
[h=4]MUHAMMAD ANADAI KUWA ALIMUONA ALLAH: AISHA ANASEMA YEYOTE YULE ASEMAYE MUHAMMAD ALIMUONA ALLAH NI MUONGO[/h]
Kama kawaida, naendelea kufunua uongo na vituko vilivyo jaa kwenye Koran na Hadith. Katika somo letu la leo, tutajifunza uongo ulio semwa na Muhammad, eti, alimuoana Allah. Soma aya ifuatayo kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril.

Quran 81:15. Naapa kwa nyota zinapo rejea nyuma, ***16. Zinazo kwenda, kisha zikajificha, ***17. Na kwa usiku unapo pungua, ***18. Na kwa asubuhi inapo pambazuka, ***19. Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu, ***20. Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi, ***21. Anaye t'iiwa, tena muaminifu. *** 22. Na wala huyu mwenzenu hana wazimu. ***23. Na hakika yeye alimwona Mwenyezi Mungu kwenye upeo wa macho ulio safi. ***24. Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu. ***25. Wala hii si kauli ya Shetani maluuni. ***26. Basi mnakwenda wapi? ***27. Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote. ***28. Kwa yule miongoni mwenu anaye taka kwenda sawa. ***29. Wala nyinyi hamtataka isipo kuwa atake Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote. ***

Katika aya ya 23, Koran inatuambia kuwa Muhammad alimwona Bwana wake/Allah kwenye upeo wa macho ulio safi. Lakini Maswahiba wa Allah walipo Muuliza mke wake Aisha kama ni kweli Muhammad alimuona Allah, Aisha alikana na kusema asemaye kuwa Muhammad alimwona Allah ni MUONGO. Pata ushaidi hapa chini:

(Sahih al-Bukhari, Volume 9, Book 93, Number 477)

Amehadithia Masruq:

Mimi nilimuuliza 'Aisha, "O Mama! Je Mtume Muhammad aliwai kumuona Bwana wake?" Aisha akasema, "Kile umesema hufanya nywele yangu kusimama juu ya mwisho kujua kwamba kama mtu atakwambia moja ya mambo matatu yafuataho, HUYO NI MUONGO!. Yeyote atakayekwambia kwamba Muhammad alimwona Bwana wake, NI MWONGO"

Ndugu zanguni, leo tumejifunza kuwa, kumbe Muhammad alikuwa MUONGO, pale alipo dai kuwa eti, alimwona Bwana wake. Aisha amesema kuwa YEYOTE YULE ATAKAYE SEMA KUWA MUHAMMAD ALIMWONA BWANA WAKE NI MUONGO.

Je, Maneno ya Aisha yanaukweli, Hebu tuangalie Biblia inasema nini. Katika Injili ya Yohana Biblia inasema kuwa, HAKUNA ALIYE MUONA MUNGU, ISIPOKUWA MWANA(YESU).

Yohana 1: 18Hakuna mtu ye yote aliyemwona Mungu wakati wo wote, ila ni Mungu Mwana pekee, aliye kifuani mwa Baba ndiye ambaye memdhihirisha.

Biblia ipo wazi kuwa, Mwenye uwezo wa kumwona Baba ni Mungu Mwana. Leo tumejifunza kuwa Yesu ni Mungu Mwana. Mtu wa kawaida hawezi kumuona Mungu na akaishi. Zaidi ya Hapo leo tumejifunza kuwa Mtume wa Allah ni MUONGO.

Nakukaribisha kwa Mungu Mwana ambaye yeye yupo Upande wa Kulia wa Baba. Mwamini Yesu hii leo ili upate uzima wa milele.

Katika huduma yake.

[h=4]MUHAMMAD ANADAI KUWA ALIMUONA ALLAH: AISHA ANASEMA YEYOTE YULE ASEMAYE MUHAMMAD ALIMUONA ALLAH NI MUONGO[/h]

 
Nimesha kujibu teyari lakini wewe upo hapa kwenye ligi. Dispute my answer na achana ku generalize mambo.

Copy and Paste bila Kusoma inakuadhiri kila siku.

Nakuuliza YESU WA MSALABANI anasema ktk MATHAYO 10 ; 34 Kuwa

"Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.-
35-Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;-

Nakuuliza Wewe MTU Aliyetuletea PANGA na UNAFIKI kisha AKAJISIFU kwa UNYAMA HUU anafaa Kufatwa?

Na Alivyokuwa Ana ROHO YA KISHETANI hata wale Maskini Walipomuijia na Kumwambia kuwa hawana Uwezo wa KUNUNUA hilo PANGA akawaambia ktk
LUKA 22:36 kuwa "...... naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.-

Yaani Jamaa yule NI BALAA KUBWA MNO. Tena SHETANI WA MIGUU MINGI MNO.
 
Copy and Paste bila Kusoma inakuadhiri kila siku.

Nakuuliza YESU WA MSALABANI anasema ktk MATHAYO 10 ; 34 Kuwa

"Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.-
35-Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;-

Nakuuliza Wewe MTU Aliyetuletea PANGA na UNAFIKI kisha AKAJISIFU kwa UNYAMA HUU anafaa Kufatwa?

Na Alivyokuwa Ana ROHO YA KISHETANI hata wale Maskini Walipomuijia na Kumwambia kuwa hawana Uwezo wa KUNUNUA hilo PANGA akawaambia ktk
LUKA 22:36 kuwa "...... naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.-

Yaani Jamaa yule NI BALAA KUBWA MNO. Tena SHETANI WA MIGUU MINGI MNO.
559621_355826774585051_1303708805354478917_n.jpg
 
[h=4]MUHAMMAD ANADAI KUWA ALIMUONA ALLAH: AISHA ANASEMA YEYOTE YULE ASEMAYE MUHAMMAD ALIMUONA ALLAH NI MUONGO[/h]
Kama kawaida, naendelea kufunua uongo na vituko vilivyo jaa kwenye Koran na Hadith. Katika somo letu la leo, tutajifunza uongo ulio semwa na Muhammad, eti, alimuoana Allah. Soma aya ifuatayo kutoka Koran iliyo shushwa na Jibril.

Quran 81:15. Naapa kwa nyota zinapo rejea nyuma, ***16. Zinazo kwenda, kisha zikajificha, ***17. Na kwa usiku unapo pungua, ***18. Na kwa asubuhi inapo pambazuka, ***19. Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu, ***20. Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi, ***21. Anaye t'iiwa, tena muaminifu. *** 22. Na wala huyu mwenzenu hana wazimu. ***23. Na hakika yeye alimwona Mwenyezi Mungu kwenye upeo wa macho ulio safi. ***24. Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu. ***25. Wala hii si kauli ya Shetani maluuni. ***26. Basi mnakwenda wapi? ***27. Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote. ***28. Kwa yule miongoni mwenu anaye taka kwenda sawa. ***29. Wala nyinyi hamtataka isipo kuwa atake Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote. ***

Katika aya ya 23, Koran inatuambia kuwa Muhammad alimwona Bwana wake/Allah kwenye upeo wa macho ulio safi. Lakini Maswahiba wa Allah walipo Muuliza mke wake Aisha kama ni kweli Muhammad alimuona Allah, Aisha alikana na kusema asemaye kuwa Muhammad alimwona Allah ni MUONGO. Pata ushaidi hapa chini:

(Sahih al-Bukhari, Volume 9, Book 93, Number 477)

Amehadithia Masruq:

Mimi nilimuuliza 'Aisha, "O Mama! Je Mtume Muhammad aliwai kumuona Bwana wake?" Aisha akasema, "Kile umesema hufanya nywele yangu kusimama juu ya mwisho kujua kwamba kama mtu atakwambia moja ya mambo matatu yafuataho, HUYO NI MUONGO!. Yeyote atakayekwambia kwamba Muhammad alimwona Bwana wake, NI MWONGO"

Ndugu zanguni, leo tumejifunza kuwa, kumbe Muhammad alikuwa MUONGO, pale alipo dai kuwa eti, alimwona Bwana wake. Aisha amesema kuwa YEYOTE YULE ATAKAYE SEMA KUWA MUHAMMAD ALIMWONA BWANA WAKE NI MUONGO.

Je, Maneno ya Aisha yanaukweli, Hebu tuangalie Biblia inasema nini. Katika Injili ya Yohana Biblia inasema kuwa, HAKUNA ALIYE MUONA MUNGU, ISIPOKUWA MWANA(YESU).

Yohana 1: 18Hakuna mtu ye yote aliyemwona Mungu wakati wo wote, ila ni Mungu Mwana pekee, aliye kifuani mwa Baba ndiye ambaye memdhihirisha.

Biblia ipo wazi kuwa, Mwenye uwezo wa kumwona Baba ni Mungu Mwana. Leo tumejifunza kuwa Yesu ni Mungu Mwana. Mtu wa kawaida hawezi kumuona Mungu na akaishi. Zaidi ya Hapo leo tumejifunza kuwa Mtume wa Allah ni MUONGO.

Nakukaribisha kwa Mungu Mwana ambaye yeye yupo Upande wa Kulia wa Baba. Mwamini Yesu hii leo ili upate uzima wa milele.

Katika huduma yake.

[h=4]MUHAMMAD ANADAI KUWA ALIMUONA ALLAH: AISHA ANASEMA YEYOTE YULE ASEMAYE MUHAMMAD ALIMUONA ALLAH NI MUONGO[/h]

Kutunga Stori kunazidi Kuiporomosha Imani yenu Kila siku.

Sisi hatujali km Yesu kaona au hakuona.
Yesu anasema wazi kabisa kuwa ni MTUMWA TU.

YOHANA 7:16
- - -Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma

Na hapa anasema Kuwa HATA MANENO YAKE ni AMRI TUPU wala Sio HIARI YAKE. Aliambiwa mpaka NINI AONGEE.

YOHANA 12:49
- --Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba-aliyenituma-ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.
 
Kutunga Stori kunazidi Kuiporomosha Imani yenu Kila siku.

Sisi hatujali km Yesu kaona au hakuona.
Yesu anasema wazi kabisa kuwa ni MTUMWA TU.

YOHANA 7:16
- - -Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma

Na hapa anasema Kuwa HATA MANENO YAKE ni AMRI TUPU wala Sio HIARI YAKE. Aliambiwa mpaka NINI AONGEE.

YOHANA 12:49
- --Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba-aliyenituma-ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.
Pata utamu hapa

SHEHE AMPOKEA YESU NA KUSEMA ALLAH SIO MUNGU NA MUHAMMAD NI MTUME BANDIA
10639547_622499874536239_7575720085671722474_n.jpg
 
Back
Top Bottom