Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,121
- 15,635
Ahahaaa hata maandiko yamesema mwanaume atafanya kazi kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu.
Mario ni kwa boys je nyie mnavyokuwa mnalelewa inaitwaje Mkuu?
So ni kazi ya mwanaume kumlea mwanamke tangu mwanzo. Sema wanaume wengine ndo wanayakimbia majukumu na kua marioo