BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,234
- 6,376
Asantee wew ni mwafrika halisi hujaathiriwa na uzungu ingefaa uishi kipindi cha babu zetuinatokea tu by coincdence...nimefall kwa jamaa hana kituvthn tunaunga nguvu hadi maisha bora tunayafikia...or nimefall kwa mwanaume bila kujua namkuta kashasettle down...
hao wanaochagua mwenye mali na kukataa asie na mali ni hilka zao tu..tabia zao