Why did I get married?

mi nimeoa kwa sababu haka kabinti nilipokatokea kila gia kalikuwa kanaikataa mpaka nilipokaambia nitakaoa
kakakubali,but mpaka nilipotoa mahali na kuweka mambo hadharani ndipo gulipoanza kusafiri pamoja

Mlipoanza safari, kalikuwa hakajasafiri na mtu mwingine yeyote au kalikuwa kameshasafiri mpaka kakachoka na safari ndo maana kakatia ngumu kusafiri, safiri bila kufika mwisho wa kituo.
 
Binafsi katika maisha yangu ya ndoa kuna wakati najiuliza hili swali, ila ni pale napokuwa nimechukia sanasana na vitu fulani ambavo amenitenda....

Hapohapo kuna wakati najikuta nina furaha sana na ndoa yangu.....na pia kuna wakati najiona the lackiest woman to be married with him.. nikiangalia kids ndio kabisa nabakia speechless....Pia kuna wakati nahisi napendwa sana kupitiliza na wakati mwingine naona vice versa.... All in all maisha ndivyo yalivyo kila siku sio jumatano au mwaonaje wakuu?

Gaga,

We are all sailing on the same boat.

I have liked your thread! You have shown both sides of the coin, love and marriage is not all about happiness, but also sadness and the like.
I have gone through sleep less nights, sometime I am asking myself, why? then after two days all is over and naendelea.

The great marriage is not to find a right couple, but to fins out how to live with your partner!

Gaga, that is what you are doing!

Congratulations!
 
Ngoja nikae chini nifanye ile kitu inaitwa 're birth', with it akili yangu ita rewind taratibu,nitapata picha nzima ya maisha yangu kikiwemo kipindi cha kufukuzia,ku win,kuoa,mwanzo wa timbwili,talaka,kupenda tena, kuoa,valangati,talaka tena...............another circle......well ....well....nikimaliza hilo zoezi God willing nitarudi kwenye uzi huu,in the meantime good evening Gaga and the rest of the members mliopo kwenye hii thread.
Bishanga umeacha mara ngapi? duh
 
Nakuunga mkono na mguu wengi wanaoa/wanaolewa kutokana na peer pressure pamoja na family pressure sijui unaolewa lini and other blah blah yani inaboa mpaka basi.im talking from experience here mi nishaulizwa mpaka nimechoka matokeo yake nitachoka kuulizwa na kuamua kukubali kuolewa na mtu ambae simpendi kivile ili mradi nipumzike maswali.

Husithububutu kuwalizisha watu mdogo wangu. Endelea kuomba Mwenyezi Mungu akupe mume mwema.
 
Habari za jioni wakuu wote, hivi napenda kuwauliza wale walioko kwenye ndoa kuna wakati unajiuliza hili swali?? na badae unapata majibu yake?? na badae unajua kwa nini ulijiuliza??
Binafsi katika maisha yangu ya ndoa kuna wakati najiuliza hili swali, ila ni pale napokuwa nimechukia sanasana na vitu fulani ambavo amenitenda....

Hapohapo kuna wakati najikuta nina furaha sana na ndoa yangu.....na pia kuna wakati najiona the lackiest woman to be married with him.. nikiangalia kids ndio kabisa nabakia speechless....Pia kuna wakati nahisi napendwa sana kupitiliza na wakati mwingine naona vice versa.... All in all maisha ndivyo yalivyo kila siku sio jumatano au mwaonaje wakuu?

Namalizia kwa kusema kua kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake maybe tayari ushagundua ubaya bado uzuri na kinyume chake, cha muhimu ni kujitahidi kumfanya partner wako awe happy kila siku, mpe reason ya kuishi hapa duniani, mfanye aone bila wewe maisha yake yamefikia kikomo.
Napenda kuwakilisha kwenu wakuu

Kama wewe ni mkristo ili kujua sababu ya kuoa ama kuolewa kasome Bible. Pili culturally ndoa kwanza halafu kids yaani kuwa na family - kuendeleza ukoo na kuleta human resource ya baadaye. Je, yeye hajawahi kufikiria kama wewe? Na ni vitu gani hasa vinavyokuchukiza?
 
Kumbuka mpenzi siku ile pale kanisani tulipo kula kiapo mbele ya kasisi, wazazi wapande zote mbili na marafiki kuwa utanipenda kwa shida na kwa rahe,maradhi na afya,umasikini na utajiri ila mambo yote ya siri hutamwambia mtu.sintakuudhi tena.....nakupenda mpenzi.
Nakumbuka, uliniahidi utanipenda mpaka mwisho wa maisha yetu, iweje leo umenigeuka mpenzi, umenifanya naona dunia chungu, i thot i was the one for you!! darlingsweetheart... please angalia tulipotoka na malengo tuliyojiwekea...nimekusamehe mpenzi wangu usirudie tena please!
 
Gaga am telling you that is a million dollar question... Naamini comments na sababu za
watu weengi zitakua very benefiting kwa tulio wana ndoa na wale wanaofikiria...

Jibu zuri ni kusema love... maana wanadamu we believe saana in fairy tales..
but most importantly ni kua kinachotufanya to stay married ni tofauti na kwanini mara ya
kwanza ulifunga ndoa... kwa wenye bahati wachache they stay in love forever...
lakini katika maisha yetu haya yenye pressing issues kibao inakua kazi saana kumaintain the vibe..
Personally hapa nashindwa kuingia saana kwa sababu ambazo ziko nje ya uwezo
wangu na wale wanao pitia hizi thread wakiunganisha one and one watajua the person
behind the Avatar...

Pia inategemea na aina ya ndoa. Maanake aina nyingine inaweza fungwa asubuhi na talaka kupigwa jioni!
 
mi nimeoa kwa sababu haka kabinti nilipokatokea kila gia kalikuwa kanaikataa mpaka nilipokaambia nitakaoa
kakakubali,but mpaka nilipotoa mahali na kuweka mambo hadharani ndipo gulipoanza kusafiri pamoja
Kajanja sana hako
 
Nakumbuka, uliniahidi utanipenda mpaka mwisho wa maisha yetu, iweje leo umenigeuka mpenzi, umenifanya naona dunia chungu, i thot i was the one for you!! darlingsweetheart... please angalia tulipotoka na malengo tuliyojiwekea...nimekusamehe mpenzi wangu usirudie tena please!

Sasa nyie mmekuja ku-argue humu ndani. Wilbald ndio mumeo?
 
Kuna siku waif aliondoka kwenda likizo........alinambia anataka akakae kwa wiki mbili. Nikamlazimisha akakae japo wiki tatu au nne kabisa....
Haikupita wiki nikampigia simu arudi haraka sana...........na alivyorudi alikuta kitanda alivyokiacha ndivyo alivyokikuta. Viatu kimoja kiko kaskazini kingine kusini, soksi nyingine ziko kitandani, shuka lilelile, neti haijawahi kupandishwa...... Ndo nikagundua umuhimu wa mke wangu....

Nadhani nimeeleweka. Ambaye hajanielewa anyooshe kidole juu.
 
Kuna siku waif aliondoka kwenda likizo........alinambia anataka akakae kwa wiki mbili. Nikamlazimisha akakae japo wiki tatu au nne kabisa....
Haikupita wiki nikampigia simu arudi haraka sana...........na alivyorudi alikuta kitanda alivyokiacha ndivyo alivyokikuta. Viatu kimoja kiko kaskazini kingine kusini, soksi nyingine ziko kitandani, shuka lilelile, neti haijawahi kupandishwa...... Ndo nikagundua umuhimu wa mke wangu....

Nadhani nimeeleweka. Ambaye hajanielewa anyooshe kidole juu.

Yaani mke na housegirl ni tofauti kabisa!!!
 
Kwani Ndoa ni "Kifungo Cha Maisha"?
Ina tegemea na mkataba unaotaka hata kanisani unaulizwa ndoa ya wake wangapi kwenye cheti pameandikwa kabisa , na kama hutaki kifungo zipo za mbadala wake
 
Kuna siku waif aliondoka kwenda likizo........alinambia anataka akakae kwa wiki mbili. Nikamlazimisha akakae japo wiki tatu au nne kabisa....
Haikupita wiki nikampigia simu arudi haraka sana...........na alivyorudi alikuta kitanda alivyokiacha ndivyo alivyokikuta. Viatu kimoja kiko kaskazini kingine kusini, soksi nyingine ziko kitandani, shuka lilelile, neti haijawahi kupandishwa...... Ndo nikagundua umuhimu wa mke wangu....

Nadhani nimeeleweka. Ambaye hajanielewa anyooshe kidole juu.
Mkuu inaonekana hata nanihii unamwachia anafua au? ila kuna waume wanapenda kufanyiwa kila kitu kama wewe Asprin na wanajisikia raha sana, hapa inategemea na mke mwenyewe mwingine ni mama wa nyumbani masaa 24, huyu hana sababu ya kutomfanyia mumewe yote haya, na kuna wale wafanyakazi mmerudi wote mmechoka then mmoja ananyoosha miguu kuangalia tv mwingine anahangaika na kazi za ndani hii sio fair kabisa, hapo kwa namna hii hukawii kujiuliza swali nililouliza hapo juu
 
Mkuu inaonekana hata nanihii unamwachia anafua au? ila kuna waume wanapenda kufanyiwa kila kitu kama wewe Asprin na wanajisikia raha sana, hapa inategemea na mke mwenyewe mwingine ni mama wa nyumbani masaa 24, huyu hana sababu ya kutomfanyia mumewe yote haya, na kuna wale wafanyakazi mmerudi wote mmechoka then mmoja ananyoosha miguu kuangalia tv mwingine anahangaika na kazi za ndani hii sio fair kabisa, hapo kwa namna hii hukawii kujiuliza swali nililouliza hapo juu
Jamani nilisema kama hamjanielewa mnyooshe mikono juu niwafafanulie........

Sijasema napenda kufanyiwa..........umejuaje kama yeye ndo anapenda kunifanyia?...........Ukweli ni kwamba huwa tunafanya wote.... Nanukuu "Hebu amkaga huko bana, kumeshakucha.....pandisha neti upande wa kule mi sifikii (kwa kudeka kidogo)....hebu vuta shuka upande huo....Jamani na hivi viatu ndo uliviwekaje? Hebu nisogezee hapa nivipange............." Mwisho wa kunukuu, na vitu kama hivyo.

Kama unahitaji ufafanuzi zaidi uliza nitakujibu.
 
Hahaaa nahisi hata kuoga ulikuwa huogi wewe.

Kuna siku waif aliondoka kwenda likizo........alinambia anataka akakae kwa wiki mbili. Nikamlazimisha akakae japo wiki tatu au nne kabisa....
Haikupita wiki nikampigia simu arudi haraka sana...........na alivyorudi alikuta kitanda alivyokiacha ndivyo alivyokikuta. Viatu kimoja kiko kaskazini kingine kusini, soksi nyingine ziko kitandani, shuka lilelile, neti haijawahi kupandishwa...... Ndo nikagundua umuhimu wa mke wangu....

Nadhani nimeeleweka. Ambaye hajanielewa anyooshe kidole juu.
 
Back
Top Bottom