Why Did Brian Williams Lie?

Why Did Brian Williams Lie?

Wameshazipata tano ikiwemo ya Hurricane Katrina in New Orleans (2005)

Mbaya zaidi sasa wameanza kuchunguza habari zake nyingi alizowahi kuziripoti ili kuona kama alikuwa anatia chumvi.

Ila mimi nahisi wengi tu wa hawa maripota huwa wanatia chumvi na yeye si wa kwanza kubambwa.

Kibaya kwake ni kwamba kabambwa tu sasa hivi na kwa Marekani ukiwa mwanahabari halafu ujiharibie uaminifu wako ndo basi tena.
 
Wameshazipata tano ikiwemo ya Hurricane Katrina in New Orleans (2005)

Kwa kweli inashangaza sana kuona mwanahabari wa siku nyingi kama yeye tena kwenye hizi zama za utandawazi kutia chumvi na binzari kwenye habari zake.

Ni rahisi mno mtu kukamatika siku hizi.

Sijui alikuwa anawaza nini tu.

Binafsi sidhani kama atarudi tena hewani na kuendelea na nafasi aliyokuwa nayo.
 
Mbaya zaidi sasa wameanza kuchunguza habari zake nyingi alizowahi kuziripoti ili kuona kama alikuwa anatia chumvi.

Ila mimi nahisi wengi tu wa hawa maripota huwa wanatia chumvi na yeye si wa kwanza kubambwa.

Kibaya kwake ni kwamba kabambwa tu sasa hivi na kwa Marekani ukiwa mwanahabari halafu ujiharibie uaminifu wako ndo basi tena.

yeah!, it's sad that he's been in the industry for years, for him to come down this way!, naona wanaona kuongezea chumvi kunanogesha story
 
Naam na utandawazi ndio uliomuadhiri jamaa baada ya habari yake aliyoiongeza chumvi mtu aliyejua ukweli halisi kuanza kuijadili kule FB. Hii habari kaiongeza chumvi kwa miaka chungu nzima lakini hakutaka kuachana nayo na mpaka imekula kwake. Sijui tuseme ni ugonjwa au kutaka kujikweza kwa audience yake. Ni kitu cha kushangaza sana kufanywa na mtu aliyebobea katika idara ya utangazaji habari na mwenye uzoefu wa miaka chungu nzima.


Kwa kweli inashangaza sana kuona mwanahabari wa siku nyingi kama yeye tena kwenye hizi zama za utandawazi kutia chumvi na binzari kwenye habari zake.

Ni rahisi mno mtu kukamatika siku hizi.

Sijui alikuwa anawaza nini tu.

Binafsi sidhani kama atarudi tena hewani na kuendelea na nafasi aliyokuwa nayo.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Tusubiri tuone Muke ya Muzungu wanaweza kumpa. He deserves this position.

Keshakuwa suspended 6 months .lester holt ndio boss wao sasa hivi .akiamua kuacha William atalupwa 50 million naona oreilly ashaanza kumsifia here he comes foxnews
 
  • Thanks
Reactions: BAK
At least NBC wameonyesha accountability, but those folks at Fox News, they lie everyday na hakuna anayekuwa suspended!.
 
At least NBC wameonyesha accountability, but those folks at Fox News, they lie everyday na hakuna anayekuwa suspended!.

Fox News ina wateja wake: Right Wing, Xenophobic, Die Hard Republicans and Rednecks.
 
Kama FoxNews watamtaka basi ataminya kwa miezi labda miwili au mitatu kisha kuzuka kule kama NBC watakuwa tayari kumlipa marupurupu mazuri ya kuagana naye. At the end of the day yeye ndio atakuwa kwenye win win situation pamoja na credibility yake kuwa shaky.

Keshakuwa suspended 6 months .lester holt ndio boss wao sasa hivi .akiamua kuacha William atalupwa 50 million naona oreilly ashaanza kumsifia here he comes foxnews
 
It's interesting that the piece cites a Reagan story in parallel.

Could Williams be undergoing some early stages of Alzheimer's or a similarly mentally debilitating condition like Reagan did?

Or is that just too convenient?
 
Marekani ni strictly business. Hamna undugu wala ujamaa kazini. Low ratings = huna kazi au program yako inaondoshwa hewani. Yule kizee Dan Rather wa CBS walijaribu kila kitu lakini wakashindwa. Sura ya kizee = low ratings.
Dan rather yeye alidanganya story ile ya Bush jeshini .Dan rather alikuwa anataka kumharibia Rais .Mpaka sasa Dan rather yupo yupo tu kwenye network zisizotambulika
 
It's interesting that the piece cites a Reagan story in parallel.

Could Williams be undergoing some early stages of Alzheimer's or a similarly mentally debilitating condition like Reagan did?

Or is that just too convenient?

Kila binadamu ana exaggerate .Hillary Clinton Bosnia story alidanganya .wengine wanadanganya walienda jeshini Kumbe hawajaenda.William situation hawa ku handle well
 
Kipi ambacho Fox News wamewahi kudanganya halafu hawakuomba radhi?

Fox News ni 1 cable news by far.Msnbc ni lowest cable network .No 1 to 13 trusted anchor ni Fox News google cable news ratings uone mambo
 
Kila binadamu ana exaggerate .Hillary Clinton Bosnia story alidanganya .wengine wanadanganya walienda jeshini Kumbe hawajaenda.William situation hawa ku handle well

Yup..Hilary fibbed.

 
Last edited by a moderator:
Kila binadamu ana exaggerate .Hillary Clinton Bosnia story alidanganya .wengine wanadanganya walienda jeshini Kumbe hawajaenda.William situation hawa ku handle well

Katika kujiondoa katika kudanganya, wenzetu wanaonesha kwamba hili ni tatizo na kuwajibishana.

Tunaishi katika ulimwengu wa zero tolerance, hasa huko magharibi (kwetu tofauti, na ndiyo maana wengine tunakuwa na sympathy sana na Williams, after all PM wetu anadanganya bungeni waziwazi na kusema "wapigwe tu, no big deal).

Wamarekani wana a quaint nostalgia, mostly due to the fog of time and a lesser scrutiny in the past, of the Walter Cronkite era.

But having read Walter Cronkites biography "Cronkite" by Douglas Brinkley, I realize that even that era was not that pure and Cronkite was not that much of a saint.

This is no defence on Williams part, he is a veteran in the news business. But if we are to dig the past for Peter Jennnings life, we are aure to find character flaws.

Does that make Peter Jennings leas of an anchor?

Where do we draw the line that separates "this is a human trait, not beyond the pale and margin of error" and "this is simply unacceptable"?
 
Keshakuwa suspended 6 months .lester holt ndio boss wao sasa hivi .akiamua kuacha William atalupwa 50 million naona oreilly ashaanza kumsifia here he comes foxnews

It might not be a big suprise if BW go to Fox but maan!, that'll be quite a shift!
 
Wameshazipata tano ikiwemo ya Hurricane Katrina in New Orleans (2005)

Geeez!,....unajua mtu akifanya once, unaweza sema alipitiwa, which is not okay in the first place for a journalist cause you'd think they're TRAINED TO BE CORRECT!, sasa mara zote hizi?!, something's wrong somewhere!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom