Why Catholic seminaries excel in exams

SEMINARY STYLE ndiyo jibu pekee la ELIMU ya TANZANIA....!
hapana mkuu,
kuna watu wengi tu tumechana vyema lkn hatujawahi kugusa hizo seminari. kwanza seminari utakuta kuna watoto 30 tu darasani. sasa ukitaka kila wamiliki shule waweke utaratibu wa wanafunzi wachache kama wa seminari mmmh sijui wadogo zetu sisi watasoma wapi!

Pia hao wanaosoma seminari wengi wao wanalishwa kila kitu. Kuna jamaa yangu flani alimaliza Maua miaka ya mwishoni mwa tisini na alipata div I.7 lakini mtihani wa form six alikuja kuharibu mbaya na alipata div 4.

Popote kambi mkuu....

Ni mtazamo wangu tu....
 
Katibu huyo alizitaja shule 10 bora zenye watahiniwa zaidi ya 35 kuwa ni Shule ya Wasichana Marian na St. Mary’s Junior Seminary, zote za Bagamoyo; St. James Seminary, Uru Seminary, Anwarite Girls, Maua Seminary na St. Mary Goreti, zote za Kilimanjaro; nyingine ni Don Bosco Seminary ya Iringa; St. Francis Girls ya Mbeya; na Feza Boys ya Dar es Salaam.

Aidha, alizitaja shule 10 bora zenye wanafunzi chini ya 35 kuwa ni Feza Girls; Thomas More Machrina na Hellen’s za Dar es Salaam; Mafinga Seminary na Bethelsabs Girls za Iringa; na St. Joseph-Kilocha seminary ya Kilimanjaro.

Nyingine ni Queen of Apostles Ushirombo ya Shinyanga; Dungunyi Seminary ya Singida; Rubya Seminary ya mkoani Kagera; na Sengerema Seminary ya Mwanza.

Alisema nafasi ya kwanza kwa mtahiniwa aliyefanya vizuri imekwenda kwa msichana Imaculate Mosha kutoka Marian Girls wakati mvulana bora ni Gwamaka Njobelo wa Shule ya Sekondari Mzumbe.

......Niweke kumbukumbu sahihi hapa.....St. Joseph - Kilocha....hii ipo Njombe - Iringa si Kilimanjaro!
 
......Niweke kumbukumbu sahihi hapa.....St. Joseph - Kilocha....hii ipo Njombe - Iringa si Kilimanjaro!

Hahahaha home boi hawa madogo wapo juu sana vp Don Bosco naona matokeo yao siku hizi sio mazuri sana.
 
Hahahaha home boi hawa madogo wapo juu sana vp Don Bosco naona matokeo yao siku hizi sio mazuri sana.

......Mwaka huu wameperfom vizuri sana, wameshika nafasi ya Tatu kitaifa, kwa shule zenye wanafunzi zaidi ya 35!.....ona hapo chini:

DON BOSCO: DIV-I = 35 DIV-II = 5 DIV-III = 1 DIV-IV = 0 FLD = 0
 
Infact hata wana JF wengi hapa ni X Seminarians. Nami Pia.
.

Hata mimi mkuu nilipita kwenye hiyo system. Ktk darasa letu,wale ambao hatukuendelea na upadre, tulienda chuo kikuu na wote tulitoka na GPA kubwa pia. I attribute that to the best foundation we had from these religious schools. I really appreciate the RC church in that.
 
Ukienda shule km Mzumbe au Ilboru utakuta nao wanachukua the best performers in F4 au F6 lakini hawafanyi vizuri ktk finals. So michujo ya interviews sio hoja kubwa kwa hivyo ktk kufaulu finals.
 
Hata mimi mkuu nilipita kwenye hiyo system. Ktk darasa letu,wale ambao hatukuendelea na upadre, tulienda chuo kikuu na wote tulitoka na GPA kubwa pia. I attribute that to the best foundation we had from these religious schools. I really appreciate the RC church in that.

.......tuko wengi sana huku mtaani! hapa JF ninao wafahamu ma-x seminarians ni zaidi ya kumi!....!

The RC church is really doing a wonderful job......!
 
I have to say they get their desired result and all.Having said that, kama alivyosema mkuu mmoja hapo juu, hii ni case ya selection over education. Utaona hata huyo mtoto wa kwanza baba yake ni profesa mama yake mhasibu, tayari alishakuwa katika mazingira ya usomi hata kabla ya kwenda elimu ya sekondari.

Unapofanya genetic cross breeding of only the best breeds, I wouldn't be surprised if the results are super robust.This is more of a question of selection than education.Even the rigorous process of excessive disciplinariarism is designed to weed out the weak.

I would be more impressed if they didn't start with an overly selective process and maintained a low drop out rate.

The question to ask is, do these schools make these kids that smart or these smart kids continue being smart and are selected to make good names for these schools ?
 
Ora et labora

Umenichekesha kweli kweli. Inaelekea kilatin kilikupiga chenga kweli mazee. Kneel down fast, kilumbia type. eh eh ehe

ni Laborare et Orare. The motto of St. Benedict . Just to reimind you ..
 
Infact hata wana JF wengi hapa ni X Seminarians. Nami Pia.

Personally I always thank the seminary I studied for 6 years. Life was wonderful and in deed very challenging. Every minute is programmed for either, prayer , studies, work, or sports. And now I am happy, because I do the same and my life is not like any other . You know what I mean?

Wanafunzi wanaofeli mitihani wanarudishwa mwaka au wanafukuzwa kuendana na seminary husika. Hili sio geni kwa system ya academics. Hata ungesoma masters ukashindwa kupata mark za kutosha kufikia kiwango kilichowekwa cha kupasi huwezi kupewa tu .

Tatizo la kibongo ni kubebena hata wale wasiojiweza kabisa. Madesa vyuoni, upendeleo wa marks etc then tunakuja kupata mavihiyo kibao kweye system.

By the way kati ya shule 10 bora mwaka 2009 shule 5 zinatoka kilimanjaro na 2 pwani. Na zote zina backround ya misioni.

Nami pia
 
I have to say they get their desired result and all.Having said that, kama alivyosema mkuu mmoja hapo juu, hii ni case ya selection over education. Utaona hata huyo mtoto wa kwanza baba yake ni profesa mama yake mhasibu, tayari alishakuwa katika mazingira ya usomi hata kabla ya kwenda elimu ya sekondari.

Unapofanya genetic cross breeding of only the best breeds, I wouldn't be surprised if the results are super robust.This is more of a question of selection than education.Even the rigorous process of excessive disciplinariarism is designed to weed out the weak.

I would be more impressed if they didn't start with an overly selective process and maintained a low drop out rate.

The question to ask is, do these schools make these kids that smart or these smart kids continue being smart and are selected to make good names for these schools ?

.....hiyo blue ndo sahihi!
 
Umenichekesha kweli kweli. Inaelekea kilatin kilikupiga chenga kweli mazee. Kneel down fast, kilumbia type. eh eh ehe

ni Laborare et Orare. The motto of St. Benedict . Just to reimind you ..

Bado hakukosea,alikuwa sahihi mkuu....Ora et labora - Pray and work(St Benedict)..Pia waweza sema Orare et laborare-To pray and to work,ni kuwekana sawa tu mazee
 
Infact hata wana JF wengi hapa ni X Seminarians. Nami Pia.

Personally I always thank the seminary I studied for 6 years. Life was wonderful and in deed very challenging. Every minute is programmed for either, prayer , studies, work, or sports. And now I am happy, because I do the same and my life is not like any other . You know what I mean?

Wanafunzi wanaofeli mitihani wanarudishwa mwaka au wanafukuzwa kuendana na seminary husika. Hili sio geni kwa system ya academics. Hata ungesoma masters ukashindwa kupata mark za kutosha kufikia kiwango kilichowekwa cha kupasi huwezi kupewa tu .

Tatizo la kibongo ni kubebena hata wale wasiojiweza kabisa. Madesa vyuoni, upendeleo wa marks etc then tunakuja kupata mavihiyo kibao kweye system.

By the way kati ya shule 10 bora mwaka 2009 shule 5 zinatoka kilimanjaro na 2 pwani. Na zote zina backround ya misioni.

Kaka hapo nilipoweka red hapo so mchezo, nakumbuka tuliingia kidato cha kwanza tukiwa 50 lakini tulimaliza 19 ni panga la uhakika wenyewe tulikuwa tunaita kishoka. Siku ya mwisho mkiwa mnafunga shule body ilikuwa inakaa na kujadili wale wa kufukuzwa kwa tabia lakini wa masomo hamna mjadala. Huyo anayesema wanaiba mitihani mh hii ndo inaonyesha kutokuwa na ufahamu wa kutosha. They do deserve!
 
Bado hakukosea,alikuwa sahihi mkuu....Ora et labora - Pray and work(St Benedict)..Pia waweza sema Orare et laborare-To pray and to work,ni kuwekana sawa tu mazee


.....kiongozi kumbe madudes ya kilatini yana panda.....he!he!he!.....mambo ya Amo, amas,amant.....! Cassa, cassae......Agricola, Agricolae.....! amabus......daah! Those days acha tu......!
 
I have to say they get their desired result and all.Having said that, kama alivyosema mkuu mmoja hapo juu, hii ni case ya selection over education. Utaona hata huyo mtoto wa kwanza baba yake ni profesa mama yake mhasibu, tayari alishakuwa katika mazingira ya usomi hata kabla ya kwenda elimu ya sekondari.

Unapofanya genetic cross breeding of only the best breeds, I wouldn't be surprised if the results are super robust.This is more of a question of selection than education.Even the rigorous process of excessive disciplinariarism is designed to weed out the weak.

I would be more impressed if they didn't start with an overly selective process and maintained a low drop out rate.

The question to ask is, do these schools make these kids that smart or these smart kids continue being smart and are selected to make good names for these schools ?

Ili mwanafunzi afaulu vizuri anahitaji vitu vikuu vitatu hasa. 1. Yeye awe kipanga (bright) 2. Awe na walimu wazuri 3. Kuwe na vitabu vya kutosha. Mwanafunzi "kilaza" hata umweke kwenye mazingira mazuri namna gani hawezi kufaulu. Hizi seminari ni kwamba zinapruni wanafunzi kila muhula na mwisho wa siku zinakuwa zimebaki na wanafunzi cream tu. Sasa hapo kwanini matokeo yao yasiwe mazuri kama tunavyoona? Huu ndo ukweli wenyewe.

So "smart kids continue being smart and are selected to make good names for these schools"
 
The question to ask is, do these schools make these kids that smart or these smart kids continue being smart and are selected to make good names for these schools ?

Nami pia nilipita huko mkuu,naomba kukujuza kwenye bold hapo. Semenari hazichagui watoto vipanga ili wajenge majina ya hizo shule...BIG NO!!! Wale tuliopita kule tunalijua hilo vizuri sana. Hata uwe kipanga vipi kama tabia yako ni mbaya wanakufukuza tu. Likewise, hata uwe na tabia nzuri kiasi gani,kama darasani hufanyi vizuri(uko below their set average) wanakufukuza. Hizo ndio principle ambazo at the end of the day vijana wanajitahidi kumaintain tabia nzuri na kusoma kwa bidii na hatimae matokeo mazuri. Nawapa Big up seminari kwa kuwa consistent.
 
Nami pia nilipita huko mkuu,naomba kukujuza kwenye bold hapo. Semenari hazichagui watoto vipanga ili wajenge majina ya hizo shule...BIG NO!!! Wale tuliopita kule tunalijua hilo vizuri sana. Hata uwe kipanga vipi kama tabia yako ni mbaya wanakufukuza tu. Likewise, hata uwe na tabia nzuri kiasi gani,kama darasani hufanyi vizuri(uko below their set average) wanakufukuza. Hizo ndio principle ambazo at the end of the day vijana wanajitahidi kumaintain tabia nzuri na kusoma kwa bidii na hatimae matokeo mazuri. Nawapa Big up seminari kwa kuwa consistent.

There you go,

Hata uwe na tabia nzuri kivipi lakini ukichemka darasani wana ku purge.

That is my entire argument.
 
Back
Top Bottom