Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
Lets discuss this!....Me personally as a woman nawapa cons wanaume...Men are better personal hygiene than women....Mfano right kwenye public bathrooms hizi....Jesus christ ukiingia kwenyebathrooms za wanawake unaweza hata kutapika and also when it comes to usafi wa mwili....wanawake wengine hata hawajui hata kama kuna pembe 19 za mwili unatakiwa lazima ujisugue .......a pia as a woman consider kuoga kwa maji ya baridi maana sisi wnawake tuna bacteria wengi sana ili kuwez akuwauwa hao bacteria inabidi uoge na maji ya baridi na pia kuingiza vidole huko chini na kujisafisha na siyo kujisafisha juu juu tuu ndiyo matokeo yake utakuta mwanamke mtu mzima anatoa harufu kali sana.....imagine alafu unalala kitanda kimoja na mwanaume!....Na pia kunywa maji sana at leats a gallon per day inasaidia kuondoa BO.....
Anyways hiyo mtazamo wangu kama kuna mwingine ana mtazamo tofauti kuwa wanaume are worse than wanawake atoe point zake hapa....
let us debate the following...
kujisafisha na vidole, huh? mnavofuga makucha marefu, basi wengi hamjisafishi, ama? Lord haf mercy! sa ntajihadhari kubusu vidole na mikono...
Lets discuss this!....Me personally as a woman nawapa cons wanaume...Men are better personal hygiene than women....Mfano right kwenye public bathrooms hizi....Jesus christ ukiingia kwenyebathrooms za wanawake unaweza hata kutapika and also when it comes to usafi wa mwili....wanawake wengine hata hawajui hata kama kuna pembe 19 za mwili unatakiwa lazima ujisugue .......a pia as a woman consider kuoga kwa maji ya baridi maana sisi wnawake tuna bacteria wengi sana ili kuwez akuwauwa hao bacteria inabidi uoge na maji ya baridi na pia kuingiza vidole huko chini na kujisafisha na siyo kujisafisha juu juu tuu ndiyo matokeo yake utakuta mwanamke mtu mzima anatoa harufu kali sana.....imagine alafu unalala kitanda kimoja na mwanaume!....Na pia kunywa maji sana at leats a gallon per day inasaidia kuondoa BO.....
Anyways hiyo mtazamo wangu kama kuna mwingine ana mtazamo tofauti kuwa wanaume are worse than wanawake atoe point zake hapa....
let us debate the following...
1)Women are cleaner than men. vs. Men have better personal hygiene habits.
2) Men are more intelligent than women. vs. Women are more intelligent.
3)Women are funnier than men. vs. Men are much better at telling jokes.
4)Men are more honest than women. vs. Women are more honest than men.
5)Women are better dressed than men. vs. Men have a better sense of style.
6)Men are more interesting than women. vs. Women are more interesting.
7)Women are more sensible than men. vs. Men have more common sense.
Men are kinder than women. vs. Women are kinder than men
Lets discuss this!....Me personally as a woman nawapa cons wanaume...Men are better personal hygiene than women....Mfano right kwenye public bathrooms hizi....Jesus christ ukiingia kwenyebathrooms za wanawake unaweza hata kutapika and also when it comes to usafi wa mwili....wanawake wengine hata hawajui hata kama kuna pembe 19 za mwili unatakiwa lazima ujisugue .......a pia as a woman consider kuoga kwa maji ya baridi maana sisi wnawake tuna bacteria wengi sana ili kuwez akuwauwa hao bacteria inabidi uoge na maji ya baridi na pia kuingiza vidole huko chini na kujisafisha na siyo kujisafisha juu juu tuu ndiyo matokeo yake utakuta mwanamke mtu mzima anatoa harufu kali sana.....imagine alafu unalala kitanda kimoja na mwanaume!....Na pia kunywa maji sana at leats a gallon per day inasaidia kuondoa BO.....
Teh teeh teeeehheeee! ARE U A DOCTOR????
it all depends..
They say Dog's paws are cleaner than a woman hand when it comes to number of bacterias we carry with us.
Sistah Binti Maringo...
naogopa hii generalisation. Kuna wanawake wachafu kupindukia kama ambavyo wapo wanaume wachafu kupitiliza.Wapo wanawake wasafi mno na kadhalika wapo wanaume ambao usafi wao unatisha!
Naweza kukubaliana nawe kwenye point kuwa, kimaumbile wanawake wameumbwa katika namna ambayo kuwa wachafu inazidi uchafu wa mwanaume kama mwanamke husika atashindwa kujiswafi na kujitunza. Wanaume maumbile yao kidogo yanawasitiri zaidi lakini haina maana wasijijali usafi.
Wapo wanaume ambao hudhania hawapaswi kuoga mara angalau mbili kwa siku.Huku ni kupotoka. Wanasahau kuwa uchafu wa bacteria juu ya ngozi nao ni kero. Mijasho ya siku nzima iliyochanganyika na polution - vumbi na moshi wa magari na sources nyingine si mchezo.
Bottomline..both men and women need to take care of themselves.
Sistah Binti Maringo...
naogopa hii generalisation. Kuna wanawake wachafu kupindukia kama ambavyo wapo wanaume wachafu kupitiliza.Wapo wanawake wasafi mno na kadhalika wapo wanaume ambao usafi wao unatisha!
Naweza kukubaliana nawe kwenye point kuwa, kimaumbile wanawake wameumbwa katika namna ambayo kuwa wachafu inazidi uchafu wa mwanaume kama mwanamke husika atashindwa kujiswafi na kujitunza. Wanaume maumbile yao kidogo yanawasitiri zaidi lakini haina maana wasijijali usafi.
Wapo wanaume ambao hudhania hawapaswi kuoga mara angalau mbili kwa siku.Huku ni kupotoka. Wanasahau kuwa uchafu wa bacteria juu ya ngozi nao ni kero. Mijasho ya siku nzima iliyochanganyika na polution - vumbi na moshi wa magari na sources nyingine si mchezo.
Bottomline..both men and women need to take care of themselves.