financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,362
😂😂😂 uliiona ile picha kumbe, ndiyo tunakoishi sahivi tumehama from kumwamba😂Ile picha ya pikoko akili ilinikoroga sana, kumbuka huko nyuma nilikuponda kuwa ukammanya Sumbi![]()
😂😂😂 uliiona ile picha kumbe, ndiyo tunakoishi sahivi tumehama from kumwamba😂Ile picha ya pikoko akili ilinikoroga sana, kumbuka huko nyuma nilikuponda kuwa ukammanya Sumbi![]()
Ndi kwa Tenende karibu na Mwaya. Karibu sanauliiona ile picha kumbe, ndiyo tunakoishi sahivi tumehama from kumwamba
![]()
Ahsante mkuu, ntakaribiaaNdi kwa Tenende karibu na Mwaya. Karibu sana
Anakufananisha na ufuta 😂😂 dhihaka hii🥰🥰 shukrani
hahahahahahaha,nitaje basiHahahahaaaa!!
😂😂 UmeanzaAnakufananisha na ufuta 😂😂 dhihaka hii
😂😂 Hapana dada ake😂😂 Umeanza
Vile vi midoli vizuri vya kizunguThakyuuuuh.
Hebu nambie "animation " maana ake nn??

Mie ndo sina crushnahama JamiiForum akii
![]()
😅😅😅 sawa i have toTrust me unae
@yna2Habari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..
NB: Please, Crushes remain Crushes! Dont start to PM anyone and start disturbing them![]()
😂😂😂😂Asee manengelo sijui a.k.a nzulat huwa namkubali sana mdada huyu
Kwa wakaka kwa kweli siwez kutaja maana naweza kutaja kumbe nikaharibu badala ya kujenga...
Kwanini kipenzi changu shetani??Nakadori nitamuombea kwa Mungu kama kuna ufalme wa mungu auone
Ooooh thankssss moah!!!
![]()
"Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri na ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake kuwa mabaya kwa maana kwa matunda yake mti utatambulikana " mathayo 12:33Kwanini kipenzi changu shetani??
🙏🙏🙏"Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri na ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake kuwa mabaya kwa maana kwa matunda yake mti utatambulikana " mathayo 12:33
Wewe ni mti wenye matunda kwa maana huna makuu mcheshi na mpole kinachonifurahisha mm ni mfuasi wa nyuzi zako nazipenda saana hapa jukwaani