Who is the next target?

Who is the next target?

My guess! Up next TISS, POLISI, MALIASILI, MAKAMPUNI BINAFSI A WAHINDI (A to Z; Sunflag etc) ambako licha ya vitendo vya kukwepa kodi wahindi n wachina wanagenisha ajira za wazawa na wamewageuza ndugu zetu wazawa kuwa manamba katika nchi yao!



Rais Magufuli anaendelea kutumbua majipu yanayoisababishia hasara nchi kwa namna moja au nyingine.

Baada ya kutumbua majipu TPA, TRA, TAKUKURU etc next target ni upi/yupi ili tupunguze kustuka?

To me CAG is the one maana audit za TPA na TRA lazima zitamgusa kwa namna moja ama nyingine.

Je, wewe mdau unafikiri/natamani nani awe kwenye 18 za mtumbua majipu, Dr.Magufuli?
 
CAG aliyekuwa madarakani mpaka karibia na uchaguzi ndugu Ludovick Uttoh ameshastaafu. sasa sijui wataenda kumtumbua huko huko rombo? maana aliyepo sasa hivi Prof. Asad hana hata mienzi miwili na nusu.

CAG hawezi kukwepa uozo huu,

Rais Magufuli anaendelea kutumbua majipu yanayoisababishia hasara nchi kwa namna moja au nyingine.

Baada ya kutumbua majipu TPA, TRA, TAKUKURU etc next target ni upi/yupi ili tupunguze kustuka?

To me CAG is the one maana audit za TPA na TRA lazima zitamgusa kwa namna moja ama nyingine.

Je, wewe mdau unafikiri/natamani nani awe kwenye 18 za mtumbua majipu, Dr.Magufuli?
 
Rais Magufuli anaendelea kutumbua majipu yanayoisababishia hasara nchi kwa namna moja au nyingine.

Baada ya kutumbua majipu TPA, TRA, TAKUKURU etc next target ni upi/yupi ili tupunguze kustuka?

To me CAG is the one maana audit za TPA na TRA lazima zitamgusa kwa namna moja ama nyingine.

Je, wewe mdau unafikiri/natamani nani awe kwenye 18 za mtumbua majipu, Dr.Magufuli?

CAG amelindwa vema na katiba, rais hana mamlaka ya moja kwa moja kumfukuza, there is a long process kumuondolea cheo chake. Ibara ya 144 ya katiba inaweka utaratibu wa kumuondoa CAG ambao ni mgumu.
 
TPA nasikia ilikuwa haikaguliwi na CAG sina uhakika ila naambiwa walikuwa wanakaguliwa na kampuni ndogo ndogo za ujanja za ukaguzi.Mategemeo yangu NBAA watafuatilia Hao wakaguzi wao pia wa Ndani na wa nje kuangalia hizo kaguzi zao zikoje na wachukue hatua stahiki kwa wahusika
Ficha ujinga wako wewe mpuuzi

TPA Inakaguliwa na CAG kupitia kwa PWC

Unaifahamu PWC Wewe?
 
Matumizi katika uchaguzi wa mwaka huu hayajapata kutokea. Vyama lazima vichunguzwe ...pesa za kampeni zimetoka wapi.
matrilioni yaliotumika lazima ifahamike chanzo chake. CAG na msajili wa vyama wanatakiwa wawajibike kwa hili.
 
Back
Top Bottom