Humu tunafaahamiana kwa ID tu,
wachache tuna-mingle inapobidi, na hata ikitokea utanifahamu kwa jina la Twilumba until proven hujaja kwa kuagizwa na tuwaambiao ukweli wakakasirika!
Kwa makavu tunayopeana humu kufahamiana na mtu physically ni kujitafutia kupunguzwa meno na kucha bila hiari!
Kwa heri