mimi mwenyewe nilimshnagaa, lakini nikiwashangaa zaidi waliokuwa wakimsikiliza maana niliona kwenye tv, niltegemea mmoja agetoka pale akamchape kofi kama ilivyokuwa kwa Mh. Mwinyi si mnakumbuka, (ingawa matukio hayafanani)
Pale kulikuwa na watu wazima kabisa wakimsikiliza waliwezaje kuvumilia pumba zile.