

acha uongo bwana, amesoma sangu kule mbeya...siyo iyunga...hata hivyo alisoma wakati babake alipokuwa exile hapa tz....na alisoma kidogo tu hakumaliza akaacha na kuendelea na hayo magumashi yao....wabongo kwa kuongea kama wanajua balaaJoseph kabila ni mtanzania halisi kasoma iyunga mbeya na nyumbani kwao kunduchi mtongani nenda mtaa wa congo au lumumba kaulize joseph kabila watakupa historia yake A to Z.
dah, huyu mzee alikuwa anazaa mchana na usiku....mbona vitoto vingine havijaachishwa ziwa vingine vimeshazaliwa...hahaha, dah..aisee namwona joseph kabila kweli, lakini hapo alipiga picha na watoto wake wote au kuna watoto wengine wa majirani aliwachukua kupiga nao picha, embu angalia ivyo vidogovidogo vilivyosambamba..Tuache kukisia mambo,hii ndio familia ya kabila,joseph yupo hapo kulia kabisa kwa waliosimama,na huyo mama ndio sifa mahanya mke wa kabila na mama wa joseph,huyo MARCELINA yuko wapi?
Picha ya chini ni mzee Kabila na mkewe mama Sifa Mahanya wakiwa bado vijana1
![]()
Mama Sifa Mahanya et Laurent-Désiré Kabila Dans le maquis de Fiz![]()