Atakuwa Ni Boyfriend Wake Huyo Hivi Vitoto Vya Siku Hizi Balaa Miaka Sita Tu Tayali Kanajua Mtoto Anapatikanaje Wakati Sisi Tulidanganywa Mtoto Wanatoa Mtoni.
Na Hii Ndio Digital Generation.
wewe ulivyokua mdogo kuanzia miaka 6... nakuendelea hukuwahi kuwa na msichana au wasichana wa rika lako uliyekuwa unaopenda kuongea nae, kuwa karibu naye au kucheza naye na siku asipokuja shule unahisi kuumwa na kuwa myonge? mpaka ufikie hatua ya kumfikiria mtoto wa miaka saba vibaya? ukitaka kulea mtoto vizuri na kutopata presha zisizokuwa na maana jitahidi kuvuta kumbukumbu ulivyokuwa mdogo, ulikuwa na hisia zipi, ulifanya nini, ulifurahia nini na ulipenda nini! hapo utakuwa the best baba.
Kwanini ufikirie huko haraka namna hiyo?
kwanini hupanua fikra zako kwa vitu vingine Kama mwalimu wake...rafiki Wa kawaida....classmate... actor..(maana watoto huvutiwa Sana na washiriki Wa filamu mfano Daniel ktk tamthiliya ya kifilipino ya hivi karibuni)
ili upate jibu sahihi jaribu kuiondoa nafsi yako ktk zizi moja LA fikra.....
Tatizo Moja Mavijana Ya Siku Hizi Mmechukulia Neno BOYFRIEND KAMA MPENZI Mimi Hapo Namaanisha Boyfriend Kama Rafiki Yake Wa Kawaida Wanaecheza Naye VIKOPO.
kuwa makini si kila unaejadiliana nae ana akili fupi.Atakuwa Ni Boyfriend Wake Huyo Hivi Vitoto Vya Siku Hizi Balaa Miaka Sita Tu Tayali Kanajua Mtoto Anapatikanaje Wakati Sisi Tulidanganywa Mtoto Wanatoa Mtoni.
Na Hii Ndio Digital Generation.
Hahahaha Umenikumbusha Mbali Sana Kucheza Kibaba Na Kimama.
Ntakuja kesho kufafanua vizuri, sasa hivi nawahi nimeuacha mchepuko wangu uko pepe yake bar, watautongoza. Ni somo refu sana kaka, but inawezekana
Kozi ni ndefu sana. Kwa sasa Nimemaliza kujifunza kuhusu " UCHAWI NA WANYAMA ". Hapa nimjifunza uhusiano uliopo kati ya uchawi na wanyama mbalimbali. Nimejifunza kwa nini wachawi hutumia wanyama, ndege na wadudu mbalimbali katika mambo yao ya kichawi. Nimejifunza matumizi ya kichawi kuhusu wanyama kama bundi, paka, nyegere, fundichuma, mkatasanda(ndege wa kichawi ), kivunja chungu, mbwa, mbuzi, kuku, mjusi nakadhalika.
Kwa sasa naendelea na somo refu na gumu kuhusu TUNGULI NA MATUMIZI YAKE. Kuna zaidi ya aina ELFU NANE za Tunguli. Kwa sasa nimeshajifunza tunguli kama elfu tatu, nimejifunza zinavyotengenezwa, pamoja na kazi yake. Safari bado ni ndefu sana
MY FIANCEE ANA TARAJIA KUJIFUNGUA MTOTO MWEZI JANUARY 2015. Nina binti yangu (first born ) ana maka 7 anasoma Standard Three. Last week me ni waubavu wangu tulikuwa tunajadili jina la kumpa mtoto atakaezaliwa. Kama atakuwa wa kike tumpe jina gani na akiwa wa kiume tumpe jina lipi. Mtoto wangu yeye ali suggest akiniaambia " Daddy kama akizaliwa wa kiume mumuite Daniel ". She insisted a lot about that name. Nikamuuliza kwa nini Daniel, akasema basi tu analipenda sana hilo jina.
Najiuliza, kitu gani kinaweza kumfanya msichana wa miaka saba kulipenda jina la kiume? Anaweza kuwa na rafiki kipenzi mvulana anayeitwa Daniel ? Au labda anavutiwa na kupendezwa na mtoto mwenzake ( probably classmate ) anaye itwa Daniel ? Guys nyie mmeonaje hapo ? Kama majibu ya maswali yangu yatakuwa ndio , itanibidi nifanye kazi ya ziada kuokoa jahazi, maana kama ni binti wa miaka saba tu ameshakuwa na swaga hizo akifikisha miaka 12 itakuwaje ? Nipeni mawazo yenu please. THE AIM IS TO AVOID ANOTHER LULU DRAMA
MY FIANCEE ANA TARAJIA KUJIFUNGUA MTOTO MWEZI JANUARY 2015. Nina binti yangu (first born ) ana maka 7 anasoma Standard Three. Last week me ni waubavu wangu tulikuwa tunajadili jina la kumpa mtoto atakaezaliwa. Kama atakuwa wa kike tumpe jina gani na akiwa wa kiume tumpe jina lipi. Mtoto wangu yeye ali suggest akiniaambia " Daddy kama akizaliwa wa kiume mumuite Daniel ". She insisted a lot about that name. Nikamuuliza kwa nini Daniel, akasema basi tu analipenda sana hilo jina.
Najiuliza, kitu gani kinaweza kumfanya msichana wa miaka saba kulipenda jina la kiume? Anaweza kuwa na rafiki kipenzi mvulana anayeitwa Daniel ? Au labda anavutiwa na kupendezwa na mtoto mwenzake ( probably classmate ) anaye itwa Daniel ? Guys nyie mmeonaje hapo ? Kama majibu ya maswali yangu yatakuwa ndio , itanibidi nifanye kazi ya ziada kuokoa jahazi, maana kama ni binti wa miaka saba tu ameshakuwa na swaga hizo akifikisha miaka 12 itakuwaje ? Nipeni mawazo yenu please. THE AIM IS TO AVOID ANOTHER LULU DRAMA
me kilichonishangaza ni
i)bado watu wanasubiri wazae ndo wajue gender ya mtoto! Unless mnataka surprise sawa.
ii)miaka 7 yuko grade 3!!! Duh. Not bad ndo system ilivyo siku hizi lakini huwa naona kama utoto utawapita watu kwasababu ya kuwahi kudeal na stress za maisha
iii)ukitaka kudeal na mtoto usiangalie miaka angalia yuko darasa la ngapi. Yani mtoto akishaanza shule, you can control very little. Nakumbuka mimi nilijua kuhusu porn wakati niko darasa la saba. Wasichana wengi tulikuwa na miaka 13. Lakini best friend wangu alikuwa na miaka 11!!!!
Iv)unafikiri watoto huwa "hawapendi"? They might not think of sex but be sure wao sio midoli. Hata wanyama hupenda. Inaweza kuwa unavyifikiri. Kwamba kuna mtu anampenda ana jina hilo. Tena sio lazima awe mtoto.
Au labda kalipenda tu!
V)labda kwasababu ni mtoto wa kike. Lakini angekuwa wa kiume ungefurahi sana. Jinsi ninavyoogopa "mabwabwa", kama itanibidi kumtafutia mwanangu girlfriend at 7yrs ili kuepuka, i will do it.
V)kuliko kukaa na wasiwasi na mawazo negative, kwanini usimuulize binti yako?
boyfriend wa bint yako huyoMY FIANCEE ANA TARAJIA KUJIFUNGUA MTOTO MWEZI JANUARY 2015. Nina binti yangu (first born ) ana maka 7 anasoma Standard Three. Last week me ni waubavu wangu tulikuwa tunajadili jina la kumpa mtoto atakaezaliwa. Kama atakuwa wa kike tumpe jina gani na akiwa wa kiume tumpe jina lipi. Mtoto wangu yeye ali suggest akiniaambia " Daddy kama akizaliwa wa kiume mumuite Daniel ". She insisted a lot about that name. Nikamuuliza kwa nini Daniel, akasema basi tu analipenda sana hilo jina.
Najiuliza, kitu gani kinaweza kumfanya msichana wa miaka saba kulipenda jina la kiume? Anaweza kuwa na rafiki kipenzi mvulana anayeitwa Daniel ? Au labda anavutiwa na kupendezwa na mtoto mwenzake ( probably classmate ) anaye itwa Daniel ? Guys nyie mmeonaje hapo ? Kama majibu ya maswali yangu yatakuwa ndio , itanibidi nifanye kazi ya ziada kuokoa jahazi, maana kama ni binti wa miaka saba tu ameshakuwa na swaga hizo akifikisha miaka 12 itakuwaje ? Nipeni mawazo yenu please. THE AIM IS TO AVOID ANOTHER LULU DRAMA