Who is Daniel?

Who is Daniel?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,302
MY FIANCEE ANA TARAJIA KUJIFUNGUA MTOTO MWEZI JANUARY 2015. Nina binti yangu (first born ) ana maka 7 anasoma Standard Three. Last week me ni waubavu wangu tulikuwa tunajadili jina la kumpa mtoto atakaezaliwa. Kama atakuwa wa kike tumpe jina gani na akiwa wa kiume tumpe jina lipi. Mtoto wangu yeye ali suggest akiniaambia " Daddy kama akizaliwa wa kiume mumuite Daniel ". She insisted a lot about that name. Nikamuuliza kwa nini Daniel, akasema basi tu analipenda sana hilo jina.

Najiuliza, kitu gani kinaweza kumfanya msichana wa miaka saba kulipenda jina la kiume? Anaweza kuwa na rafiki kipenzi mvulana anayeitwa Daniel ? Au labda anavutiwa na kupendezwa na mtoto mwenzake ( probably classmate ) anaye itwa Daniel ? Guys nyie mmeonaje hapo ? Kama majibu ya maswali yangu yatakuwa ndio , itanibidi nifanye kazi ya ziada kuokoa jahazi, maana kama ni binti wa miaka saba tu ameshakuwa na swaga hizo akifikisha miaka 12 itakuwaje ? Nipeni mawazo yenu please. THE AIM IS TO AVOID ANOTHER LULU DRAMA

 
Kweli kuna utata hapo.......chunguza.......
 
Naelewa hivyo kaka, but my concern ni kuhusu binti yangu wa miaka 7 kusema analipenda sana hilo jina.

Relax, Time will tell maana wengine hapa hata huyo mwanao hatumjui
^^
 
Naelewa hivyo kaka, but my concern ni kuhusu binti yangu wa miaka 7 kusema analipenda sana hilo jina.


kwa miujibu Wa title yako umetaka kujua Daniel ni nani kwa maana nyingine maana ya hilo jina....

mwenzio kakujibu unasema unajua but unataka kujua why binti yako alichagua hilo jina....

umesema mwenyewe mlikaa kujadiliana binti akapendekeza hilo jina sasa tatizo nini??

Angeweza taja lolote tu na jibu sahihi lipo kwa binti yako....

anyway vipi mafunzo ya uchawi hujamaliza mkuu??
 
Daniel sounds good..

kwa mtoto wa miaka saba? au labda kuna rafiki yake anaitwa somebody Daniel, and she like the way that name sound? Inawezekana ikawa hivyo pia. Asante sana kwa wazo lako zuri.
 
Hivi ukimuuliza mtoto unategemea nini?


Hilo ni kawaida tu Kama baba alitaka achaguliwe jina la kiume...

Hakuulizwa, yeye alidakia tu maongezi. kwanza hata tulikuwa hatujui kama yeye anajua mama yake ana mimba achilia mbali mtoto anazaliwa vipi
 
kwa mtoto wa miaka saba? au labda kuna rafiki yake anaitwa somebody Daniel, and she like the way that name sound? Inawezekana ikawa hivyo pia. Asante sana kwa wazo lako zuri.


Angetaja Alex jee?

tatizo baba mindset yako iko huko ndo maana imekuchanganya
 
Hakuulizwa, yeye alidakia tu maongezi. kwanza hata tulikuwa hatujui kama yeye anajua mama yake ana mimba achilia mbali mtoto anazaliwa vipi


Hata Kama hakuulizwa but context imempelekea aseme hivyo....

Kama hamkutaka ajue mlikua mnajadiliana yanini mbele yake??

hilo Daniel kalisema ghafla tu au huwa analirudia rudia?
 
kwa miujibu Wa title yako umetaka kujua Daniel ni nani kwa maana nyingine maana ya hilo jina....

mwenzio kakujibu unasema unajua but unataka kujua why binti yako alichagua hilo jina....

umesema mwenyewe mlikaa kujadiliana binti akapendekeza hilo jina sasa tatizo nini??

Angeweza taja lolote tu na jibu sahihi lipo kwa binti yako....

anyway vipi mafunzo ya uchawi hujamaliza mkuu??

Kozi ni ndefu sana. Kwa sasa Nimemaliza kujifunza kuhusu " UCHAWI NA WANYAMA ". Hapa nimjifunza uhusiano uliopo kati ya uchawi na wanyama mbalimbali. Nimejifunza kwa nini wachawi hutumia wanyama, ndege na wadudu mbalimbali katika mambo yao ya kichawi. Nimejifunza matumizi ya kichawi kuhusu wanyama kama bundi, paka, nyegere, fundichuma, mkatasanda(ndege wa kichawi ), kivunja chungu, mbwa, mbuzi, kuku, mjusi nakadhalika.

Kwa sasa naendelea na somo refu na gumu kuhusu TUNGULI NA MATUMIZI YAKE. Kuna zaidi ya aina ELFU NANE za Tunguli. Kwa sasa nimeshajifunza tunguli kama elfu tatu, nimejifunza zinavyotengenezwa, pamoja na kazi yake. Safari bado ni ndefu sana
 
Hata Kama hakuulizwa but context imempelekea aseme hivyo....

Kama hamkutaka ajue mlikua mnajadiliana yanini mbele yake??

hilo Daniel kalisema ghafla tu au huwa analirudia rudia?

analirudia rudia
 
Atakuwa Ni Boyfriend Wake Huyo Hivi Vitoto Vya Siku Hizi Balaa Miaka Sita Tu Tayali Kanajua Mtoto Anapatikanaje Wakati Sisi Tulidanganywa Mtoto Wanatoa Mtoni.
Na Hii Ndio Digital Generation.
 
Kozi ni ndefu sana. Kwa sasa Nimemaliza kujifunza kuhusu " UCHAWI NA WANYAMA ". Hapa nimjifunza uhusiano uliopo kati ya uchawi na wanyama mbalimbali. Nimejifunza kwa nini wachawi hutumia wanyama, ndege na wadudu mbalimbali katika mambo yao ya kichawi. Nimejifunza matumizi ya kichawi kuhusu wanyama kama bundi, paka, nyegere, fundichuma, mkatasanda(ndege wa kichawi ), kivunja chungu, mbwa, mbuzi, kuku, mjusi nakadhalika.

Kwa sasa naendelea na somo refu na gumu kuhusu TUNGULI NA MATUMIZI YAKE. Kuna zaidi ya aina ELFU NANE za Tunguli. Kwa sasa nimeshajifunza tunguli kama elfu tatu, nimejifunza zinavyotengenezwa, pamoja na kazi yake. Safari bado ni ndefu sana


Nikitaka kumwona mchawi kwa macho yangu nafanyaje mkuu?
 
Nikitaka kumwona mchawi kwa macho yangu nafanyaje mkuu?

Ntakuja kesho kufafanua vizuri, sasa hivi nawahi nimeuacha mchepuko wangu uko pepe yake bar, watautongoza. Ni somo refu sana kaka, but inawezekana
 
kwa mtoto wa miaka saba? au labda kuna rafiki yake anaitwa somebody Daniel, and she like the way that name sound? Inawezekana ikawa hivyo pia. Asante sana kwa wazo lako zuri.

Watoto wa siku hizi ni wadadisi sana
 
wewe ulivyokua mdogo kuanzia miaka 6... nakuendelea hukuwahi kuwa na msichana au wasichana wa rika lako uliyekuwa unaopenda kuongea nae, kuwa karibu naye au kucheza naye na siku asipokuja shule unahisi kuumwa na kuwa myonge? mpaka ufikie hatua ya kumfikiria mtoto wa miaka saba vibaya? ukitaka kulea mtoto vizuri na kutopata presha zisizokuwa na maana jitahidi kuvuta kumbukumbu ulivyokuwa mdogo, ulikuwa na hisia zipi, ulifanya nini, ulifurahia nini na ulipenda nini! hapo utakuwa the best baba.
 
Back
Top Bottom