Mm n shabiki wa messi....but kama hii attachment ni ya ukweli...cjui nisemeje yaani
Daah
Where is James Rodriguez?
Where is Thomas Muller?
Where is Neymar?
Those are top world cup scorers.
wewe kibibi hivi unakuwaga na matatizo gani maana mara nyingi comment zako utafikiri umetupiwa jini... Hivi hao uliowataja kweli kabisa unaona wanafurukuta kwenye hiyo list ya hao 3 bora kweli?
Wewe kibibi hivi unakuwaga na matatizo gani maana mara nyingi comment zako utafikiri umetupiwa jini... Hivi hao uliowataja kweli kabisa unaona wanafurukuta kwenye hiyo list ya hao 3 bora kweli?