Who created ISIS?

Status
Not open for further replies.
what the hell are you smoking?.
 

Inabid uwe na free mind ili kuweza kujua ukweli kamili kuhusu isis,mtoa mada yeye amechokoza mada tu,katika kusoma na kupitiapitia kwangu nimegundua fika kwamba isis wanadhaminiwa financial na u.s na saudiarabia,saudi arabia anasuport isis ili aiondoe serikali ya shia iliyopo iraq na kuweka utawala wa kisuni kama uliopo saudiarabia na viongoz wa saudi arabia wanafanya hv ili kupata security ya marekani coz ndo ananunua advance weapons za kisasa,na kwa anaetaka kulijua hl kuna uzi nilianzisha hapa 'ya saudi arabia,na unafiki wa marekani' natumia simu hapa siwezi kuweka link ila kwa mwenye kutaka kuelewa autafute asome na aunganishe dot ataelewa vya kuelewa,otherwise western media its ful of propaganda they only broadcast what they want people to see and hear
 



Na ambae hataelewa kwa maelezo yote basi hatokaa akaelewa kamwe
 

Kwa hyo upeo wako wa kufikiria ndo umeishia hapa?
 

Im sure wengi wanapita bila ya kusoma hii article kwa kuzoea sumary na kutafuniwa ila ukweli wote uko hapa kuhusiana na orignal ya isis kwa mwenyetaka kuelewa
 
Hv kwenye uislam mtu anajifunza nn zaidi ya laana zote za dunia? Chuki kuvaa mabomu kuoa wake wengi kuabudu majini. Yaani uislam ni uchafu. Without Islam the world could b a peaceful place to leave.

Again im wondering nyie watu huwa mnatumia nini kufikiri?
 
The only problem i c in the world is to have people with the mind like yours,akili mmepewa mnashndwa kuzitumia,wenzenu wanafaidika na maslah binafs nyie mmekaa kujazwa ujinga na nyie mnakubali tu!
muisrael kamfanya muarabu vibaya hadi kampa 'paranoia'....itafikia stage mtu (muarabu) akijikwaa wakati anatembea atasema muisraeli aliweka kisiki njiani..

Hv unajua kwamba zaidi ya 60% wanaisrael hawamuamini yesu,au unashadadi tu mambo bila ya kujua undani wake,na kwa taarifa yako uislam utakuwepo mpk mwisho wa dunia,no one can stop its spreading hvyo wanavyofanya israel ni vitimbi tu hata kipnd cha mtume vilikuwepo.by the way next time usitumie kiroba tena kabla ya kupost
 
Jombaaa.. Kuna kitu kinaitwa False flag terrorism- unakumbuka 9/11 mwaka 2001 majengo ya world trade center yalivyo anguish wa!!? Ile ilikua kazi ya bush na CIA - na wala si Al kaida wala Osama - hiyo inaitwa false flag terrorism.. Nia yao ilikua kwenda kutafuta mafuta na kuichafua dini ya kiislam.. Hii ni kazi ya secret societies na mpango wao wa new world order... Soo marekani is one who create Isis nia yao ni kufanya public urest ili waweze kuweka Marshall law
 

ulishawahi kuisoma koran na hadithi za mtume? kama bado tafuta zipo za kiswahili na kingereza ndio utajua uislamu unachafuliwa au uislamu ni uchafu kwa asili.
 

Nakubaliana na wewe mia kwa mia. Kwa nionavyo mimi Marekani na washirika wake ndio khasa tatizo. Kwa mfano wakati wa Saddam Hussein, hali ilikua shwari kabisa, lakini Marekani kwa faida zake akahakikisha Saddam anaondoka na tuliona kilichomtokea. Hivyo basi lawama Marekani na Mwingireza hawawezi kukwepa kwa hili la Iraq, chanzo ni wao. Hivi karibuni kuna mjadala ulionyeshwa katika luninga ya ITV ya Uingereza, lawama nyingi alitupiwa Bush na Blair kuwa ndio chanzo cha machafuko yanayoendelea sehemu mbalimbali, alionyeshwa Blair akijibu kuwa yeye hahusiki na haya ni mapya na hayahusiani na Saddam.

Kwa wote wenye ushabiki tu bila kuelewa, basi watapinga
 
Hv unajua kwamba zaidi ya 60% wanaisrael hawamuamini yesu,au unashadadi tu mambo bila ya kujua undani wake,na kwa taarifa yako uislam utakuwepo mpk mwisho wa dunia,no one can stop its spreading hvyo wanavyofanya israel ni vitimbi tu hata kipnd cha mtume vilikuwepo.by the way next time usitumie kiroba tena kabla ya kupost[/QUOTE]

povu la nini...nani kasema waisrael wote wakristo?...kama unataka kujua uhusiano kati ya uyahud na ukristo ni kwamba wote wanamuabudu Mungu mmoja anayeitwa Yehova...na wewe unajua kama kuna waisrael waislam tena wengine wanajeshi?
 
Go to hell, the idea that Islam was in some way created by the Vatican is not true @ all, let me give you some details maybe u will wake up one day.

1st of all Islam has existed since the beginning of time and that it is the natural religion of mankind. Adam (peace be upon him), according to such a belief, was a Prophet of Islam and was the first Muslim.

Muslims believe that all the prophets of the Old Testament, such Abraham and Moses as well as Jesus in the New Testament (peace be upon them all) were all prophets of Islam.


Are all the prophets of history Muslim? From a Muslim standpoint: YES! Do Christians and Jews beleive this.... NO! Is this a big deal... YES! First I will examine the standpoints of Christianity and Judaism and then the standpoint of Islam.

Judaism: Were all the prophets Jewish? No, though most of their prophets considered themselves Jews, their first prophet Abraham was not a Jew, he was around before Judaism officially exists, and one website about jewish prophets says, "A prophet is not necessarily a Jew" (jewfaq.org/prophet.htm) God sent prophet to gentiles as well... Is this a problem?? YES If Jews were the nation chosen by God and Judaism is the right religion under God why would God be sending messengers that weren't of his faith? Since Judaism is a religion with two dimensions (nationality and religion) one who is not part of the nation chosen by God is not a Jew, so why is God sending forth prophets from an unchosen nation? It doesn't make sense.

Christianity: Were all prophets Christian? NO, even Jesus(pbuh) himself wasn't a Christian (as Muslim we beleive he was Muslim), Christians beleive he was a Jew, even as a Christian I knew Jesus(pbuh) wasn't Christian. For anyone who's curious Jesus couldn't have been a Christian because a Christian is one who follows the teaching of Christ (Jesus pbuh) and beleives in his death and resurrection, so the only way Jesus could've been a Christian was after his death and resurrection, so if necessary I'll grant that Jesus was a Christian for a couple of days (once he was resurrected, according to Christian theology) And all the prophets before Jesus were not Christian. So Christians base their faith on prophets who weren't even of the same faith, they follow some rules from the old testament and others they ignore. It doesn't make much sense to have a religion where most prophets aren't even of that religion, does it??

Islam: are all prophets Muslim? YES!! This can be very hard for some to wrap their head around (even some Muslims). I mean didn't Islam only come into being in the 7th century? The answer is Yes and no, Muhammad (saw) brought the final revelation not the first, and certainly not the only. Though many people are correct in saying that the terms Islam and Muslim are rather recent, but just because one didn't use the same terms to identify something doesn't mean that it wasn't the same thing. For example I live in Quebec (a province in Canada) originally Quebec was called New France, then Lower Canada, and now Quebec, but it is still the same mass of land, still the same place so when we talk about history of Quebec we don't stop when it was called Lower Canada or New France, we go all the way back (even before that) and we recognize that even though it was functioning under a different name it was still Quebec. So we will do the same with Islam even though it wasn't called Islam it was the same religion, because it was the worshipping of a single God who is ONE.
 
Propaganda at work, ISIL wamefukuza na kuua wakristu Mosul, ndivyo walivyoagizwa na western countries?. ISIL ni kundi la waislam wenye itkadi kali, muache kubebesha watu wengine mzigo wa Mohammed

ISIS haikuanzishwa na western countries,, Laa!!!!!!! ni kikundi kianza kwa lengo la kumuondoa ASAD kule SYria... ila western countries walifanya kosa kuwa support na kuwapatia vifaaa vya kisasa,,, angalia misafara yao utaona walivyo sheheni silaha za kisasa,,,, na nakumbuka Obama alishawahi sema kua wata support opotions kule Syria ili kuwasaidia wananchi wa Syria kupata freedom... hawa ndo SISI ,, sasa kosa walilofanya wamarekani hawakujua wanasuport nani hasa na ana agenda gani... ISIS bado wana operate syria ila wame extend mapaka Iraq ,,,, mdo bwama mkubwa anashtuka na kuamua kwenda tena Iraq sehem ambayo alishindwa vibaya,,, na matatizo yoote haya ni yake Mmarekani.. bora angemuacha SADAM hussein walau kulika na amani kuliko ilivyo sasa,, kwanza mjue wamarekani hawapendwi kabisa Iraq hata obama juzi kasema haya.. hasa Shia ya Murtada El sadri wing ,, hawataki kmuona M US pale
 
Inajulikana wazi kabisa ISIL was created by MOSSAD and CIA to destroy the axis of resistance and Muslim world. The so-called "leader" of ISIL is Simon Elliot (Elliot Shimon) aka Al-Baghdadi was born of two Jewish parents and is a Mossad agent.The US sponsored ISIL and is now doing cosmetic attacks since ISIL is out of control and is now threatening US puppets in Saudi, Jordan and the petro-sheikdoms of the Arabian Gulf.
 

You need to read the bible. Sina lingine la kusema. Because you are ignorant and trapped with some dark belied that islam is legit. And muhammad (hell be upon him) is the messenger. Endelea na dini yenu ya kishetani as long as huwasumbui watu. I dnt need to here this islam trash.





The King.
 

povu la nini...nani kasema waisrael wote wakristo?...kama unataka kujua uhusiano kati ya uyahud na ukristo ni kwamba wote wanamuabudu Mungu mmoja anayeitwa Yehova...na wewe unajua kama kuna waisrael waislam tena wengine wanajeshi?[/QUOTE]

Wewe nani amekuambia jewish wana mwamini Yesu? Nani kasema hivyo?

Laknk Mwenyezi Mungu anasema, atawarudish wana waisrael kwenye nchi yao ya ahadi. Pamoja wamebarikiwa lakni bado Mungu atawaonyesha kwamba yey ni Mungy aliyekuwepo na atakayekuwepo. Tena biblia inasema israel itakuja kupigwa na nchii za kislam tena kwa nyuklia lakni hawatashinda vita maana mwana wa adamu atakuwa upande wao na ndipo waisrael watakiri kuwa Jesus is the lord and son of God the creator.


The King.
 
Maelezo yote hayo hayajakutosheleza unataka tu ligi???acha udini wewe angalia fact usikute babu zako walikuwa waislam fanya uchunguzi
Kila kitu ni USA, sasa naamini hata uislam umeanzishwa na USA
 
Now to Isaiah 35:
Isaiah 35
Joy of the Redeemed
1 The desert and the parched land will be glad;
the wilderness will rejoice and blossom. Like the crocus,
2 it will burst into bloom; it will rejoice greatly and shout for joy. The glory of Lebanon will be given to it, the splendor of Carmel and Sharon; they will see the glory of the LORD, the splendor of our God.
3 Strengthen the feeble hands, steady the knees that give way;
4 say to those with fearful hearts, "Be strong, do not fear; your God will come, he will come with vengeance; with divine retribution he will come to save you."
5 Then will the eyes of the blind be opened and the ears of the deaf unstopped.
6 Then will the lame leap like a deer, and the mute tongue shout for joy. Water will gush forth in the wilderness and streams
in the desert.
7 The burning sand will become a pool, the thirsty ground bubbling springs. In the haunts where jackals once lay, grass and reeds and papyrus will grow.
8 And a highway will be there; it will be called the Way of Holiness; it will be for those who walk on that Way. The unclean will not journey on it; wicked fools will not go about on it.
9 No lion will be there, nor any ravenous beast; they will not be found there. But only the redeemed will walk there,
10 and those the LORD has rescued will return. They will enter Zion with singing; everlasting joy will crown their heads. Gladness and joy will overtake them, and sorrow and sighing will flee away.

Few points to notice here:

1- If Isaiah 35:1 is a metaphor and not a literal, then the prosperity and the bloom that the verse is talking about, for Arabia, could be a spiritual one, and not a worldly and materialistic one.
2- If this is the case, then this prosperity has got to be Islam! This is further seen in the "Way of Holiness" (Isaiah 35:8) that Arabia will have in it, that no unclean person is allowed to take. This would, without a doubt, then be referring to the Muslims' yearly pilgrimage to Mecca, today.
3- This interpretation of mine is further proven in the following verses from the Glorious Quran and the Bible:
"Behold! We gave the site, To Abraham, of the (Sacred) House [That is the Kaaba that he built], (Saying): 'Associate not anything (In worship) with Me; And sanctify My House For those who compass it round, Or stand up, Or bow, or prostrate themselves (Therein in prayer). And proclaim the Pilgrimage among men: they will come to thee on foot and (mounted) on every kind of camel, lean on account of journeys through deep and distant mountain highways; (The Noble Quran, 22:26-27)"
Isaiah 60
60:1 Arise, shine; for thy light is come, and the glory of the LORD is risen upon thee.
60:2 For, behold, the darkness shall cover the earth, and gross darkness the people: but the LORD shall arise upon thee, and his glory shall be seen upon thee.
60:3 And the Gentiles shall come to thy light, and kings to the brightness of thy rising.
60:4 Lift up thine eyes round about, and see: all they gather themselves together, they come to thee: thy sons shall come from far, and thy daughters shall be nursed at thy side.
60:5 Then thou shalt see, and flow together, and thine heart shall fear, and be enlarged; because the abundance of the sea shall be converted unto thee, the forces of the Gentiles shall come unto thee.
60:6 The multitude of camels shall cover thee, the dromedaries of Midian and Ephah; all they from Sheba shall come: they shall bring gold and incense; and they shall shew forth the praises of the LORD.
60:7 All the flocks of Kedar shall be gathered together unto thee, the rams of Nebaioth shall minister unto thee: they shall come up with acceptance on mine altar,
and I will glorify the house of my glory.
 

You are seriously a big joke. So muhammed is the Lord?
This is the prophesy of jesus christ the Lord.

Bro,sikufaham , ila wewe ni ndugu yangu wa damu maana ni mtanzania mwenzangu.
Lakini nisem,nimesikia hasira sana na hata macho yamenitoka yenye machozi kwa mbali kwa hasira.

Nakuomba wewe na waislam wenzako huko mlipo, mkae chini na muombe mwongozo kama mimi nilivyofanya kwa koran. Ninayo kuran ndani kwangu.
Nakushauri kama hamuwezi kutafsiri biblia na mnachukua maneno ya unabii kama ilivyo ,then ni kwamba hata kuran yenu hamwiijui.

Nakushauri, tafuta walimu. Soma, urudie kusoma na usome tena. Mwombe Mwenyezi Mungu akufungulie tafsiri. Usiogope, mwombe Mungu wako. Naamini yule Mungu wa ukweli atasikia na kujibu.

Nimeona niokoteze online baathi ya maandiko na labda itakusaidia masna siwezi kukuelezea sasa.




The King.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…