Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
Huyo mzazi aliwafanya nini watoto wake hadi wamemtelekeza.
Usiangalie upande mmoja na kulaumu.
Kuna wazazi wanaishi na watoto wao utafikiri hawajawazaa wao.
Hapa kuna mambo au elimu ya aina mbili;Mosi,unapokuwa kijana ni wakati wako wa kutengeneza maisha yako ya sasa na baadae,uamuzi wa kutafuta watoto ni wako mwenyewe hujawashirikisha watoto,so watafute wale ambao utaweza kuwahudumia ipasavyo,kumbuka hii sio hisani ni lazima uwahudumie na usidai fadhila,wakati unawahudumia kumbuka kujenga future yako na yote hayo yaani watoto na future yafanyike kwa usawa.Pili,wazazi sio wa kudharau,kumbuka bado ana umuhimu kwako sana kwa mambo mengi kama ushauri n.k!Tuwe makini!
Ni kweli Husninyo lakini huyu mama alikuwa anasema watoto wake wamampotea tu na hajui alichowakosea.....
Lakini pamoja na hayo (kwa mtazamo wangu) hata kama mzazi alikufanyia nini hupaswi kumnrudishia hivyo...retribution haifai bali kusamehe na kumuonesha upendo kwa nafasi yake kama mzazi..
Kwa mtazamo wangu, hatufanyi kitu kwa wazazi kwa kuwa walitufanyia mema tu, ila kwa kuwa ni mzazi, hilo tu latosha
watoto wake wangapi? Ni vipi wapotee wote?
Kweli sio vizuri kumfanyia maovu mzazi ila mzazi anaweza kuwa chanzo cha yeye kufanyiwa ubaya na watoto aliowazaa mwenyewe. Siwalaumu hao watoto labda kama ningejua A-Z ya kilichotokea.
watoto wake wangapi? Ni vipi wapotee wote?
Kweli sio vizuri kumfanyia maovu mzazi ila mzazi anaweza kuwa chanzo cha yeye kufanyiwa ubaya na watoto aliowazaa mwenyewe. Siwalaumu hao watoto labda kama ningejua A-Z ya kilichotokea.
una akili snaa shost ndio mana nakupendagaHuyo mzazi aliwafanya nini watoto wake hadi wamemtelekeza.
Usiangalie upande mmoja na kulaumu.
Kuna wazazi wanaishi na watoto wao utafikiri hawajawazaa wao.
Ila Husn hebu turudi upande wa pili, tufanye assumption kwamba mzazi alifanya kitu ambacho huyu mtoto hakukipenda, je hii ni njia sahihi ya kumlipiza kwa kile alichofanya?
Unadhani mzazi atajisikiaje siku umemwendea na kumwambia "mama/baba nimefutilia yote ya kale na sasa nitawaheshimu kama mzazi/wazazi wangu bila kujalisha tulipotoka"...can you imagine watajisikiaje na wewe mwenyewe utakuwa umetua mzigo kiasi gani? Just thinking
Cathode u'he finish ur part,it was kumpa msaada bas but all an all ni vyema tukawa makini sana!
una akili snaa shost ndio mana nakupendaga
ndio eiyer. Awe makini maana mjini hapa matapeli nao wengi.
hahaha! Hakunaga kama wewe.
Samahani cathode tumechakachua kiduchu.
Ni kweli Husninyo lakini huyu mama alikuwa anasema watoto wake wamampotea tu na hajui alichowakosea.....
Lakini pamoja na hayo (kwa mtazamo wangu) hata kama mzazi alikufanyia nini hupaswi kumnrudishia hivyo...retribution haifai bali kusamehe na kumuonesha upendo kwa nafasi yake kama mzazi..
Kwa mtazamo wangu, hatufanyi kitu kwa wazazi kwa kuwa walitufanyia mema tu, ila kwa kuwa ni mzazi, hilo tu latosha
Mmesamehewa ili msichakachue zaidi maana kuna watu hili linawahusu, mtu anakata mamiezi hata kuulizia wazazi wake wanaendeleaje wanaona ni upuuzi, wakati wao walipokuwa wadogo shule mama akikosa tu visiting day anafura kama chura
ndio eiyer. Awe makini maana mjini hapa matapeli nao wengi.