hilo swali hata mimi bado najiuliza, enzi za H.Polepole live alikuwa anatuhadithia jinsi raisi anavyolindwa, alisema pamoja na mengine mengi kwamba raisi akilala na mwenzi wake bodyguard yuko nje ya mlango anasubiria, sasa maduro kakamatwa akiwa chumbani na mke wake, hao walinzi walipitwa vp? ...