Who are the most knowledgeable people?

Who are the most knowledgeable people?

hippocratessocrates

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2012
Posts
3,598
Reaction score
1,545
Wasalaam,

Nianze kwa kusema hata hapa jamvini tunao watu wengi wenye uelewa mkubwa na uchambuzi mzuri lakini leo nilikuwa ninafikiria/swali;

"Who could be/are most knowledgeable people in the world"?

Kuna kuwa na maarifa, na kuwa na ufahamu..ikiwa maarifa yanatokana zaidi na kupata elimu(hasa ya kishule..Formal education), na ufahamu kupata kupiria ekinu ya kishule na uzoefu wa kimaisha.

Hivyo kwa kutegemea aina ya kazi, umri, na pengine uzoefu mbalimbali wa maisha watu wanaweza kuwa na ufahamu mkubwa wa mambo mbalimbali (very knowledgeable).

Mtazamo wangu Novelist/Authors are most knowledgeable in the World. Kwa sababu wengi wanapotaka kuandika kitabu, hufanya utafiti/tafiti mbalimbali...mfano kujua kwa undani mahali fulani, elimu juu ya fani fulani mfano uhandisi, utabibu, useremala, ubaharia, uanamitindo, uaskari/upolisi n.k ingawaje wao wenyewe wanaweza wasiwe wa fani husika!

Unavyodhani, ni nani na kwa unadhani watu hawa wana ufahamu mkubwa kukiko wengine?..Mtazamo
 
Aah kumbe in da world?-ni Sir Isaack Newton
 
Hii ni kama kuuliza kati ya miss tanzania (mwembamba) na miss bantu (tipwa tipwa) nani mrembo zaidi. Majibu ni tofauti. Kila mmoja na vionjo yake. Kwa hiyo swali lako mleta mada ni tata mno.
 
Wewe unataka majina ya watu ama makundi yenye ujuzi kama ulivyotoa mfano wako wa "authors/novelist"?

Mkuu, ni kundi/mqkundi yenye ujuzi...mfano, nikivyosema Novelist nilimaanisha, wengi wanapotaka kuandika kitabu, hufanya utafiti/tafiti mbalimbali...mfano kujua mahali fulani, elimu juu ya fani fulani mfano uhandisi, utabibu, useremala, ubaharia, uanamitindo, uaskari/upolisi n.k ingawaje wao wenyewe wanaweza wasiwe wa fani husika!

Hivyo kwa mtazamo huo, ndivyo nikivyodhani mkuu, so ni aina ya kundi na si mtu specifically.
 
jipange aisee umetaja novelist
mbna hukutoa sababu?
Unataka watu au makundi ya watu?
 
Nadhani swali lako ni very technical, kwa sababu watu wanaoamini wale wenye a lot of information kama writers ni knowledgeable na wapo wanaoamini watu wenye knowledge ni wale wenye uwezo wa kuact, kujudge accordingly, kuinterprete situations accordings na mwisho wenye uwezo wa kugenerate efficient solutions kwa matatizo yanayowakumba. Kwa hiyo itategemea sana unaamini ili kupata majibu ya hoja yako.
 
Politicians are more knowledgable because they have that art of postponing decisions until they become useless and voters forgive them, by voting for them (politicians) once again!
 
Back
Top Bottom