Huyu jamaa ndiyo sababu ya mimi kuijuwa jf, yaani ilikuwa niki search Google juu ya maswala ya biashara lazima waniletee. ( CONTROLA .... Jamii forums)
Alikuwa na madini sana japo kuna stori tunaweza kudhania aliweka chumvi, lakini mengi ambayo yaliandikwa na yeye yalikuwa na ukweli mno .
Amejikita kwenye ile ID yake nyingine inayoitwa leo dada. Mnatakiwa mtambue ya kuwa kutumia ID's mbili at once ni kitu kigumu sana.
Sasa ninachojiuliza ni kwamba kwa nini ameamua kujikita kwenye ID ya kike? Kuna kitu kinaniambia kuwa labda jamaa sasa hivi anapata chochote kitu kutoka kwa Vijana wa kiume walioko humu kupitia PM.