KINTONTO KILEKAMANJENGA
Member
- Jan 5, 2026
- 6
- 8
Yule aliyeishia BAKWATA ni nani?
yupo kwake na familia yake , jazia nyama tujue unataka kujua nini?WHERE IS SELEMANI KOVA
Vipi ile kesi yake na Nzowa kugombea ilokuwa nyumba ya serikali Arusha.Yupo kwake mbweni. Ila pia ni consultant wa mambo ya Organization Security and investigation amejiajiri kwa upande huo.
Alisumbua nyakati.za JK kova. Kafanana sana na shetta wana unasaba
Retired and sick (analea wajukuu)WHERE IS SELEMANI KOVA
Itakua SHETTA anamwita kova dingi mdogo..Yupo kwake mbweni. Ila pia ni consultant wa mambo ya Organization Security and investigation amejiajiri kwa upande huo.
Alisumbua nyakati.za JK kova. Kafanana sana na shetta wana unasaba
.......wanadai Sheta ni mtoto wa nje wa Bilal....aliekuwa VP....sina hakika wajuvi watatusaidiaItakua SHETTA anamwita kova dingi mdogo..
Wamefanana sana MACHO just joking 😁 😃
Sheta ni mtoto wa Kova. Chukua hii siyo umbea wala nini........wanadai Sheta ni mtoto wa nje wa Bilal....aliekuwa VP....sina hakika wajuvi watatusaidia
Ngoja waje wajuvii 😊.......wanadai Sheta ni mtoto wa nje wa Bilal....aliekuwa VP....sina hakika wajuvi watatusaidia
Ni kwamba wewe ni SHETA, unamtafuta baba yako na hujui alipo, au!