polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,939
- 7,148
Kuna swali mtu mwenye akili timamu akisoma anajua kabisa hili ni swali na inatakiwa ijibiwe kama swali lakini kuna kitu mtu akiuliza unaona kabisa hii ni kejeli hivyo inatakiwa ijibiwe kikejeli kejeli na kipumbavu hivyo hivyo.Inawezekana wewe ndiye mtoto mdogo, nimeuliza swali inatakiwa unijibu, huwezi acha nitajibiwa na wengine badala ya kuja na mipasho ukiwa umenyenyua vidole juu.