Where do deleted data from recycle bin go?


Nafikiri huku tunakokwenda siyo kuelimishana bali ni ubishi wa vijiweni. Ni Laws zipi za physics zinazohusu data recovery ambazo mwalimu wangu alisahau kunifundisha? Kwa kifupi hiyo software unayoiamini kuwa ni kiboko "Eraser " haiwezi kufuta data zozote zilizoandikwa na OS zingine apart from Windows.

Katika tekinologia ni busara kusema understanding yangu inaishia hapa, kuliko kusema haiwezekani wakati watu wanacheza na hivyo vitu kila kukicha.
 
Ndiyo, najua unahitaji kutafuniwa zaidi,.. kuchanganya na za kwako naona ni issue,... watanielewa wengine ambao hata hawakuliuliza swali!
 
Sasa kama data hizo zinabakia katika system, mbona kuna watu wana delete muvi in GBs...hizo HDD memory zao hazijai kupitia 'deleted data in the emptied recycled bin'????
 
Sasa kama data hizo zinabakia katika system, mbona kuna watu wana delete muvi in GBs...hizo HDD memory zao hazijai kupitia 'deleted data in the emptied recycled bin'????

@CBZ. Fuatilia hii topic toka mwanzo utapata majibu kibao.
 
@CBZ. Fuatilia hii topic toka mwanzo utapata majibu kibao.
Sawa! I got too much to do rather that wasting my time on discussing 'recycle bin', sorry buddy!
 
Nashukuruni sana kwa michango yenu.nimeelewa vizuri sasa
 
Mkuu JuaKali:

Ninatumia sana SDD - Secure Data Deletion ya IBM/Lenovo na nimejaribu with different platforms (Wndows/Mac/Linux e.t.c) ila nimeona inaweza kuandika 0x0000 mara saba! Can such a HDD also be "recovered" to RAW state?
 
Jamani ukitaka kuelewa vizuri huhusu beleted data from rcycle bin soma kitu kinaitwa magnetic domains utajua ni technic tu dogo iliyopo katika kualign domains. ngoja nitaandaa notes fupi nikutumie
 
Hi. eveyone, i am just happy to join in the Jamii forum, ninaamini tusaidiana kwa leengo la kuleta nchi yetu ya Tanzania katika Mwanga na wenye kubadilisha ni sisi vijana, well swali liloulizwa hapo juu kuhusu unapofuat data au document inaenda wapi? Unaweza ukafikiri kuwa Recycle bin lakini huwa ni kwamba Recy inahifadhi document za muda ambazo user (mtumiaji wa computer )atakuwa amefuta labda kwa kujua au kwa kutokujua lakini unaweza ukafuta hata kwenye Recycle na zikapotea computer inaondoa rekodi za taarifa hiyo. hivyo si kila kazi au taarifa iliyofutwa unaipata kwenye ricycle bin. hivyo unapaswa kujua recycle si sehemu tu ya kuhifadhi kazi zilizofutwa ila unapaswa kujua kama mtu amefuta kazi uunaweza kupata kwenye temporay Recycle bin au usipate. Naamini utakuwa umepata mwanga kidogo
 
Weka swali lako jukwaa la Science and Technology. Kuna vichwa vya ICT
 
Invisible peleka hii jukwaa jukwaa husika akapate majibu!
 
Last edited by a moderator:
Please members may u describe to me, where those deleted data go after being permanently deleted from the recycle bin?. It has been difficult to me since those data can be RECOVERED again.

Mtoma86,Don't bother yourself trying to find what has been deleted from trash or recycle bin! Once items in recycle bin deleted are permanently deleted and can never be retrieved!!!!!!!
 
Mtoma86,Don't bother yourself trying to find what has been deleted from trash or recycle bin! Once items in recycle bin deleted are permanently deleted and can never be retrieved!!!!!!!

usimdanganye mwenzio, never retrieved?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…