When Kidoti meets Jay-Z n' Beyonce......!!!!

Mcheki blue yaani ni kama anashangaa "who the hell is this!?"
 
Kuweni makini na hii picha.utagungua standing position ya kidoti eyes directions za jay z na mwanawe vinakimbiana 100%.meaning that baba na mwana walikuwa wanamtazama mtu mwingine kabisa ambaye alikuwa nyuma ya kidoti..Then wale watu wa nyuma kabisa km wanamshangaa kidoti may be kwa kujipeleka pale hali ya kuwa hashughulikiwi kabisa na jay z..NARUDIA ITAZAME TENA PICHA
 
Basi sawa tunakubaliana na wewe kuwa hakuwa anamtizama kidoti.
Acha roho mbaya.
 
Basi sawa tunakubaliana na wewe kuwa hakuwa anamtizama kidoti.
Acha roho mbaya.
Roho mbaya iko wapi hapo.What ever ilivyokuwa we utabaki ww,mm pia ni mm,na kidoti ndio alienda sa ulitaka wote tuseme ndio hata kama macho yangu yanamakengeza?.me sio mjumbe ndio...pole mkuu naona povu limekujaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…