ID yako, hapo kwenye herufi O nahisi palitakiwa pawe na U....
Wheni Swahili izi noti richabo..
Wakati unajipa jina, uliwaza Kwa kiinglishi, ukataka uandike hicho kiinglishi Kwa kiswahili, lakini ukaishia kuandika KISWANGLISH
Anaelewa English, huyu si ni Jux huyu? Naona hapa alikuwa kanyoa nywele baada ya wazazi wake kumakataza ule mchezo wake wa kujifanya bata. Kwa hasira akahamua kuwaonyesha wazazi wake yeye ni nani.