Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,145
- 79,286
- Thread starter
- #41
Wakenya wengi wapo hivyo, kujiona Bora zaidi ya wengineRuto anaonekana ana uwezo mdogo sana wa kufikiri.
sio kweli bro... wacha kudanganya umatiKuna kitu kingine ambacho watz inabidi tukielewe kuhusu wakenya..Hawa watu hawajawahi kutupenda kwa vyovyote vile.Wanatuchukia sisi na kila hatua za kimaendeleo tunazopiga hata kama wao ni zaidi yetu kiuchumi
Huo ndio ukweli, usipinge brosio kweli bro... wacha kudanganya umati