When a Kenyan write news about Tanzania

Nilichomaanisha hapo ni kwamba ili tuwe na umeme wa uhakika hatutaki treni ikiondoka sisi jiko la umeme linazima, hivi unajua kwamba viwanda kama M.M Steel huwa vikiwashwa vinaathiri shughuli nyingine kwa kiasi gani?

Nafikiri mnafanya tu ushabiki lkn haya mambo hamyaelewi, haya ni mambo technical na siyo ya kuangalia kwenye TV na kutaka kuja kuyafanya hapa TZ, TZ hatuna uwezo wa kuelectrify train kwa sasa na sababu ni kwamba huo umeme haupo, nchi yenye watu milioni 40 ina MW 1500 tu halafu unaongelea kulectrify train?
Hata Kenya wenyewe hawatelectrify hiyo SGR yao, kwanza SGR ya Kenya haina spidi kubwa mwisho 120 km/saa, na siyo kama tunayotaka kujenga hapa kwetu!

Kwa kukusaidia tu AK wana watu milioni 40 kama sisi wana MW 40 000 na bado haitoshi wana matatizo ya umeme sasas hivi wanataka kwenda Nuclear!
Basi tuache huu mradi mzima. Why build SGR ya 120km/hr wakati reli iliyopo inaweza kusustain hizo speeds?
Besides, ndio maana nikasuggest kwamba kijengwe kiwanda maalum cha kusupply umeme to the trains.
With that $7.2 billion inatosha kuset aside $600 million kwa ajili hiyo then SGR ikajengwa in phases.
 
Basi tuache huu mradi mzima. Why build SGR ya 120km/hr wakati reli iliyopo inaweza kusustain hizo speeds?
Besides, ndio maana nikasuggest kwamba kijengwe kiwanda maalum cha kusupply umeme to the trains.
With that $7.2 billion inatosha kuset aside $600 million kwa ajili hiyo then SGR ikajengwa in phases.


Ndugu, mimi sielewi tatizo lako ni nini na liko wapi hasa? Nimeshaelezea kwamba Treni ya umeme au diesel haiamui spidi ya Treni bali inayoamua spidi ya Treni ni aina ya Reli unayojenga, kwa mfano kama unataka Treni ya kutembea 300 km/saa ktk Dar mpaka Mwanza inabidi ubadilishe kila kitu hata njia itakayopita siyo hii ya sasa na ndiyo maana unaona hata Kenya hiyo 120km/saa imebidi wapitishe sehemu nyingine tofauti na ile ya zamani, sasa hiyo yote inaangukia kwenye gharama za ujenzi na vile vile uendeshaji!

Na hapa cha muhimu klk vyote ni economy! Sasa nakushangaa sana wewe unayesema kwamba 120 km/saa siyo kitu, hivi unajua treni zlizoko sasa hivi zina kwenda km/saa?
Hazivuki 40 km/saa sasa kufikisha 120km/saa hiyo ni mara tatu yake ina maana treni ya mizigo inaweza kutoka Dar-Mwanza kwa masaa 8 wkt sasa hivi inahitaji zaidi ya siku nzima halafu unasema hauoni tofauti hapo?


Ndugu nchi hujengwa kwa hatua na huwezi kuvuka hatua moja kwenda nyingine, TZ haiwezi kuruka hatua na kujenga treni ya kwenda 300km/saa ktk chini ya 40 km/saa kwa sasa hilo haliwezekani, na hakuna nchi iliyowahi kufanya hivyo!

Hebu toka Ulaya na rudi hapa Duniani kwa maana naona tatizo ulilo nalo ni kama walilo nalo Waafrika wengi unataka kulinganisha Ulaya na Afrika unasahau kwamba TZ ina Uchumi wa chini ya 60 Bilion US dollars tu!
 
Ndugu, mimi sielewi tatizo lako ni nini na liko wapi hasa? Nimeshaelezea kwamba Treni ya umeme au diesel haiamui spidi ya Treni bali inayoamua spidi ya Treni ni aina ya Reli unayojenga, kwa mfano kama unataka Treni ya kutembea 300 km/saa ktk Dar mpaka Mwanza inabidi ubadilishe kila kitu hata njia itakayopita siyo hii ya sasa na ndiyo maana unaona hata Kenya hiyo 120km/saa imebidi wapitishe sehemu nyingine tofauti na ile ya zamani, sasa hiyo yote inaangukia kwenye gharama za ujenzi na vile vile uendeshaji!

Na hapa cha muhimu klk vyote ni economy! Sasa nakushangaa sana wewe unayesema kwamba 120 km/saa siyo kitu, hivi unajua treni zlizoko sasa hivi zina kwenda km/saa?
Hazivuki 40 km/saa sasa kufikisha 120km/saa hiyo ni mara tatu yake ina maana treni ya mizigo inaweza kutoka Dar-Mwanza kwa masaa 8 wkt sasa hivi inahitaji zaidi ya siku nzima halafu unasema hauoni tofauti hapo?


Ndugu nchi hujengwa kwa hatua na huwezi kuvuka hatua moja kwenda nyingine, TZ haiwezi kuruka hatua na kujenga treni ya kwenda 300km/saa ktk chini ya 40 km/saa kwa sasa hilo haliwezekani, na hakuna nchi iliyowahi kufanya hivyo!

Hebu toka Ulaya na rudi hapa Duniani kwa maana naona tatizo ulilo nalo ni kama walilo nalo Waafrika wengi unataka kulinganisha Ulaya na Afrika unasahau kwamba TZ ina Uchumi wa chini ya 60 Bilion US dollars tu!
Nimekuelewa.
Lakini umesema treni za sasa zinakwenda km 40 kwa saa.......je, ni kwa sababu ya reli yenyewe kuwa narrow gauge?
Yaani mi ninachosema ni kwamba hata kwa hii narrow gauge ya sasa hivi inawezekana kufikia hizo spidi za 120km/saa.
Tatizo la usafiri wa reli nchini ni zaidi ya size ya gauge.
Sitashangaa ikijengwa hiyo reli lakini usafiri wa barabara bado ukatawala. Just saying.
 
Nimekuelewa.
Lakini umesema treni za sasa zinakwenda km 40 kwa saa.......je, ni kwa sababu ya reli yenyewe kuwa narrow gauge?
Yaani mi ninachosema ni kwamba hata kwa hii narrow gauge ya sasa hivi inawezekana kufikia hizo spidi za 120km/saa.
Tatizo la usafiri wa reli nchini ni zaidi ya size ya gauge.
Sitashangaa ikijengwa hiyo reli lakini usafiri wa barabara bado ukatawala. Just saying.


Kwa hii reli ilyopo sasa hilo haliwezekani! Huwezi kuweka Treni ya kwenda 120 km/saa na sababu ziko nyingi kwanza hakuna Treni itakayofiti kwenye hiyo Reli ya sasa kwa maana ni Reli iliyojengwa miaka 100 iliyopita, pili Treni inayokwenda 120km/saa inahitaji Miundo mbinu mingine kabisa na aina ya chuma unachokitumia ni tofauti, njia itakayopita kuna mahali ambapo kuna kona ni lazima unyooshe, madaraja lazima ubadilishe uweke yanaweza kuhili shock ya spidi kubwa n.k na utaona ikaanza kujengwa ni lazima kuna mahali wataacha kutumia njia iliyoko sasa kama vile Kenya unaona imebidi wapitishe sehemu nyingine!

Matumizi ya br. hayawezi kuepukika ila kitakachotokea na nafikiri ndiyo lengo kupunguza matumizi ya br. hasa kwa mizigo lkn kuondoa kabisa unahitaji pia uwekezaji mkubwa, ina maana kwa mfano unahitaji Treni ya Dar-Moro kila lisaa limoja na hiyo ni Dar- Moro tu sasa ongelea TZ nzima unahitaji Wagons za kutosha n.k. hivyo kwa maoni yangu itasadia kupunguza hasa usafirishaji wa mizigo mizito lkn siyo kuondoa kabisa huko bado sana kufikia!
 
That's a kenyan
Unajua bwana Geza hawa jamaa ni changu chao na chao,chao ,hawataki tz isikike kabisa katka medani za kiuchumi,mkifanya vizuri ni East africa, vibaya wataandika tanzania. walisema wahenga unalolijua lisikusumbue,wanaisoma namba.that's a Kenyan
 
Back
Top Bottom