Whatsapp

Whatsapp

madeinmusoma

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
326
Reaction score
391
Demu: Unafanya Kazi gani?
Jamaa: Unaifahamu Whatsapp?

Demu: Hapana, nini?
Jamaa:Ni Kampuni kubwa sana duniani yenye wateja wengi sana, zaidi ya milioni 300. Sasa mimi ni Admin wa Magroup
kama matano hivi pale Whatsapp.

Demu: Wow!!! Darling kumbe we mtu mzito hivyo jamani
 
Demu: Unafanya Kazi gani?
Jamaa: Unaifahamu Whatsapp?
Demu: Hapana, nini?
Jamaa: Ni Kampuni kubwa sana duniani yenye wateja wengi sana, zaidi ya milioni 300. Sasa mimi ni Admin wa Magroup kama matano hivi pale Whatsapp.
Demu: Wow!!! Darling kumbe we mtu mzito hivyo jamani
Kila kizazi kina mapoyoyo yake. Huyu msichana ni kama yule wa mwaka 1960 aliyepelekwa stesheni ya reli Arusha akaambiwa atanunuliwa treni kama aliyoiona pale stesheni. Msichana akitetemeka kwa shukrani alimkumbatia kijana na kumwambia vyote alivyomkatalia atampa. Kijana aliwin ile mbaya!
 
Demu: Unafanya Kazi gani?
Jamaa: Unaifahamu Whatsapp?

Demu: Hapana, nini?
Jamaa:Ni Kampuni kubwa sana duniani yenye wateja wengi sana, zaidi ya milioni 300. Sasa mimi ni Admin wa Magroup
kama matano hivi pale Whatsapp.

Demu: Wow!!! Darling kumbe we mtu mzito hivyo jamani

Duh we mkali mkuu...hahaha
 
Back
Top Bottom