Tamalisa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 2,542
- 907
Habari zenu wandugu. jana mdada kakuta picha (picha zinazotoka whatsapp na kubaki katika simu) ya uume halisi tena imepigwa huyo jamaa akiwa amelala chali nauume umesimama, umepigwa uume tu, na pale inaonekana ni chumbani ila wapi haijulikani.
Pia picha ina kagiza giza fulani hivi, so si rahisi sana mtu kutambua vitu vingine ila dushe limesimama mbele kabisa linaonekana.Binti kaja juu anauliza hiyo picha ni ya nani na kama ni ya whats up nani alituma au nani aliweka katika profile yako.
Jamaa nae anashangaa anasema mimi sijui hiyo ni ya whatsapp, wala sijui nani katuma, au la lini imeingia humo binti kamaindi, kanifuata nikamwambia, labda kweli hajui maana watu wanabadili sana picha. binti mgumu hadi sasa mgogoro na mpenzi wake, yeye anachoamini lazima anajua nani alituma hiyo picha hivyo anataka atajiwe.
Je ni kweli hapa inawezekana jamaa anajua ila anazuga tu, majibu yenu muhimu wakuu, labda nitapata jipya la kumueleza huyu binti, asimfikirie vibaya mpenzi wake.
NB: mdada huyu hajajiunga whatsapp, japo anajua na huwa anaangalia sana mambo mengi kupitia Whatsapp yake ya mpenz wake. Picha hakuweza kupata mana ugomvi hadi sasa na hawezi kuichukua simu ya mpenzi tena.
Ushauri please.
Pia picha ina kagiza giza fulani hivi, so si rahisi sana mtu kutambua vitu vingine ila dushe limesimama mbele kabisa linaonekana.Binti kaja juu anauliza hiyo picha ni ya nani na kama ni ya whats up nani alituma au nani aliweka katika profile yako.
Jamaa nae anashangaa anasema mimi sijui hiyo ni ya whatsapp, wala sijui nani katuma, au la lini imeingia humo binti kamaindi, kanifuata nikamwambia, labda kweli hajui maana watu wanabadili sana picha. binti mgumu hadi sasa mgogoro na mpenzi wake, yeye anachoamini lazima anajua nani alituma hiyo picha hivyo anataka atajiwe.
Je ni kweli hapa inawezekana jamaa anajua ila anazuga tu, majibu yenu muhimu wakuu, labda nitapata jipya la kumueleza huyu binti, asimfikirie vibaya mpenzi wake.
NB: mdada huyu hajajiunga whatsapp, japo anajua na huwa anaangalia sana mambo mengi kupitia Whatsapp yake ya mpenz wake. Picha hakuweza kupata mana ugomvi hadi sasa na hawezi kuichukua simu ya mpenzi tena.
Ushauri please.