issa mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 1,477
- 1,139
Bado haijazoeleka
Uliwah kutumia 2go nn mkuuWhatsapp itapotea kama 2go wakiendeleza undezi.. Najuta ku update!
Aiseee hili tuko woteMi nataka mtu akiku add kwenye group hadi u accept mwenyewe.
Status za mipasho kwaheri....hii status ya ss wanaona contacts wako tu na unaweza kuwablock watu wasione vilevile....demu wa zamani kwaheri
Kimsingi hii wamechemsha,ni kama wanaziiga social medias zingine kama Instagram. Wamepoteza uniqueness yao,sijui Hata wanaelekea wapi
Mimi napenda kuwe na login and log out. Ili kupunguza kufungua data zinaingia sms ovyo ovyo, kupunguza MegabytesMi nataka mtu akiku add kwenye group hadi u accept mwenyewe.
Ukimaliza ku.update kuna meseji inaulizwa kama ungependa kufuta mabaki ya whatsapp iliyopita ? Kunakuwa na CANCEL &OK, basi ukigonga OK ujue umeumia, mi ilinipa tabu sana mwanzoni kila nikiupdateNiliupdate picha zangu na video zilizokuwa ndani ya folder ya whatsapp ndani ya photo Gallery zikatoweka.
Kuna kitu nilikosea wakati ninaupdate?
me pia nataka nijue mtu anae view profile inakuajeNisaidien namna ya kujua mtu aliechungulia profile yako
Ukishaenda hapo kwenye status i means sehem imewndikwa my status utaona kuna kajicho hivi na namba pembeni then ukiclic hapo utaifungua hiyo pchako na utaweza kuona idadi ya watu waliview status ako na nani kaisview status akome pia nataka nijue mtu anae view profile inakuaje
Nisaidien namna ya kujua mtu aliechungulia profile yako
Sijakiona hiko kijicho mkuuUkishaenda hapo kwenye status i means sehem imewndikwa my status utaona kuna kajicho hivi na namba pembeni then ukiclic hapo utaifungua hiyo pchako na utaweza kuona idadi ya watu waliview status ako na nani kaisview status ako
Sawa mkuu nimeonaUkishaenda hapo kwenye status i means sehem imewndikwa my status utaona kuna kajicho hivi na namba pembeni then ukiclic hapo utaifungua hiyo pchako na utaweza kuona idadi ya watu waliview status ako na nani kaisview status ako