๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—ถ

๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—ถ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—ถ

1_20250412_204929_0000.png


Watumiaji wa Whatsapp wataweza kukumbana na feature mpya inaitwa Advanced chat Privacy kwa kuboresha usalama kwenye chati na groups zako.

Feature hii mpya inapatikana kupitia setting zilizopo kwenye chati zako baina ya mtu na mtu pamoja na kwenye groups.

2_20250412_204929_0001.png


Ukifanikiwa kuiweka on itaweza kukusaidia kuboresha usalama wa chati zako kupitia mambo yafuatayo;

โœ”๏ธ Itamzuia mtu asiwe na uwezo wa ku exports chati zilizopo kwenye Whatsapp kutoka nje ya Whatsapp.

โœ”๏ธ Itaweza kumzuia mtu asiweze ku forward message uliyomtumia.

3_20250412_204929_0002.png


โœ”๏ธ Itaweza kumzuia mtu asiwe na uwezo wa kutumia Teknolojia ya Meta AI Kwenye chati zenu.

โœ”๏ธ Itaweza kumzuia mtu asiwe na uwezo wa kuhifadhi picha na video kwenye simu yake, kupitia kumzuia kuidownload na kuhifadhi kwenye kifaa chake.

๐Ÿ”• Jambo kubwa zaidi ni kuhusu pia Kuna uwezekano wakaleta feature ya kuzuia screenshot kupitia chati za kawaida kama ilivyo kwenye kupiga screenshot kwenye profile picha za watu.
 
Nikuulize mdau!
Mfano akinitumia picha kisha mimi nikachukua sinu nyingine nikaipiga ile kwenye simu tofauti je usalama utakuwepo ama ni kazi bure?!
๐Ÿคค๐ŸคคSasa walichozuia ni kupiga screenshot ndani ya Simu ikiwa utachukua simu nyingine iyo ni kesi nyingine hapa tunazungumzia usalama wa baina mtu na mtu bila kutumia kifaa cha external source
 
๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—ถ

View attachment 3302025

Watumiaji wa Whatsapp wataweza kukumbana na feature mpya inaitwa Advanced chat Privacy kwa kuboresha usalama kwenye chati na groups zako.

Feature hii mpya inapatikana kupitia setting zilizopo kwenye chati zako baina ya mtu na mtu pamoja na kwenye groups.

View attachment 3302027

Ukifanikiwa kuiweka on itaweza kukusaidia kuboresha usalama wa chati zako kupitia mambo yafuatayo;

โœ”๏ธ Itamzuia mtu asiwe na uwezo wa ku exports chati zilizopo kwenye Whatsapp kutoka nje ya Whatsapp.

โœ”๏ธ Itaweza kumzuia mtu asiweze ku forward message uliyomtumia.

View attachment 3302028

โœ”๏ธ Itaweza kumzuia mtu asiwe na uwezo wa kutumia Teknolojia ya Meta AI Kwenye chati zenu.

โœ”๏ธ Itaweza kumzuia mtu asiwe na uwezo wa kuhifadhi picha na video kwenye simu yake, kupitia kumzuia kuidownload na kuhifadhi kwenye kifaa chake.

๐Ÿ”• Jambo kubwa zaidi ni kuhusu pia Kuna uwezekano wakaleta feature ya kuzuia screenshot kupitia chati za kawaida kama ilivyo kwenye kupiga screenshot kwenye profile picha za watu.
Ishaanza kazi?au ni mpaka ni uptudate simu
 
๐Ÿคค๐ŸคคSasa walichozuia ni kupiga screenshot ndani ya Simu ikiwa utachukua simu nyingine iyo ni kesi nyingine hapa tunazungumzia usalama wa baina mtu na mtu bila kutumia kifaa cha external source
Mimi binafsi natumia external source ๐Ÿ˜ƒ mtu akituma view once naibeba kwenye simu nyingine ๐Ÿ˜ƒ Ubaya Ubwela
 
Haina maana sana kwa sababu mtu bado anaweza kujitumia hiyo picha ama video kwenye namba yake na akabakia nayo. Usalama pekee kwenye mitandao ya kijamii ni kutokua na smartphone tu.
 
Mimi binafsi natumia external source ๐Ÿ˜ƒ mtu akituma view once naibeba kwenye simu nyingine ๐Ÿ˜ƒ Ubaya Ubwela
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nimecheka had baas, Waja mna dhambi nyie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom