WhatsApp waja namuonekano mpya

WhatsApp waja namuonekano mpya

Alii.mohd61

Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
73
Reaction score
18
1430101808962.jpg
Hatimae whatsap leo alfajiri na mapema imenidai update na kuonekana ktk muonekano mzuri kiupande fulan.
 
ni kweli mkuu,wakati nasoma post yako ,nikajaribu kufungua whats app nakuta inanidai updates,nilipomaliza nikaona haya mabadiliko unayosema,kwa wale amabao sio watumia wa whats app plus ndio wataona tofauti kubwa.
 
ni kweli mkuu,wakati nasoma post yako ,nikajaribu kufungua whats app nakuta inanidai updates,nilipomaliza nikaona haya mabadiliko unayosema,kwa wale amabao sio watumia wa whats app plus ndio wataona tofauti kubwa.

Ni kweli nilipo kua whatsap plus ...option kama hii ipo ila kwa official hata 2 weaks nahic haijafika
 
Back
Top Bottom