Nokia Dual Sim inayo support whatsapp iko moja tu. Model : Nokia Asha 210 (Imezinduliwa April 2013) .
NB: whatsapp inatumika kwa line moja tu kati ya hizo mbili. Sina uhakika kama zimeshafika bongo, ila kenya wanazo. Zinauzwa Kenyan Shilling 6999/= kwa dual sim na 6000/= kwa single sim. You have to be specific, kuna matoleo mawili ya Asha 210.