๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ

๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
Kumekua na kesi nyingi za watu kulalamika kufungiwa ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ zao kila mara, watu wengi wanalalamika kila wanapojaribu ku download Whatsapp na kujiunga tu wanafungiwa nini shida ?

Kuna mtu alikua anatumia ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ Gb fresh ila ilivyomwambia download nyingine baada ya mwanzo kuisha muda wake kajikuta kafungiwa akaunti yake.

Ikitokea akaunti yako ya ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ imefungiwa utakutana na ujumbe kama huu wakati unajisajili
" this account is not allowed to use Whatsapp"

๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ถ๐˜„๐—ฎ? Kwa sababu umevunja sheria na masharti ya Whatsapp, mfano Ikiwa unatumia Whatsapp mods, unatuma link za ajabu unaweza kufungiwa akaunti yako.

Jihadhari sana ili kulinda kufungiwa kwa kuacha yafuatayo
โ€ข Acha kutumia ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—š๐—ฏ, Whatsapp fm, Whatsapp plus utafungiwa
โ€ข acha kutuma message moja mara nyingi nyingi utafungiwa
โ€ข usifungue group nyingi kwa siku na ku add watu wengi utafungiwa Whatsapp yako
โ€ข usitume link ambazo sio Salama utafungiwa Whatsapp yako
โ€ข Ikiwa una tabia ya ku block na watu utafungiwa akaunti yako

Kuwa makini Whatsapp mwaka huu sheria zao wanazitekeleza sana ukikosea tu unaweza kufungiwa akaunti yako na kufutiwa kabisa utaondolewa kwenye ma groups yako yote.

Jihadhari unaweza poteza taarifa Zako za msingi

Vipi wewe umeshakutana na changamoto ya kufungiwa Whatsapp yako au lah tuachie maoni yako?

Teknolojia ni Yetu sote
images%20(91)%20-%202023-06-05T151139.686.jpg
 
Kumekua na kesi nyingi za watu kulalamika kufungiwa ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ zao kila mara, watu wengi wanalalamika kila wanapojaribu ku download Whatsapp na kujiunga tu wanafungiwa nini shida ?

Kuna mtu alikua anatumia ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ Gb fresh ila ilivyomwambia download nyingine baada ya mwanzo kuisha muda wake kajikuta kafungiwa akaunti yake.

Ikitokea akaunti yako ya ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ imefungiwa utakutana na ujumbe kama huu wakati unajisajili
" this account is not allowed to use Whatsapp"

๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ถ๐˜„๐—ฎ? Kwa sababu umevunja sheria na masharti ya Whatsapp, mfano Ikiwa unatumia Whatsapp mods, unatuma link za ajabu unaweza kufungiwa akaunti yako.

Jihadhari sana ili kulinda kufungiwa kwa kuacha yafuatayo
โ€ข Acha kutumia ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—š๐—ฏ, Whatsapp fm, Whatsapp plus utafungiwa
โ€ข acha kutuma message moja mara nyingi nyingi utafungiwa
โ€ข usifungue group nyingi kwa siku na ku add watu wengi utafungiwa Whatsapp yako
โ€ข usitume link ambazo sio Salama utafungiwa Whatsapp yako
โ€ข Ikiwa una tabia ya ku block na watu utafungiwa akaunti yako

Kuwa makini Whatsapp mwaka huu sheria zao wanazitekeleza sana ukikosea tu unaweza kufungiwa akaunti yako na kufutiwa kabisa utaondolewa kwenye ma groups yako yote.

Jihadhari unaweza poteza taarifa Zako za msingi

Vipi wewe umeshakutana na changamoto ya kufungiwa Whatsapp yako au lah tuachie maoni yako?

Teknolojia ni Yetu sote View attachment 2646953
Je! Kuna athari yoyote kiafya baada ya kuondolewa
 
Wapuuzi kama vipi wafunge hiyo whatsapp yao tutatumia Telegram ,misheria kibao utafikri unaona kazi TEETH.
 
Back
Top Bottom