Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,561
- 16,339
ameshasema anatumia tecno halafu unauliza tena! bhange bhana hainaga huruma aiseeTecno ndo unatumia ?
ameshasema anatumia tecno halafu unauliza tena! bhange bhana hainaga huruma aiseeTecno ndo unatumia ?
ameshasema anatumia tecno halafu unauliza tena! bhange bhana hainaga huruma aisee

Hiyo ku launch ndo unafanyaje nielekezeeGB watsapp hiyo ni tatizo kwa simu za aina zote hadi uilaunch ndio inaleta sms
Shukran kwa huu ushaur mzurMsipende kutumia unofficial verson za software, asilimia kubwa ya hizo software hua zinakuja kama malware, wanaiba data zako wanakaa nazo bila wewe kujua, na ndiyo kama hivi unakutana na matatizo kama haya. Penda kudownload software toka playstore peke yake maana zile wanazikagua sana kabla ya kuziapprove kuziweka pale.
mkuu unazingua ujueHiyo ku launch ndo unafanyaje nielekezee