Whatsapp notice

Whatsapp notice

jamesdousen

Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
18
Reaction score
15
Jamani kwa anaefahamu zaidi hili la whats app company kuwapa notice developer wote wa unofficial whatsapp app kama vile whats app plus na OG atujuze coz toka juzi whatsapp plus users hatuwezi kuzitumia help help
 
rudi whaysapp official tu..kuzi juzi whatsapp walitoa version nyingine wakadai huwez kula ban tena,nikajaribu na kumbulia ban ya 24hrs
 
Kuna whatsapp+ no ban ipo online. Iko poa kabisa
 
rudi whaysapp official tu..kuzi juzi whatsapp walitoa version nyingine wakadai huwez kula ban tena,nikajaribu na kumbulia ban ya 24hrs

wew utakua ulichukua plus ya mwanzo...mbna whatsapp reborn inapga kaz kama kawa
 
Ukitumia ogwhatsapp inakupa uwezo Wa kuinstall official WhatsApp ..so utakuwa na WhatsApp mbili katika simu moja..
 
Ukitumia ogwhatsapp inakupa uwezo Wa kuinstall official WhatsApp ..so utakuwa na WhatsApp mbili katika simu moja..

Then unaweza tumia kwa namba mbili tofauti au nn haswa faida yake !? Pili je inafaa hata kama simu ni ya line moja !?
 
Jamani kwa anaefahamu zaidi hili la whats app company kuwapa notice developer wote wa unofficial whatsapp app kama vile whats app plus na OG atujuze coz toka juzi whatsapp plus users hatuwezi kuzitumia help help
Tumia whatsapp + reborn v 1.50,,,ila 1.60 ishatoka sema ina bugs kibao.
 
Jamani kwa anaefahamu zaidi hili la whats app company kuwapa notice developer wote wa unofficial whatsapp app kama vile whats app plus na OG atujuze coz toka juzi whatsapp plus users hatuwezi kuzitumia help help


Sio WhatsApp company, hizi zote ni influence za Facebook (Mark) kuwa treat user wake kama watoto ambao ni nyie watumiaji wa Whatsapp, Facebook na Instagram.

Mark alipoona istagram ina hit akainunua.
Alipoona tena Whatsapp ina hit akainunua

Na anazinunua bila kubring new and modern features

Angalia kama kuna kitu cha maana alichokifanya kwenye Whatsapp zaidi yakuendelea kuonekana tu kama ile ya miaka ya zamani.
Developers walijitahidi kumodd whatsapp ili ionekana yakuvutia kidogo na iwe Modern kama alivyofanya Joaquin kuleta new Material design ktk whatsapp nakutuletea WhatsappMD ili users tu enjoy new whatsapp looking wamempiga bit.

p5ort6u.jpg


Hawajaishia hapo tu wameziblock Account zake za Instagram na Facebook. Developer huyu huyu aliyefanya kazi kwaajili ya Whatsapp users.

Nayo team ya Dr Rafa (Whatsapp+ Developers (Mod)) wamewapiga biti.
Whatsapp+ said:
"We have received a cease and desist letter from WhatsApp and we are obliged to remove all download links and unfortunately delete this community.
Am really sorry for this but it's out of our hands and WhatsApp has pushed us into a corner that we can't escape this time. It was a fun rise but it has come to an end."

Japokuwa developer wa WhatsappMD kasema ataendelea na its development mpaka watakapo mwachia account zake za Facebook na Istagram. ishu inakuja kua kama vita ya Paka na Panya, ambayo siku zote Paka atashinda....
daima hii vita ya Third App whatsapp developer na Officials, whatsapp official itashinda mana hawa jamaa wanatumia server zao, ata kama watajitahidi kutweak vipi tatizo linakuja kwenu nyie users.

Whatsapp kuna dalili zote wakapiga permanent ban namba zenu (waka zi blacklist) na hutoweza tena kutumia whatsapp kwa namba waliyoipiga ban,
Sasa je utasajili laini nyingine ili utumie tu whatsapp ?

Cha msingi kwa sasa nikujiepusha na hizi Modded whatsapp apk sio OG, Plus, MD wala Reborn before being banned by a Jew.
 
Sio WhatsApp company, hizi zote ni influence za Facebook (Mark) kuwa treat user wake kama watoto ambao ni nyie watumiaji wa Whatsapp, Facebook na Instagram.

Mark alipoona istagram ina hit akainunua.
Alipoona tena Whatsapp ina hit akainunua

Na anazinunua bila kubring new and modern features

Angalia kama kuna kitu cha maana alichokifanya kwenye Whatsapp zaidi yakuendelea kuonekana tu kama ile ya miaka ya zamani.
Developers walijitahidi kumodd whatsapp ili ionekana yakuvutia kidogo na iwe Modern kama alivyofanya Joaquin kuleta new Material design ktk whatsapp nakutuletea WhatsappMD ili users tu enjoy new whatsapp looking wamempiga bit.

p5ort6u.jpg


Hawajaishia hapo tu wameziblock Account zake za Instagram na Facebook. Developer huyu huyu aliyefanya kazi kwaajili ya Whatsapp users.

Nayo team ya Dr Rafa (Whatsapp+ Developers (Mod)) wamewapiga biti.


Japokuwa developer wa WhatsappMD kasema ataendelea na its development mpaka watakapo mwachia account zake za Facebook na Istagram. ishu inakuja kua kama vita ya Paka na Panya, ambayo siku zote Paka atashinda....
daima hii vita ya Third App whatsapp developer na Officials, whatsapp official itashinda mana hawa jamaa wanatumia server zao, ata kama watajitahidi kutweak vipi tatizo linakuja kwenu nyie users.

Whatsapp kuna dalili zote wakapiga permanent ban namba zenu (waka zi blacklist) na hutoweza tena kutumia whatsapp kwa namba waliyoipiga ban,
Sasa je utasajili laini nyingine ili utumie tu whatsapp ?

Cha msingi kwa sasa nikujiepusha na hizi Modded whatsapp apk sio OG, Plus, MD wala Reborn before being banned by a Jew.

Ahsante Mkuu.
 

Attachments

  • 1425554898759.jpg
    1425554898759.jpg
    73.3 KB · Views: 452
Sio WhatsApp company, hizi zote ni influence za Facebook (Mark) kuwa treat user wake kama watoto ambao ni nyie watumiaji wa Whatsapp, Facebook na Instagram.

Mark alipoona istagram ina hit akainunua.
Alipoona tena Whatsapp ina hit akainunua

Na anazinunua bila kubring new and modern features

Angalia kama kuna kitu cha maana alichokifanya kwenye Whatsapp zaidi yakuendelea kuonekana tu kama ile ya miaka ya zamani.
Developers walijitahidi kumodd whatsapp ili ionekana yakuvutia kidogo na iwe Modern kama alivyofanya Joaquin kuleta new Material design ktk whatsapp nakutuletea WhatsappMD ili users tu enjoy new whatsapp looking wamempiga bit.

p5ort6u.jpg


Hawajaishia hapo tu wameziblock Account zake za Instagram na Facebook. Developer huyu huyu aliyefanya kazi kwaajili ya Whatsapp users.

Nayo team ya Dr Rafa (Whatsapp+ Developers (Mod)) wamewapiga biti.


Japokuwa developer wa WhatsappMD kasema ataendelea na its development mpaka watakapo mwachia account zake za Facebook na Istagram. ishu inakuja kua kama vita ya Paka na Panya, ambayo siku zote Paka atashinda....
daima hii vita ya Third App whatsapp developer na Officials, whatsapp official itashinda mana hawa jamaa wanatumia server zao, ata kama watajitahidi kutweak vipi tatizo linakuja kwenu nyie users.

Whatsapp kuna dalili zote wakapiga permanent ban namba zenu (waka zi blacklist) na hutoweza tena kutumia whatsapp kwa namba waliyoipiga ban,
Sasa je utasajili laini nyingine ili utumie tu whatsapp ?

Cha msingi kwa sasa nikujiepusha na hizi Modded whatsapp apk sio OG, Plus, MD wala Reborn before being banned by a Jew.

Ahsante sana mkuu tatizo ni kwamba nimekuwa nikitumia hizi moded apps kama whats app plus kwa mdaa mrefu sana kiasi ambacho nilivyorudi kwenye hii normal whats app cjui naionaje zaidi ya kuni bore tuuu huwezi kufanya mambo mengi yaliyokuwa kwenye plus na ile OG.
 
Tumia whatsapp + reborn v 1.50,,,ila 1.60 ishatoka sema ina bugs kibao.

Ahsante mkuuu ila naipata wapi kwa urahisi zaidi blackmarket au playstore coz lazima niitafute kutumia hiii normal napata tabu coz nilishazoea ile plus
 
Back
Top Bottom