๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚, ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฒ

๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚, ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฒ

Whatsapp wanataka kuleta feature ya ๐˜‚๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฒ kwenye akaunti zetu, itaweza kumruhusu mtumiaji kuchagua unique username yake ambayo itakua official kabisa. Kwa sasa hii feature ipo Kwenye development haipatikan kwa sasa.

๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ wataweza kuileta feature ya username ambapo utaiona kule setting kupitia kwenye Whatsapp yako kwa kuingia setting>> profile utaweza kuandika username yako.

Kwahiyo badala ya kutumia namba ya simu mtu akutafute Whatsapp, ataweza kukutafuta kupitia username. Mtu atakuwa na uwezo wa kukutumia ujumbe kupitia Whatsapp sio lazima awe na namba yako.

Feature hii itaweza kuwafikia watu wengi Zaidi pia Whatsapp Wana mpango wa kuondoa namba za simu zisitumike kwenye Whatsapp siku zijazo Mtu atakua na uwezo wa kuchati na wewe bila namba ya simu.

Bado watu wengi wanashangaa jinsi itakavyokuwa inafanya Kazi ni mapema kwa kuwa iko kwenye matengenezo ila itakuwa salama Kuanzia kwa wafanya biashara, watu wa kawaida Bado mfumo utakua mtu sio rahisi kudukua taarifa Zako nk.

Unaionaje hii feature?
#bongotech255

View attachment 2635184
Telegram ipo muda... Naona muda unavyozod kwenda whatsapp inappteza simplicity
 
Mbona hiyo feature ipo kwenye simu zinazoweza clone app. Kipindi niko busy na kufuatilia mademu zangu, nilikuwa na namba mbili za WhatsApp baadae kutokana na restrictions nikafanya moja iwe GB WhatsApp naficha kila kitu last seen, naweka online notification na ghost view.
Unakuta umefichwa huku unaona kwingine. Na hiyo clone iko kwenye vault haionekani kwa apps
Ni official feature ya Whatsup au ni haya makandokando wanayofanya watu watundu? Watu wako concerned na ni nini kinapatika Whatsup kama ilivyo.
 
Ni official feature ya Whatsup au ni haya makandokando wanayofanya watu watundu? Watu wako concerned na ni nini kinapatika Whatsup kama ilivyo.
WhatsApp official huwezi hide seen na read, labda ufiche last seen na vilevile hutoiona kwa yeyote.
Clone app ipo kwa official WhatsApp inategemea simu ila unafungua accounts laini mbili tofauti.
Mara ya kwanza nilikuwa natumia WhatsApp ya biashara na WhatsApp ya binafsi zikiwa tofauti ila kwenye simu moja
 
WhatsApp official huwezi hide seen na read, labda ufiche last seen na vilevile hutoiona kwa yeyote.
Clone app ipo kwa official WhatsApp inategemea simu ila unafungua accounts laini mbili tofauti.
Mara ya kwanza nilikuwa natumia WhatsApp ya biashara na WhatsApp ya binafsi zikiwa tofauti ila kwenye simu moja
Siamini ni official. Au pengine neno official hujaelilewa!
 
Aisee jamaa unatumia nguvu kubwa kujificha.
Mbona madem huwa wanajua tu kua mwana lazima anatindua huku na kule, wao husemaga kikubwa umheshimu tu.

Unaweza ukadownload tu GB watsap na ukawapa wife na mchepuko namba hiyo hiyo ya watsap, mchepuko ukauweka Vault ya Watsap na message ,calls na etc vinaiishia kule huku kwingine havionekani.

Kama uko mazingira poa ukamjibu mchepuko na ukatoka na maisha yanaendeleaaa vzr tu.

Na hyo vault ya GB watsap ilipo ni pagumu mtu kunotice
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom