๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚, ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฒ

๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚, ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฒ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
Whatsapp wanataka kuleta feature ya ๐˜‚๐˜€๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฒ kwenye akaunti zetu, itaweza kumruhusu mtumiaji kuchagua unique username yake ambayo itakua official kabisa. Kwa sasa hii feature ipo Kwenye development haipatikan kwa sasa.

๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ wataweza kuileta feature ya username ambapo utaiona kule setting kupitia kwenye Whatsapp yako kwa kuingia setting>> profile utaweza kuandika username yako.

Kwahiyo badala ya kutumia namba ya simu mtu akutafute Whatsapp, ataweza kukutafuta kupitia username. Mtu atakuwa na uwezo wa kukutumia ujumbe kupitia Whatsapp sio lazima awe na namba yako.

Feature hii itaweza kuwafikia watu wengi Zaidi pia Whatsapp Wana mpango wa kuondoa namba za simu zisitumike kwenye Whatsapp siku zijazo Mtu atakua na uwezo wa kuchati na wewe bila namba ya simu.

Bado watu wengi wanashangaa jinsi itakavyokuwa inafanya Kazi ni mapema kwa kuwa iko kwenye matengenezo ila itakuwa salama Kuanzia kwa wafanya biashara, watu wa kawaida Bado mfumo utakua mtu sio rahisi kudukua taarifa Zako nk.

Unaionaje hii feature?
#bongotech255

images%20(91)%20(4).jpg
 
Hii sasa ndio akili yenyewe na kiwe na uwezo wakurun account mbili mwenye simu moja yaani moja ya micheps, moja ya wife
Mbona hiyo feature ipo kwenye simu zinazoweza clone app. Kipindi niko busy na kufuatilia mademu zangu, nilikuwa na namba mbili za WhatsApp baadae kutokana na restrictions nikafanya moja iwe GB WhatsApp naficha kila kitu last seen, naweka online notification na ghost view.
Unakuta umefichwa huku unaona kwingine. Na hiyo clone iko kwenye vault haionekani kwa apps
 
Walisema wanaleta ya ku edit nyie mmesha iona?
 
Mbona hiyo feature ipo kwenye simu zinazoweza clone app. Kipindi niko busy na kufuatilia mademu zangu, nilikuwa na namba mbili za WhatsApp baadae kutokana na restrictions nikafanya moja iwe GB WhatsApp naficha kila kitu last seen, naweka online notification na ghost view.
Unakuta umefichwa huku unaona kwingine. Na hiyo clone iko kwenye vault haionekani kwa apps
E u nipe maujanja hayo vimeo vyangu niviwekage huko
 
E u nipe maujanja hayo vimeo vyangu niviwekage huko
Nenda kwenye dual app simu nyingine wanaita clone app. Kama huna download WhatsApp za vichochoroni hizo GB, Yo, Gold. Kila moja iwe registered kwa namba tofauti, tatizo una vipengele vingi. Ungeweka kimoja kwenye namba moja na kingine namba nyingine.

Main nilimpa namba mbili nikamwambia nina simu 2. Baadae nikamwambia ile simu nimeuza nimebaki na moja (namba ya original WhatsApp) ile nyingine nikaweka hizo private settings asinione online, asione tick akituma text, niwe ghost viewer. Hiyo copy nikaiacha for deputy ambaye haijui namba ya original (hata akiijua nakuwa nishamblock first day akituma haoni lolote so atakuwa na assumption hiyo namba haitumiki WhatsApp) but naweza tumia clone kuchungulia kwa main. So deputy au wa kupita yeyote nitaongea nae kwa clone na hawa hawatumii muda wangu mwingi, clone iko vault naingia najibu texts na kujifanya sipendi sana mitandao.

Niliacha ila miaka yangu ya chuo sikuwahi kamatwa nacheat
 
Nenda kwenye dual app simu nyingine wanaita clone app. Kama huna download WhatsApp za vichochoroni hizo GB, Yo, Gold. Kila moja iwe registered kwa namba tofauti, tatizo una vipengele vingi. Ungeweka kimoja kwenye namba moja na kingine namba nyingine.

Main nilimpa namba mbili nikamwambia nina simu 2. Baadae nikamwambia ile simu nimeuza nimebaki na moja (namba ya original WhatsApp) ile nyingine nikaweka hizo private settings asinione online, asione tick akituma text, niwe ghost viewer. Hiyo copy nikaiacha for deputy ambaye haijui namba ya original (hata akiijua nakuwa nishamblock first day akituma haoni lolote so atakuwa na assumption hiyo namba haitumiki WhatsApp) but naweza tumia clone kuchungulia kwa main. So deputy au wa kupita yeyote nitaongea nae kwa clone na hawa hawatumii muda wangu mwingi, clone iko vault naingia najibu texts na kujifanya sipendi sana mitandao.

Niliacha ila miaka yangu ya chuo sikuwahi kamatwa nacheat
Aisee jamaa unatumia nguvu kubwa kujificha.
Mbona madem huwa wanajua tu kua mwana lazima anatindua huku na kule, wao husemaga kikubwa umheshimu tu.
 
Aisee jamaa unatumia nguvu kubwa kujificha.
Mbona madem huwa wanajua tu kua mwana lazima anatindua huku na kule, wao husemaga kikubwa umheshimu tu.
Hiyo issue haitaki hata gharama yoyote wala muda. Simu ipo, features zipo na laini zipo na salio lazima niweke kotekote. Kilichoongezeka ni settings tu, afanye assumption nina kipengele ila asiwe na evidence
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom