WHATSAPP HAIPOKEI UJUMBE

mm nina shida na what sup calls yaani naona tu miss calld
Hata mimi na tatizo hilo cm yangu mwanzo nilikuwa naweza kupiga au kupokea cm Za whatsup ila sasa hivi inaniambia mpaka niconnect na wifi.
 
Hata mimi na tatizo hilo cm yangu mwanzo nilikuwa naweza kupiga au kupokea cm Za whatsup ila sasa hivi inaniambia mpaka niconnect na wifi.
Tafuta vpn inaitwa flyvpn ipo playstore. Tatizo sio simu ni baadhi ya mitandao ya simu wameblock hiyo service
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…