Whatsapp group Admin nimeblokiwa nifanyeje?

Whatsapp group Admin nimeblokiwa nifanyeje?

Joined
May 9, 2014
Posts
57
Reaction score
46
Msaada jamani ;

Nilifungua group language la whatsapp la miziki na kulitangaza vizuri tu likawa maarufu.

Niliweka maadimini kadhaa kulingana na mahitaji lakini kilichonishangaza kuna siku nimeingia kwenye grupu na kujikuta mimi siyo admini tena na adimini ni mmoja tu na maadimin wote wametolewa kabaki jamaa mwingine na nikimwabia mbona umenifanyia hivi anasema mpaka nimfungulie group lingine nimuadd kuwa admin ndipo anirudishe kuwa admini.

Je nifanyeje ili niweze kumuondoa huyu jamaa?
 
Msaada jamani ; nilifungua group language LA whatsapp LA miziki na kulitangaza vizuri tu likawa maarufu Niliweka maadimini kadhaa kulingana na mahitaji lakini kilichonishangaza kuna siku nimeingia kwenye grupu na kujikuta Mimi sio admini tena na adimini ni mmoja tu na maadimin wote wametolewa kabaki jamaa mwingine na nikimwabia mbona umenifanyia hivi anasema mpaka nimfungulie group lingine nimuadd kuwa admin ndipo anirudishe kuwa admini na Mimi nifanyeje ili niweze kumuondoa huyu jamaa?
Hapo kaa upumue tu.. Au kama unaweza mtafute umuibie simu yake alaf ujirudishie u-admin..... Vyeo vina raha yake ,mpaka u-admin mnagombea
 
Simpi uadmin kima nisiyemfahamu personally. Ni bora admin niwe mmoja tu.
 
Hapo kaa upumue tu.. Au kama unaweza mtafute umuibie simu yake alaf ujirudishie u-admin..... Vyeo vina raha yake ,mpaka u-admin mnagombea
Na hawa ndio wakipewa kakitengo somewhere wanakuwa madikteta uchwara.yaani yeye ni yeye mwengine hapana,kwani humo kwa group haezi comment na mawazo yake yakaonekana?
 
Angalia mda atakapo toka online uwaambia wana group mkasa hala uanze kuwa adi atajikuta amebaki peke yake au nikupe kuuzie langu na wanachama wake wako kama 200
 
Hahahahahhahahhhhhhhaahhh
Mkuu inaonekana wewe ni mzee wa kulialia
Hadi uadmin unaulilia JF
 
Back
Top Bottom