Kweli ww ulikuwa umelala...watu wana karibu mwezi wanaitumia wewe ndo unashituka leo
Mm mbona kwangu haipo au kwenye window phone hazijafika?? Naipatajee?
Nami nimekutana nayo leo kwenye cm yangu lakini nimekutana na tatizo naomba unisaidie.
1.Nikizungumza na mtu inarudisha kwangu ninachokizungumza nakisikia tena.
2.Ninachokizungumza kinachukua muda kumfikia ninayezungumza naye na pia anachozungumza yeye kinachukua muda kunifikia kama inavyokuwa mawasiliano kati ya nchi mbili tofauti au miito ya mbali...
Hayo yanasababishwa na nini !? Kwani hayaleti raha katika mawasiliano.
Msaada tafadhali. Ahsante.
Tafakari...
nadhani hapa Fareal atawasaidia...msisahau ku-like jibu lake
ni kweli Intonjanda (tanguliza-tumbo, kikwetu) Fareal hajaonekana kwenye uzi huu ila atakuja maana alianzisha mada kama hii na kujibu maswali pia...vuta subira kidogo atakuja...si unajua tena mambo ya foleni huko aliko!!au nikupe namba yake umuendee hewani...:smile-big:Ila hajaonekana kwenye uzi huu, au umewasiliana naye anakuja kutatua tatizo...!?
Tafakari...
ni kweli Intonjanda (tanguliza-tumbo, kikwetu) Fareal hajaonekana kwenye uzi huu ila atakuja maana alianzisha mada kama hii na kujibu maswali pia...vuta subira kidogo atakuja...si unajua tena mambo ya foleni huko aliko!!au nikupe namba yake umuendee hewani...:smile-big:
download HAPA
ahsante sana mkuu!!!!!!!!!!!!!!!!!
Usiende iyo link ya playstore
Install Tu inafanya kazahsante mkuu kwaiyo niifute ile version ya mwanzo yaan nii UNINSTALL nilokua nikiitumia au nikidownload tu hii mpya bila ku unistall ile ya mwanzo itafanya kazi?
Install Tu inafanya kaz
Sisi wa iphone ngoja tuzidi vuta subira labda watatufikiria