WhatsApp Ban

WhatsApp Ban

Tshansimba Mubadi

New Member
Joined
Aug 28, 2021
Posts
1
Reaction score
4
Mimi ni mfanyabiashara mdogo nayetumia zaidi WhatsApp Kama njia ya kupata wateja wapya kila siku, ila tangu Hii Sheria mpya iingie inayokataza kuwatumia Txt watu wapya ambao hawajasave namba yako imekuwa changamoto Sana, ukifanya hvyo tu unafungiwa...
Naomba msaada kama Kuna njia naweza kutumia kutext watu wapya bila kufungiwa

Natanguliza Shukrani
 
Mimi ni mfanyabiashara mdogo nayetumia zaidi WhatsApp Kama njia ya kupata wateja wapya kila siku, ila tangu Hii Sheria mpya iingie inayokataza kuwatumia Txt watu wapya ambao hawajasave namba yako imekuwa changamoto Sana, ukifanya hvyo tu unafungiwa...
Naomba msaada kama Kuna njia naweza kutumia kutext watu wapya bila kufungiwa

Natanguliza Shukrani
mhhhh...., em fanya utafiki kwanza.

unatumia official whatsapp ama hizi clone?
 
Mimi ni mfanyabiashara mdogo nayetumia zaidi WhatsApp Kama njia ya kupata wateja wapya kila siku, ila tangu Hii Sheria mpya iingie inayokataza kuwatumia Txt watu wapya ambao hawajasave namba yako imekuwa changamoto Sana, ukifanya hvyo tu unafungiwa...
Naomba msaada kama Kuna njia naweza kutumia kutext watu wapya bila kufungiwa

Natanguliza Shukrani
Ndo ile nikusave nani ndugu yangu au?😂

Anyway ukitaka ku forward texts kwenye namba ambazo hujasave .. zima data kwanza, text wote unaotaka ujumbe uwafikie then baada ya kumaliza ndo uwashe data utoke online.. hapo huwezi kula ban
 
Mimi ni mfanyabiashara mdogo nayetumia zaidi WhatsApp Kama njia ya kupata wateja wapya kila siku, ila tangu Hii Sheria mpya iingie inayokataza kuwatumia Txt watu wapya ambao hawajasave namba yako imekuwa changamoto Sana, ukifanya hvyo tu unafungiwa...
Naomba msaada kama Kuna njia naweza kutumia kutext watu wapya bila kufungiwa

Natanguliza Shukrani
Hata mm mwenyewe natumia gb whatsapp sasa imegoma haifunguki naambiwa imekwisha toka 6 Dec 21.
 
Ndo ile nikusave nani ndugu yangu au?

Anyway ukitaka ku forward texts kwenye namba ambazo hujasave .. zima data kwanza, text wote unaotaka ujumbe uwafikie then baada ya kumaliza ndo uwashe data utoke online.. hapo huwezi kula ban

meta imeamua kukuachia watsapp,umeshindikana mwanamke.
IMG_3482.jpg
 
Back
Top Bottom