angalia internet kama inarun android basi download whatsapp kupitia android market
Now Google Play Store
Unazungumzia nini wewe hiyo tecno ni simu orijino toka china inategemea unatumia tecno gani,mimi ninayoitumia ina kilakitu ambacho unaweza kupata kwenye samsung galax!!Mchainizi ana whatsapp!??
niangalie vip mkuu?
Habarini wataalam. naomba kujua kama tecno 756 inaweza kuwa na access za whatsapp! na kama inaweza niipate vip kwenye sim yangu?
Mchainizi ana whatsapp!??
Swali juu ya swali mm kasimu kangu ni nokia C3...nilikua naaccsess whatsup mara ikaxpire....kuapregade hola....wajuz wa mambo nifanyaje?
TECNO N3 10 kanunue uone ni zaidi ya galaxy
Sikuwa nafahamu mkuu....sasa haya malipo ni online? Maana nimegoogle napata information kama nokia C3 haisuport whatsup tena.....sasa kama naweka kifurush kinachonikost buku mbili kwa wiki ntashindwaje hyo dola moja kwa mwaka?......hebu nipe maujanja mkuu nimeimiss whatsup
Sikuwa nafahamu mkuu....sasa haya malipo ni online? Maana nimegoogle napata information kama nokia C3 haisuport whatsup tena.....sasa kama naweka kifurush kinachonikost buku mbili kwa wiki ntashindwaje hyo dola moja kwa mwaka?......hebu nipe maujanja mkuu nimeimiss whatsup