Ni kweli uaminifu ni shida sikuhizi kwa jinsia zote watu hawawi wakweli sijui wanataka nini yani. Tamaa zimezidiSio sabb hack sabb n uaminifu zero for both men n women .........why ucheat ...siumuambie ukweli ulonae akuache kuliko kundanganya .....achilia magonjwa .....me nikigundua nipo n mtu wa hvo sitofanya kitu ila atapay high price ....ntamuonea huruma why kanisaliti sabb maumivu atayopata yeye n Mara kumi alivonicheta
Imagine mschana tayar kashaposwa tena kwa hiar yke bdo mwez aolewe then anacheat huyu anataka nn sasaNi kweli uaminifu ni shida sikuhizi kwa jinsia zote watu hawawi wakweli sijui wanataka nini yani. Tamaa zimezidi
Kweli hyo ni hatari naelewa hyo hali mahusiano ni changamoto mno sikuhizi. Heshima zero hapo Dada si inabidi ajitulizeImagine mschana tayar kashaposwa tena kwa hiar yke bdo mwez aolewe then anacheat huyu anataka nn sasa
Yah but me nahack sabb za usalama wangu binafs cz ndo njia pekee ilobk ......even to escape the country I will do that ......Kweli hyo ni hatari naelewa hyo hali mahusiano ni changamoto mno sikuhizi. Heshima zero hapo Dada si inabidi ajitulize
Mkuu naomba huo ujuzi tafadhali. Nipo tayari kwa maumivu nitakayoyapataAnaweza hata kama sim ya mhusika ipo mbali
Unafikiri kuacha kitu cha mchezo ? Labda uwe hujapenda........Mi nikijua mtu ana hack kisa mapenzi namuacha maana nikutokuaminiana
Nishaanza ona meseji zake ...n simple sikutegemeaMkuu naomba huo ujuzi tafadhali. Nipo tayari kwa maumivu nitakayoyapata
Bila kupata simu yake?Nishaanza ona meseji zake ...n simple sikutegemea
No nlipata Simu ya mhusikaBila kupata simu yake?
No nlipata Simu ya mhusika
Ipo bila Simu inauzwa lknHongera. Mi kupata simu ya muhusika ni mtihani
Inaitwaje na inapatikana wapi?Ipo bila Simu inauzwa lkn
Ntakujuza soonInaitwaje na inapatikana wapi?
Ni PMNtakujuza soon
zipo nyingi...download app inaitwa spyhumanhakuna kitu kama hicho privacy zinalindwa sana ndugu yangu ila ukitaka kuhack zipo app za kununua unaziweka kwenye simu ya unaemtaka na kuzificha hazioni hapo ndo utajua ila bila hivyo uongo
Unaweza download whats web mm nimedownload n nmetumia kuhack simu ya mhusika ...cjatumia laptop Ila Simu ya mhusikaKwa kifupi huwezi doenload whatsapp web, ila unaweza fungua whatsapp kwenye browser ya computer.
Hii iliwekwa mahsusi na whatsapp ili mtumiaji wa whatsapp aiwe anahangaika kufungua simu yake pindi atumiapo computer. So unaifungua whatsaap yako kwenye computer kwa kutumia browser ya computer.
Ila ss imepara matumizi mengine kuwa mtu unaweza fungua whatsapp ya mtu mwingine kutumia computer shart lake n kuwa lazima uwe na simu husika ili uweze ilink computer na whatsapp husika
Cjawah ijarbu najuwa nyngne ........labd tueleze inafanyaje kazzipo nyingi...download app inaitwa spyhuman
PoaNi PM