Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
- Thread starter
-
- #221
Klorokwin nimemfukuza kazi siku mingi sana.
Lawyer wangu ni KIMEY. Ndo alienisaidia kupata divorce. His awesome.
:scared::scared::scared:
Daniel Kongosho??
yani wee ni mdaku.com
:scared::scared::scared:
Daniel Kongosho??
Dada Kabakabana... Mara ya kwanza ulimpenda akaringa... Baadaye,akaja tena,ila wakati unamfikiriafikiria,akaharibu tena kabla hata safari ya mapenzi haijafika nusu si ndiyo?
Kabah, msamehe bure
kwasababu wewe unaumiza nafsi yako yeye hana linalomkera kabisa
madhara ni kwako tu, mwishi bp na madonda ya tumbo yakuvamie bure, kwasababu ya mtu usiye na wajibu nae na wala hana wajibu wowote na wewe
nilikuwa nataka nimpe chance ya kuwa rafiki tu na akaharibu kwa hiyo kawa adui.
nishakutumia,wifi yani kafanya siku yangu ianze vibaya kweli
Ila hapo kale "mliwahi kutoka wote" si ndiyo?
dah pole inabidi usiku ufike haraka ili siku mpya ianze vizuri:cool2:
vipi na wewe ni lawyer ama?
Kaby... Daniel amekutenda vipi mpaka una hasira namna hiyo?
Hapana ila nataka ku-square things out... Enhe..
yani amy nikipatwa na shida unanikimbia?kweli akufaaye kwa dhiki lol?jana nakupigia simu siku nzima unisaidie kumtafuta huyu fedhuli ukanikimbia?poa tuone nani atakufichia siri zako kwa ricky kuhusu yule fataki lol.
LOL! Jana nilisahau simu "somewhere". So missed calls zote nimezikuta leo asubuhi.. Hilo lijamaa limeshajitokeza au kaogopa?
Kaby!! Hapo kwenye fataki hapo.. Tutaongea behind the curtain..
acha tu my wiii, niko poa sasa hiviHeee! Wifi mambo? Nani kakukera jamani.