Am talking especially age, kwa mwanamke range ni miaka mingapi mpaka mingapi likewise to men, ingawa mtu anaweza oa au olewa at any age bt ki kawaida ni miaka mingapi?
umri wa serikali ni kuanzia miaka 18 na kuendelea lakini chini ya hapo lazima kuwe na makubaliano baini ya mzazi ,mwolewa. Sijui kama sheria hiyo imebadilishwa .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.