BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha..... duuuuh, hiyo kali... daah, mshirika unajua kuua wewe!! lol
LOL! Mmenivunja mbavu ile mbaya namuona mjomba nzokanhyilu na viwalo vyake babu kubwa na milwatu (hivyo sio viatu) ni milwatu akijipitishapitisha kupiga speed kwa shishi.... Shishi kasema kweli atapata mume hapa hapa. Kama kwenda na wakati ndio huko, bado sijavaa viwalo ya nzokanhyilu bora nionekane wakuja....LOL!