What TRA wants from you in 5 yrs

Mkuu LazyDog nadhani watakaonaswa hapa ni kundi kubwa zaidi wakiwemo hao unemployed graduates. Cha kushangaza kuna vyanzo vya mapato chungu nzima ambavyo viko wazi na vingeingizia hii Serikali mabilioni ya pesa kila mwaka lakini TRA imevifumbia macho na huku Serikali ikiendelea kuimba wimbo wake maarufu "Serikali haina pesa. Vyanzo hivyo ni kama property tax, rental income kwale ambao wanakodisha nyumba zao kwa wapangaji wanaoishi au kuzitumia kama ofisi.

Kuna Wabunge 323 ambao kila mbunge kwa mwaka anapata shilingi 132 million (11,000,000 kwa mwezi) kama mshahara tu ambazo ni sawa na shilingi 42.6 billioni kwa mwaka kwa Wabunge wote 323, kila baada ya miaka mitano kila mbunge anapata "kiinua mgongo" cha shilingi 75 million ambacho ni sawa na shilingi 24.2 billion kila baada ya miaka mitano. Rais mshahara wake ni karibu shilingi 400 million kwa mwaka na Waziri Mkuu ni karibu shilingi 350 million kwa mwaka. Tuseme hawa waheshimiwa wangekuwa wanatozwa kodi ya 30% kila mwaka basi TRA ingevuna mapato mengi sana na kupunguza huu ukwasi mkubwa unaoikabili Serikali kila mwaka. Hapa hatujui kiinua mgongo cha Rais na Waziri Mkuu kila wanapomaliza awamu ya miaka mitano, labda Waziri Mkuu anapokea kiinua mgongo hicho kama mbunge. Kwa hiyo mapato ya Wabunge kila baada ya miaka mitano ya shilingi 66.8 billioni haya yote hayatozwi kodi. Hii ni haki kweli!? Kwa kazi ipi wanayoifanya? Kama hizi pesa wanazolipwa Wabunge zingetozwa kodi kwa miaka mitano Serikali ingekusanya shilingi 20 bilioni au sawa na shilingi billion 4 kila mwaka, pesa nyingi sana hizi kwa kufanyia mambo chungu nzima ya maendeleo.

Je, huyu Commissioner General wa TRA ana ubavu wa kufuatilia vyanzo vyote hivi vya mapato ili kuongeza ukusanyaji wa mapato ya kodi? Tunaijua nchi yetu mara tu atakapoanza kufuatilia vyanzo hivi vya mapato atapigwa vita na mara moja kufukuzwa kazi na si ajabu ndio asipate tena kazi ndani ya Tanzania.


Wakishavurugana na wafanyabiashara kwenye EFDs, watahamia kwa unemployed graduates, ama nimeelewa visivyo?
Kama sio wanafunzi waliokosa ajira, ni kundi gani limelengwa?
 
Kulipa kodi ni wajibu wa kila mtu, ILA kodi zetu kukwapuliwa kwenye mifuko ya Sandarusi inauma sana ... Dawa ni Kuiondoa CCM madarakani tu, Pato la kodi kwenye Madini, Gas na Mitandao ya simu inatosha kabisa kugharamia bajeti ya nchi yetu bila kupata misaada kutoka kwa wahisani wenye kutaka kutugeuzwa mashoga ... Narudia tena, CCM must go !!!
 
Mkuu BAK, adui number moja kwa watanzania ni UJINGA; Kupitia PAYEE serikali ingeweza sana kupata mapato makubwa Zaidi kutoka kwenye mishahara ya wafanyakazi wa Multinational Corporation Barrick/Acacia, BG, Petradiamond, nk... Watu wetu wanatakiwa kulipwa kwa rates za parents company i.e polycentric model ambapo ngazi za mishahara zingefuatwa kule kampuni ilikotoka!!! Kwa kufanya hivyo engineers wetu wangelipwa sawa na wazungu ... Serikali ingepata kodi kubwa sana!!! Alikuja mmiliki wa GGM mwaka 2012, jamaa alishangaa sana kukutana kidongo chekundu cha Geita!!! akawa anauliza nyumba na miradi ya wafanyakazi ziko wapi? jibu alilopewa ni kuwa Serikali ilikataa watu wake wasilipwe kwa Rates za Kampuni!!! Mgodi wa Bulliyankhulu wanadai kuwa wanalipa kwa Rates za juu kidogo kuliko serikali ila wameweka FIXED exchange Rates ya $1 kwa TZS. 1000 kwa Zaidi ya miaka 10 sasa ... Mkuu, ukisoma Sera ya Uwekezaji ya mwaka 1996 utasikitika Zaidi!!! Ukienda kwenye Mazao ya Bahari, pamoja na kuwa Tuna huwa wanazaliana kwenye pwani yetu, na ukweli kuwa King Prawns huwa wanapatika kwenye River mouth zetu! Serikali ya CCM imegoma kukusanya kodi badala yake meli hupigwa faini kidogo ya $10,000 ambayo huingia kwenye mifuko ya wajanja wachache ... Suluhisho la kudumu hapa ni CCM kutoka Marakani tu ...

Mkuu LazyDog nadhani watakaonaswa hapa ni kundi kubwa zaidi wakiwemo hao unemployed graduates. Cha kushangaza kuna vyanzo vya mapato chungu nzima ambavyo viko wazi na vingeingizia hii Serikali mabilioni ya pesa kila mwaka lakini TRA imevifumbia macho na huku Serikali ikiendelea kuimba wimbo wake maarufu "Serikali haina pesa. Vyanzo hivyo ni kama property tax, rental income kwale ambao wanakodisha nyumba zao kwa wapangaji wanaoishi au kuzitumia kama ofisi.

Kuna Wabunge 323 ambao kila mbunge kwa mwaka anapata shilingi 132 million (11,000,000 kwa mwezi) kama mshahara tu ambazo ni sawa na shilingi 42.6 Trillioni kwa mwaka kwa Wabunge wote 323, kila baada ya miaka mitano kila mbunge anapata "kiinua mgongo" cha shilingi 75 million ambacho ni sawa na shilingi 24.2 trillion kila baada ya miaka mitano. Rais mshahara wake ni karibu shilingi 400 million kwa mwaka na Waziri Mkuu ni karibu shilingi 350 million kwa mwaka. Tuseme hawa waheshimiwa wangekuwa wanatozwa kodi ya 30% kila mwaka basi TRA ingevuna mapato mengi sana na kupunguza huu ukwasi mkubwa unaoikabili Serikali kila mwaka. Hapa hatujui kiinua mgongo cha Rais na Waziri Mkuu kila wanapomaliza awamu ya miaka mitano, labda Waziri Mkuu anapokea kiinua mgongo hicho kama mbunge. Kwa hiyo mapato ya Wabunge kila baada ya miaka mitano ya shilingi 66.8 Trillioni haya yote hayatozwi kodi. Hii ni haki kweli!? Kwa kazi ipi wanayoifanya? Kama hizi pesa wanazolipwa Wabunge zingetozwa kodi kwa miaka mitano Serikali ingekusanya shilingi 20 Trilioni au sawa na shilingi trillion 4 kila mwaka, pesa nyingi sana hizi kwa kufanyia mambo chungu nzima ya maendeleo.

Je, huyu Commissioner General wa TRA ana ubavu wa kufuatilia vyanzo vyote hivi vya mapato ili kuongeza ukusanyaji wa mapato ya kodi? Tunaijua nchi yetu mara tu atakapoanza kufuatilia vyanzo hivi vya mapato atapigwa vita na mara moja kufukuzwa kazi na si ajabu ndio asipate tena kazi ndani ya Tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hili la Serikali kukataa wafanyakazi kulipwa mishahara mikubwa niliwahi kulisikia Mkuu Rockspider na kisa eti Wafanyakazi hao wataishia kunywa pombe na kuoa wake wengi!, hivyo hawastahili mishahara mikubwa.

Mkuu BAK, adui number moja kwa watanzania ni UJINGA; Kupitia PAYEE serikali ingeweza sana kupata mapato makubwa Zaidi kutoka kwenye mishahara ya wafanyakazi wa Multinational Corporation Barrick/Acacia, BG, Petradiamond, nk... Watu wetu wanatakiwa kulipwa kwa rates za parents company i.e polycentric model ambapo ngazi za mishahara zingefuatwa kule kampuni ilikotoka!!! Kwa kufanya hivyo engineers wetu wangelipwa sawa na wazungu ... Serikali ingepata kodi kubwa sana!!! Alikuja mmiliki wa GGM mwaka 2012, jamaa alishangaa sana kukutana kidongo chekundu cha Geita!!! akawa anauliza nyumba na miradi ya wafanyakazi ziko wapi? jibu alilopewa ni kuwa Serikali ilikataa watu wake wasilipwe kwa Rates za Kampuni!!! Mgodi wa Bulliyankhulu wanadai kuwa wanalipa kwa Rates za juu kidogo kuliko serikali ila wameweka FIXED exchange Rates ya $1 kwa TZS. 1000 kwa Zaidi ya miaka 10 sasa ... Mkuu, ukisoma Sera ya Uwekezaji ya mwaka 1996 utasikitika Zaidi!!! Ukienda kwenye Mazao ya Bahari, pamoja na kuwa Tuna huwa wanazaliana kwenye pwani yetu, na ukweli kuwa King Prawns huwa wanapatika kwenye River mouth zetu! Serikali ya CCM imegoma kukusanya kodi badala yake meli hupigwa faini kidogo ya $10,000 ambayo huingia kwenye mifuko ya wajanja wachache ... Suluhisho la kudumu hapa ni CCM kutoka Marakani tu ...
 
Aachane na siasa, let him collect the tax, how the government spends it is not what we know he is concerned about.
Kushauri matumizi mazuri ktk government ni siasa?Collections and spendings are variable separate?Au unataka wote tukanunue mboga kwa 10M?
 
BADE.jpg

“We know that Tanzania’s economy is growing faster than most other countries in the East African Community and we hope to achieve Sh19 trillion by the 2017/2018 financial years” RISHED BADE, TRA COMMISSIONER GENERAL
By Samuel Kamndaya,The Citizen Reporter

Posted Wednesday, March 18 2015 at 08:35

In Summary

  • TRA boss wants you, the taxpayer, to fully fund the national budget in next five years–but only on condition that the government plays its part too.
  • Taxman says the Budget can be financed through internal revenue if the government plays its part too and reduces lavish spending, which has dominated financial discussions in the nation in the past decade

Dar es Salaam. The Tanzania Revenue Authority (TRA) top boss wants you, the taxpayer, to fully fund the national budget in next five years--but only on condition that the government plays its part too and reduces lavish spending, which has dominated financial discussions in the nation in the past decade.

And that’s not all. According to the chief taxman, the government should also reduce external borrowing, which has ballooned in recent years. Consider the four-wheel drive fuel guzzlers which rule Tanzania’s roads at a cost of roughly $200,000 each. There are plenty of them on show, despite the government’s pledge four years that it would do away with the luxury Toyotas.

And then there is the $800 million set aside during the national budget simply to pay allowances and per diems. Now reflect on how much foreign trips by various leaders cost the nation. And how much corruption costs the economy,

But TRA Commissioner-General Rished Bade says Tanzania is capable of financing its entire budget through funds sourced right here at home in the next five years, raising hope that East Africa’s second largest economy is on the right path to economic independence.

He told The Citizen in an exclusive interview in his office yesterday that, going by the trend of Tanzania’s economic growth, TRA should be in a position to garner enough revenue to support the entire budget. “In five years, we should be able to do that,” the former Barclays Bank Tanzania managing director told The Citizen.

But to achieve this, Tanzania needs to slow down on budget expansion by reducing spending and foreign non-concessional loans. “This is what we want--that our budget be financed by internal resources by 100 per cent,” he said.

The Citizen understands that TRA is working on a project to reach out to businesses that are either informal or moderately informal so they can be formalised and start contributing significantly to government revenues.

TRA is also working on initiatives to simplify the tax payment process using new systems that are interactive and connected to taxpayers--the most notable one being the introduction of Tanzania Customs Integrated System (Tancis). With Tancis, import taxes are paid on time.

Mr Bade, who started his career in 1995 with the Bank of Tanzania, added: “After Tancis, we will introduce a more robust integrated domestic revenue administration system that will be more user-friendly. It is expected to simplify submission of returns. It will change the way taxpayers communicate with TRA and provide timely information on defaulters for intervention.”

Through both grants and concessionary loans, donors account for 15 per cent of Tanzania’s 2014/15 fiscal budget. The rest is taken care of by domestic revenues--both tax and non-tax--as well as non-concessional loans from both local and foreign sources.

TRA is banking on electronic fiscal devices to rope more of the country’s 46 million people into the tax bracket. National identity cards will also help the taxman reach a much wider population for tax collection purposes.

Going by the 2014/2015 budget, TRA is required to collect a total of Sh11.297 trillion to help finance a Sh19.8 trillion revenue and expenditure plan. In the first six months, the taxman garnered about Sh5 trillion in December alone, with TRA collecting a record Sh1.056 trillion.

If the current budget is anything to go by, TRA will be required to collect not less than Sh19 trillion come 2020, a development that the chief tax collector considers attainable if the country’s economic growth and growth in tax collection goes according to plan.

He added: “We have to set big targets to transform Tanzania. We know that Tanzania’s economy is growing faster than most other countries in the East African Community and we hope to achieve Sh19 trillion by the 2017/2018 financial years.”

The TRA’s Fourth Five-year Corporate Plan, which spans the 2013/14 and 2017/18 fiscal years, has set a Sh19 trillion target.

In line with ongoing economic growth prospects, the plan envisages that agriculture will grow by five per cent while the manufacturing sector is targeted to expand by 14.5 per cent. Services, transport, communications, finance and real estate sectors will also grow beyond current levels.

Yesterday’s exclusive interview with Mr Bade dwelt on issues such as tax collection against targets, tax exemptions, the money that the taxman collected from beneficiaries of the infamous Tegeta Escrow Account, tax collected from mining firms and property tax.

TRA collected a total of Sh353 billion as Corporation Tax from six mining firms between the 2011/2012 and 2013/2014 financial years, according to Mr Bade. He did not name the mining companies, though.

CC: Tized, Mr Rocky, Fixed Point, lyinga, NATA, Chakaza, Elly B, Ablessed, Michelle, KikulachoChako, kill 3, Daudi Mchambuzi, everlenk, MziziMkavu, Ablessed, afrodenzi, Heaven on Earth, Power to the People, Jasusi, Eiyer, idawa, nguruvi, Mentor, Sikonge, Dingswayo, MANI, tpaul, Bramo, Bulesi Bulldog, Sangarara, MTAZAMO, Erythrocyte, Mag3, Mimibaba, zumbemkuu, Crashwise, amkawewe, Idimi, Ogah, Chakaza, mshana jr, JokaKuu, MWALLA, genekai, PRINCE CROWN, Tuko, Shark, lynxeffect22, samaki2011, MoudyBoka, adolay, Elli, nyabhingi, Janjaweed, S.N.Jilala, MEANDU, Tabby, Candid Scope, Honolulu, August, dyuteromaikota, BONGOLALA, Gefu, Bigirita, Kozo Okamoto, Shark, mirisho pm, Camp 05, Ngoami, Kamakabuzi, jerrytz




Wasaka tonge tu hao TRA
 
Mkuu hakuna tusi kubwa kama mtu akikutukana kuwa wewe ni CCM... Hawa Jamaa sijui huwa wanawaza kwa kutumia kiungo gani ...

Hili la Serikali kukataa wafanyakazi kulipwa mishahara mikubwa niliwahi kulisikia Mkuu Rockspider na kisa eti Wafanyakazi hao wataishia kunywa pombe na kuoa wake wengi!, hivyo hawastahili mishahara mikubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom