Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Hapo hakuna chama bali kikundi cha wahuni kutoka kanda ya kaskazini wakiongozi na Mbowe...
Kila siku huwa wanazungumzia nafasi ya mwanamke katika uongozi ila wao wamekuwa wa kwanza kuwakandamiza hao wanawake katika nafasi za juu za uongozi...
Kuliko kutawaliwa na Chadema bora tuendelee na CCM yetu chini ya Dr John Pombe Magufuli...
Mungu Ibariki Tanzania...
Mungu Mubariki Mh Raisi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni pimbi, tuambie CCM kuna wanawake wangapi kwenye safu ya juu. Mnafeli wapi nyie mbogamboga?